duh,bro unaongea sijui utumbo wa mnyama gan vile. .UD zipo sehem kbao za kuaces wireles,udbs,thieters,coet,ucc,ira,sr16,17,afrcan virtues. .kuna librar,cass computer leb zipo port nying za kuconect internet,hal 6 kuna wireles nashangaa unang'ang'ania mths lab. .inaonesha usivyoheshimu taratibu,na una ka p.c ambako hakahifadh charge afu unasgndwa kutumia wireles unaishia kutangaza umbea huku JF...Hivi inaingia akilini kuzuia mwanafunzi wa masomo ya postgraduates studies assingie na laptop computer labs? Unageuza hizi lab kama sebule yako? Tunalipia pesa mingi lakini bado tunanyimwa access za computer labs??? Haya tuwekeeni power extensions nje ya labs !! Halafu hawa wazambia sijui wazimbabwe wanapewa funguo wanajifungia ndani ya labs ati kuna class flani ya watu wa postgraduate hawaruhusiwi kuingia lab? These is non sense na mkiendelea na tabia hii tutaharibu wote tukose............! Kuna watu wanafanya chuo kama cha familia!!!!!!!! Mmmmmshshhhhhh#######**********!!!!! Sheeeeeee********nz type!!!!!!!!!!!!
mashudu.Matatizo ya vyuo vya manzese hayo!management dont want any change at all,matokeo yake watu wanakaa kwenye vile vijiwe kujisomea wanangatwa na nyoka!
Hivi inaingia akilini kuzuia mwanafunzi wa masomo ya postgraduates studies assingie na laptop computer labs? Unageuza hizi lab kama sebule yako? Tunalipia pesa mingi lakini bado tunanyimwa access za computer labs??? Haya tuwekeeni power extensions nje ya labs !! Halafu hawa wazambia sijui wazimbabwe wanapewa funguo wanajifungia ndani ya labs ati kuna class flani ya watu wa postgraduate hawaruhusiwi kuingia lab? These is non sense na mkiendelea na tabia hii tutaharibu wote tukose............! Kuna watu wanafanya chuo kama cha familia!!!!!!!! Mmmmmshshhhhhh#######**********!!!!! Sheeeeeee********nz type!!!!!!!!!!!!
poleni sana ndio tnz yetu hii ... lakini mbona unataka kuimngia na computer yako mwenyewe ndani ya computer labs .. unaweza ukaniweka sawa hapa?! zile zilizomo ndani ya labs ni mbovu au ... "curious"
Kwanza wewe ndiye unaeonekaka hujia hata ulifanyalo hapa chuoni? Hata humu jamii forum pia huwezi ingia hovyo au kupost vitu hovyo lazima uwe na access kwa kiasi fulani.
Mathematics Department iko katika harakati za kuboresha labs zake na kuhakikisha kuwa computer zote zinakuwa connected kwenye internet.
Pia idara imewaruhusu mtumie connectition zilizo wazi lakini hamjiheshimu mnachomoa cable katika computer ambazo ziko coonected na kuchomeka katika LAPTOP ZENU!!!
JE HAO MLIOKO ULAYA NA HUKO NJE MNARUHUSIWA KUFANYA UPUUZI KAMA HUO KATIKA HIZO LAB ZA ULAYA?!
TENA HAWA WAMEPEWA FAVOUR KUBWA HADI KURUHUSIWA KUCONNECT LAB ZAO KATIKA NET WOK YA IDARA LAKINI BADO SASA INAKUWA FUJO HADI KUTOHESHIMU TARATIBU ZA COMPUTER LAB! SYSTEM ADMINISTRER AMEWAELEKEZA CHA KUFANYA WAO WANACHANA MAELEKEZO, INAONEKANA MWANAFUNZI WA AINA HIYO HASITAHILI HATA KUWA KATIKA KOZI YA pgds MAANA NAYE ATAENDA KUWA SYSTEM ADMINITSTER HUKO ALIKO.
KAMA NI KUAANDIKA ANDIKENI SANA LAKINI TARATIBU ZA COMPUTER LAB ZINATAKIWA KUFUATWA. KAMA NI INTERNET TUNASIKIA MMERUHUSIWA KUTUMIA HIZO COMPUTER ZA IDARA AMBAZO ZIKO CONNECTED CHA AJABU MNADICONNECTE NA KUWEKA ZENU. !!
duh,bro unaongea sijui utumbo wa mnyama gan vile. .UD zipo sehem kbao za kuaces wireles,udbs,thieters,coet,ucc,ira,sr16,17,afrcan virtues. .kuna librar,cass computer leb zipo port nying za kuconect internet,hal 6 kuna wireles nashangaa unang'ang'ania mths lab. .inaonesha usivyoheshimu taratibu,na una ka p.c ambako hakahifadh charge afu unasgndwa kutumia wireles unaishia kutangaza umbea huku JF...
Zilizomo ndani ni nzuri sana tena na speed ya kutosha tatizo research/project na tools ambazo wengi hutumia hizipo katika zile computer na kila mtu akitaka awekewe tools zake itakua balaa pia tools zingine zinahitaji priviledge za admin ambayo kiusalama si busara kumpa kila mtu hizi priviledge,kuepusha yote haya watu wamejikusanya na kujinyima wakanunua laptops,pia nafikiri hii ni nzuri hata kwa wale wasio na laptop wanapata comp za kutumia,ni kuweka utaratibu mzuri tu na kuwashirikisha watumiaji then mambo yanaenda lakini si njia wanayotumia wao!!!