Sababu za kufichwa kwa kitabu cha Enoch

Huu uzi umenifanya nitulie nijifunze kitu! Yaani Mungu huyu ni Mwisho wa yote, yaani anamweka malaika amlinde mwanadamu wakati akijua malaika naye ataingia majaribuni kwa kutegwa na warembo!?

Du dada zetu kweli nyie ni nouma I see!
 
Kitabu ndo kimesema alikua Mzungu hicho cha enoko

zitto junior hebu njoo tuweke ili sawa kdg
Akutaja neno mzungu ila kimeelezea sifa zake alivyo kuwa na ngozi tofauti, macho, nywele tofauti na watu waliokuwepo wakati huo ndio maana neno mzungu nililiweka kwenye mabano, wenda ata alikuwa albino.

Ila kwa mazingira ya kilicho andikwa kinaonesha kuwa watu waliokuwepo wakati huo hawakuwa na ngozi nyeupe, wala nywele nyeupe kama zake (kutokana na kilichoandikwa kwenye hicho kitabu)
 
Maandiko ya Biblia yanajitosheleza kabisa, na ndio Mungu kataka tusome hayo tu.

Nje na hapo hakuna hekima tena, labda ukajifunze uchawi tu huko nje ya biblia.
Uko sahihi kabisa! Kuna mambo mengine Mungu mwenyewe kwa Hekima yake ametuficha wanadamu kwa faida yetu.
 
Nimekuelewa hapa vzr sana mkuu .merci
 
Kitabu ndo kimesema alikua Mzungu hicho cha enoko

zitto junior hebu njoo tuweke ili sawa kdg
Book of Enoch
chapter 105
1 And after some days my son Methuselah took a wife for his son Lamech, and she became 2 pregnant by him and bore a son. And his body was white as snow and red as the blooming of a rose, and the hair of his head and his long locks were white as wool, and his eyes beautiful. And when he opened his eyes, he lighted up the whole house like the sun, and the whole house 3 was very bright.

And thereupon he arose in the hands of the midwife, opened his mouth, and conversed with the Lord of righteousness. 4 And his father Lamech was afraid of him and 5 fled, and came to his father Methuselah.

And he said unto him: ' I have begotten a strange son, diverse from and unlike man, and resembling the sons of the God of heaven; and his nature is different and he is not like us, and his eyes are as the rays of the sun,
 
Sasa mbn huyu kush wako wanamuelezea tofauti ?
Atakuwa Huyo huyo
But historic wise Kushites wametokea Middle East (Sumeria) ndio maana walipofika Afrika waka settle Misri,Nubia na kuna wakati wakatawala mpaka Yemen/Kuwait za enzi hizo za ma-Pharaoh.

Kush anaongelewa kama mweusi sababu mama yake alikua typical black (Neitam'uk) and of course descendants wa Cush walikua black hata leo. So it can be suggested either alitoka mweusi kma Mama yake ama Naye alioa mweusi typical so dark became darker or rather baada ya kusettle Afrika maybe rangi zao zikawa darker kuliko mwanzo.
 
Asee hii book yakuitafuta yote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…