Wambandwa
JF-Expert Member
- Dec 3, 2006
- 2,249
- 830
22. Anapendwa sana lakini pia anachukiwa sana! anaweza kuwa mgombea aliyepitia tanuru kali hivyo atakuwa ameiva kukabili mgombea wa upinzani.
Anapendwa si kwa sababu ni mwema, ila ni mtoa mshiko (hongo kwa wenye njaa), chunguzi wanaompa support utakuta either wamepigwa jeki au wamepigiwa Pande na EL. Anachukiwa sana. Huu ndio ukweli kwa watu wanaoipendea mema nchi hii.
Kule Mwanza alitofautiana na mkuu wa wilaya wakati fulani alipokuwa waziri mkuu ilikuwa purukushani kwani EL alikumbushwa maneno ya mwalimu kwamba hafai kuwa kiongozi hata balozi wa nyumba kumi kumi.
Ni mwajiriwa wa serikali miaka yote, mali na mtaji biashara alizonazo alivipata wapi?