Hizo za kuliwa nyama na wachawi ni sababu za kisayansi?Kurogwa wanaume wanaliwa nyama sana na wanawake wachawi,
Maadui na wapinga maendeleo , mwanaume ukiwa na ela macho ya Hawa watu hayata kuacha salama,
Mtindo wa maisha , ukiwa kitombi sana jiandae , mwanaume anapoteza nguvu nyingi sana kitandani, kuwa makini na kusimamia ukucha unajimaliza .
Uchawi ni scienceHizo za kuliwa nyama na wachawi ni sababu za kisayansi?
Mkuu, acha uvivu.Kurogwa wanaume wanaliwa nyama sana na wanawake wachawi,
Maadui na wapinga maendeleo , mwanaume ukiwa na ela macho ya Hawa watu hayata kuacha salama,
Mtindo wa maisha , ukiwa kitombi sana jiandae , mwanaume anapoteza nguvu nyingi sana kitandani, kuwa makini na kusimamia ukucha unajimaliza .
Science MwituUchawi ni science
Hahahahahah anakwepa jukumu la kusimamia ukucha😅Mkuu, acha uvivu.
Kula vizuri fanya mazoezi simamia kucha acha visingizio.
science inapoishia ndo uchawi unapoanzia.Uchawi ni science
Chanzo ni wewe mwenyewe ambaye umeoa mke uliyemzidi umri, kisayansi anayeanza kuingia siku zote huanza kutoka.Salama wandugu,
kwa Nini asilimia kubwa kwenye familia wajane ndio wengi Sana katika familia ukikuta amebaki mmoja basi utasikia ni mwanamke, wanaume mbona wanawahi Sana kutoweka hapa duniani???
Ni kwa sababu wanawahi kufa, hii ni kwa sababu wanatumika sana kimajukumu......Salama wandugu,
kwa Nini asilimia kubwa kwenye familia wajane ndio wengi Sana katika familia ukikuta amebaki mmoja basi utasikia ni mwanamke, wanaume mbona wanawahi Sana kutoweka hapa duniani???