Saa mbili usiku naoa

Saa mbili usiku naoa

kijanamtanashati

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2014
Posts
523
Reaction score
916
Wasalam aleku ndugu zangu,

Leo mishale ya saa mbili usiku nafunga ndoa. Ramadhani imefika kwa sisi tusiopenda kuzini kidogo inakuwa mtihani hivyo imeamua kuvuta kitu ndani.
Hakuna sherehe tumeamua kubariki ndoa tu.

Naombeni dua zenu ndoa yangu iwe na baraka idumu milele isiwe ndoa ya Ramadhani.
 
msiachane tu baada ya mfungo, otherwise nikutakie ndoa njema na mfungo mwema mkuu
 
Kila la kheri liwe juu yenu mkuu Abarikiwe sana
 
Sasa hivi ni saa mbili...!! Tayar umeshaoa??
 
Hii ndoa ya kupikiana futari tu.

Btw ametoa tigo nini mpaka unamuoa?
 
Kwahiyo ndoa ni saa moja tu? [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] all the best kiongozi
 
Back
Top Bottom