Sababu namba moja iliyofanya kampuni ya ndege za boeing kuanguka kimauzo!..

Pamoja na hayo makosa , kosa jingine kubwa ni Boeing kutumika kisiasa, unakuta serikali ya Marekani inaweka vikwazo vya spare kwa nchi zilitofautiana naye kisiasa Kama Urusi, Iran na nyinginezo.
Sasa hivi Iran katengeneza ndege zake, Urusi ameanza kutengeneza za kwake, China tayari amezindua za kwake na tayari kapata oda.kuvwa kubwa. Hii tayari imemfanya Boeing apiteze soko.lake kubwa Sana.
Exactly Rodrick... Umeongezea Kitu Cha MSINGI Sana.
 
Back
Top Bottom