suleym
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 1,960
- 1,206
Unajuaje yupo Dar? Ama kwao Jf haipatikani?
Inaonekana kujasoma uzi wake neno kwa neno, hebu msome tena!
Unajuaje yupo Dar? Ama kwao Jf haipatikani?
Unajuaje yupo Dar? Ama kwao Jf haipatikani?
Shukrani A. Ngonyani
Attention Seeker... Cheap Popularity.. Low Thoughts...
Usitafute umaarufu wa kijinga wewe... Pamoja na yote binadamu atabaki kuwa binadamu tu... Huna haja ya kumuhukumu Komba... Wewe ukiwa kama nani katika mamlaka ya roho... Wewe umetenda mangapi ya kuwaudhi na kuwaharibia maisha toka uzaliwe mpaka hapo ulipo??? Unadhani una utakatifu wa kumuita Komba alikuwa mchafu...
Kama wewe ni Chadema (am inn as well) unadhani mtoto wa marehemu ambae ni Chadema mwenzio akisoma hapa atajisikiaje?? Kuna wakati mwingine tusitafute umaarufu wa kwenye mitandao huku nafsi zikitusuta...
Think before you act!!!!
jamani Ishu ya msiba na kumzika marehemu si ya kuijadili kabisa yani,..Katika sehemu moja wapo ambayo unatakiwa kuonesha Utu wako kama mwanadamu ni kushiriki katika misiba na maziko!
sasa Usijaribu kumsema mtu hujui kesho yako itakuwaje Jamani!!
Imagine wewe ni kibaka mzoefu, mtaani kwenu kila mtu umemjeruhi kwa kumuibia au kumpiga. Sasa umekufa. Unataka mtaa wote walie kwamba marehemu alikuwa mtu mwema? Eti wasiseme kuwa angalau SASA tutapumua na vipigo?
Kama umeboronga katika mahusiano na wenzako UKIWA HAI kwanini utegemee hisani ukiwa MFU?
___________________________________________________________________________________________1. Ni mtu ambaye ameifikisha nchi hapa ilipo kwa kusaidia kurubuni maskini wasio na elimu kwa vinyimbo vyake ili waichague CCM na kuwapiga vijembe wapinzani.
1. Ni mtu aliyehamia Dar badala ya kuishi Liuli au hata Nyasa, huku akijua kuwa yeye ni mwakilishi wa wananchi. Tena huko Dar hadi mtaa anaoishi ukapewa jina lake kwa umaarufu wake.
3. Ni mtu aliyetaka kulitumbukiza taifa ktk machafuko kwa kauli yake ya kuwa iwapo rasimu ya katiba ya jaji warioba ingepita "angeingia msituni kupigana".
4. Ni mtu ambaye hakupenda demokrasia hata kidogo na alitusi mara kadhaa vyama visivyo madarakani na kutoa lugha ya kejeli.
5. Ni mtu aliyemtukana sana jaji Warioba kuliko watu wote nchi hii. Alitoa matusi, kejeli na dharau dhidi ya jaji Warioba huku akiwa anajua/hajui kuwa mzee Warioba alikuwa "mjumbe" tu wa kile walichosema watanzania.
6. Mwanae Komba, Fred alijiunga na chama cha demokrasia na maendeleo(CHADEMA) punde tu alipomaliza kuchukua shahada yake pale SAUT na akamwelezea tabia ya baba yake kuwa ni "MBAYA" na miongoni mwa watu walioichukia demokrasia ni huyu marehemu
kwa lipi nipange safari kwenda nyumbani kumzika huyu jamaa? Sina wivu wala inda kwa ndugu yangu, mbunge wangu wa kule nyumbani wala chuki nae. "Ila ukweli hastahili kupata pole ya kifo wala faraja ya kifo kutoka kwa wazalendo na wapinga ukoloni weusi"
Shukrani a. Ngonyani
Machi 03, 2015
Dar Es Salaam
Ngonyani@naij.com/sirngonyani@gmail.com
+255 784 37 97 99