Wadau wa UDSM Naomba majibu tafadhali

Mswati II

Member
Dec 13, 2017
72
192
Niko nimekaa na dogo hapa namhoji kidogo habari za chuo na maendeleo yake! Yeye anasoma UDSM college moja iv ya science.

Dogo ananiambia et wenyewe hata usipo fikisha course work ilifika UE utaingia kama kawa ukapambane huko mwenyewe kufidia hizo marks zilizo pelea.

Nimeshangaa asee ina maana saiv mambo ndo rahisi ivo??? Watalaam Naombeni ufafanuzi?? Maana mimi najua enzi zetu course work isipo fika ndo umeliwa ivo huingii kwenye UE au saiv mambo yamebadilika??
 
Niko nimekaa na dogo hapa namhoji kidogo habari za chuo na maendeleo yake! Yeye anasoma udsm college moja iv ya science.

Dogo ananiambia et wenyewe hata usipo fikisha course work ilifika UE utaingia kama kawa ukapambane huko mwenyewe kufidia hizo marks zilizo pelea.

Nimeshangaa asee ina maana saiv mambo ndo rahisi ivo??? Watalaam Naombeni ufafanuzi?? Maana mimi najua enzi zetu course work isipo fika ndo umeliwa ivo huingii kwenye UE au saiv mambo yamebadilika??
La muhimu watu walewe, haijalishi wamekunywa nn
 
Niko nimekaa na dogo hapa namhoji kidogo habari za chuo na maendeleo yake! Yeye anasoma UDSM college moja iv ya science.

Dogo ananiambia et wenyewe hata usipo fikisha course work ilifika UE utaingia kama kawa ukapambane huko mwenyewe kufidia hizo marks zilizo pelea.

Nimeshangaa asee ina maana saiv mambo ndo rahisi ivo??? Watalaam Naombeni ufafanuzi?? Maana mimi najua enzi zetu course work isipo fika ndo umeliwa ivo huingii kwenye UE au saiv mambo yamebadilika??
CONAS hao hawana koziweki
 
Wana Raha sana hao...kivumbi cha kutafuta course work kipo kule Udom.
Kuna watu nasikia walienda Udom na Mentality ya kwamba chuo bata mwaka wa kwanza TU wakadisco kwa sababu ya below GPA
 
NATAFUTA WATU WA AINA 3

1. SIJAPATA AJIRA LAKINI:
- Nimechoka kukaa nyumbani bila kufanya chochote.
~ Nataka kujenga urithi kwa familia yangu.
~ Nahitaji Kipato changu Mwenyewe

2. NIMEAJIRIWA LAKINI:
- Mshahara wangu hautoshi kukidhi mahitaji yangu yote.
~ Nahitaji kipato cha ziada.
~ Natafuta utulivu/uhuru wa kifedha.
~ Nimechoka kusubiri mshahara kila mwezi.

3. NAPENDA KUSAFIRI LAKINI:
~Siwezi kumudu.
~ Mapato yangu ya kila mwezi hayaniruhusu kuweka akiba kwa likizo. ~Sina uhuru wa kifedha.

• Tunatoa Fursa ya Biashara kwa kila mtu ambaye anataka kutimiza malengo na ndoto zake huu mwaka 2024

If You are Interested, Feel free to CLICK THE LINK FOR MORE | WORK WITH ME
In WhatsApp teilen
 
Wana Raha sana hao...kivumbi cha kutafuta course work kipo kule Udom.
Kuna watu nasikia walienda Udom na Mentality ya kwamba chuo bata mwaka wa kwanza TU wakadisco kwa sababu ya below GPA
Raha ipo wapi hapo? Yaani marks ulizotakiwa kukusanya kwa tests,assignments na seminar ambazo kimsingi ni rahisi ukazipambanie kwenye UE ambayo imekazwa urahisi upo wapi hapo?
 
Niko nimekaa na dogo hapa namhoji kidogo habari za chuo na maendeleo yake! Yeye anasoma UDSM college moja iv ya science.

Dogo ananiambia et wenyewe hata usipo fikisha course work ilifika UE utaingia kama kawa ukapambane huko mwenyewe kufidia hizo marks zilizo pelea.

Nimeshangaa asee ina maana saiv mambo ndo rahisi ivo??? Watalaam Naombeni ufafanuzi?? Maana mimi najua enzi zetu course work isipo fika ndo umeliwa ivo huingii kwenye UE au saiv mambo yamebadilika??
Lazima awe demu huyu. Msisitize asome.
 
Back
Top Bottom