Wanawake wengine wana lawama wakisikia mume wake amecheat watapiga kelele atamsuta! "umekosa nini mwanaume huridhiki" "mabucha yote nyama ile ile" Kwani mi sikupi? Si nakuuliza wewe hasidi fisadi namba 1 wa mapenzi usiyetosheka .Kwani haikutoshi hii? Atatokwa povu hapo wakati in real hakuna annachofanya anachojua ni kubetua ile loki ya sidiria na kujilaza chanuu kusubiria mikwaju. Baada ya hapo anachojua ni makelele tu kama gari ya takataka, kazi yote ufanye wewe.
Sasa kuna wanawake huko nje wakikudaka lazima upagawe. Maana ukifika mlangoni unadakwa hata kabla hujavua viatu unafinywa si kufinywa, unameng'enywa na mchanganyiko wa meno na kucha unabaki unaweweseka kama kondoo aliyesahau mlango wa banda. Khanga ikianguka mtoto anashanga kama 76 za rangi tofautitofauti.
Anakubindulia mguu mmoja dirishani mwingine kwenye feni ukija kutua unasindikizwa na busu moja la sikio unaambiwa "Pole! Halafu unapewa juisi ya ukwaju baridi huku unakunwakunwa na kupepewapepewa ulale. Sasa wewe unayebetua sidiria na kutulia kama ndama mwenye mdondo akimaliza unamwambia "sogea huko tulale unanibana. Asipochepuka au kuoa mwingine labda ni mhashamu askofu mwanamizi wa kigango cha mavurunza!
������ Mi siimo!