S20 + kukoswa nguvu ktk 4g

S20 + kukoswa nguvu ktk 4g

gibasisi

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2015
Posts
597
Reaction score
641
Wakubwa habari za leo,simu yangu aina ya samsung galaxy 20 plus ina tatizo ninapohitaji ishike 4g simu inashindwa kabisa kufanya kazi lakini 4g inaonekana nikiirudisha 3g tatizo linaisha.msaada tafadhali
Screenshot_20221208-211401.jpg

View attachment 2440005
 
Wakubwa habari za leo,simu yangu aina ya samsung galaxy 20 plus ina tatizo ninapohitaji ishike 4g simu inashindwa kabisa kufanya kazi lakini 4g inaonekana nikiirudisha 3g tatizo linaisha.msaada tafadhaliView attachment 2439938
Unaficha jina unaacha IMEI ndiyo nini sasa.. Nway yaweza kua mahala ulipo hakuna nguvu ya 4G ya huo mtandao unaotumia, au je umetest kwa laini zote ukaona hazina nguvu ya 4G na kuna mtu anaipata kwenye simu yake kwa mtandao huo huo?
 
Unaficha jina unaacha IMEI ndiyo nini sasa.. Nway yaweza kua mahala ulipo hakuna nguvu ya 4G ya huo mtandao unaotumia, au je umetest kwa laini zote ukaona hazina nguvu ya 4G na kuna mtu anaipata kwenye simu yake kwa mtandao huo huo?
Kabla ya kununua simu hii nilikuwa na s10 plus ilikuwa inapiga kazi vizuri sana na line ya airtel lakini baada ya kununua hii ndo tatizo likaanza .nikiweka voda na halotel zipo fresh kiasi lakini airtel haifanyi kabisa
 
Kabla ya kununua simu hii nilikuwa na s10 plus ilikuwa inapiga kazi vizuri sana na line ya airtel lakini baada ya kununua hii ndo tatizo likaanza .nikiweka voda na halotel zipo fresh kiasi lakini airtel haifanyi kabisa
@Chief-Mkwawa msaada kwa hili.
 
nadili line ya simu kwanza jaribu voda,halotz, kama bado .
 
Kabla ya kununua simu hii nilikuwa na s10 plus ilikuwa inapiga kazi vizuri sana na line ya airtel lakini baada ya kununua hii ndo tatizo likaanza .nikiweka voda na halotel zipo fresh kiasi lakini airtel haifanyi kabisa
Umejaribu kuforce 4g only? Maana Voda na Airtel wanashare frequency, simu inayokamata voda 4g inakamata pia Airtel 4g, seti 4g only ili ujue ni Tatizo tu la signal ama haishiki Airtel kabisa.

Possibility nyengine Simu yako haishiki vyote Voda na Airtel 4G ila inashika Voda 5G, hapa itakua S20 yako haina frequency husika na hio s10 inayo.
 
Umejaribu kuforce 4g only? Maana Voda na Airtel wanashare frequency, simu inayokamata voda 4g inakamata pia Airtel 4g, seti 4g only ili ujue ni Tatizo tu la signal ama haishiki Airtel kabisa.

Possibility nyengine Simu yako haishiki vyote Voda na Airtel 4G ila inashika Voda 5G, hapa itakua S20 yako haina frequency husika na hio s10 inayo.
Nimegundua hii simu band inaweza ikawa tatizo,upande wa signal eneo nilipo sio mbaya maana s10 + ilikamata vizuri sana hadi nimejuta kuiuza. Line ya voda nimejaribu kuweka inapiga mzigo vizuri tu.itabidi niuze hii simu ninunue itakayoendana na mazingira nilipo
Screenshot_20221212-211926_Samsung%20Internet.jpg
 
Nimegundua hii simu band inaweza ikawa tatizo,upande wa signal eneo nilipo sio mbaya maana s10 + ilikamata vizuri sana hadi nimejuta kuiuza. Line ya voda nimejaribu kuweka inapiga mzigo vizuri tu.itabidi niuze hii simu ninunue itakayoendana na mazingira nilipoView attachment 2444304
Voda na Airtel ni band 3 ipo kotekote mkuu, unless sio international version.
 
Back
Top Bottom