RWANDA'S HUNTED: Inside the plots to kill Rwanda’s dissidents

RWANDA'S HUNTED: Inside the plots to kill Rwanda’s dissidents

Kitu kingine,kwa maoni yangu naona kagame ni kama aliover react kwenye ule ushauri wa kikwete.Folks njia pekee ya kuifanya Rwanda ipate usalama wa kudumu ni kukaa na wale mabwana na kutizama namna bora ya kusahau yaliyopita then kuleta umoja wa wanyarwanda wote,katika hali ilivyo rwanda na ninachokisoma hapa kutoka kwenu hakuna rwanda ya utawala wa mtutsi peke yake wala ya mhutu peke yake,ni lazima mtawale kwa pamoja ndio mtabaki na usalama wa kudumu acha huu usalama wenu alioushikilia kagame as kagame akiondoka nao umeondoka.Kukaa meza moja na waasi si dhambi wala si kitu kigeni,angola na unita walifanya,Sudan na Garang walifanya south africa na mandela halikadhalika na matokeo tuliyaona.FDLR mmeanza kupambana nayo toka lini na matokeo ni nini labda zaidi ya kila siku kutuonyesha bado wapo na bado ni tishio kwa kagame regime.As i said kukaa nao meza moja si dhambi,hao sio wa kwanza kuua.
Rwanda is safe and moving forward for better na itaendelea kuwa safe and prosperous Nation after Kagame, wachawi wachache kama wewe mnazidi kupungua everyday and soon you all with your hate,lies,doomsday ---- etc will be History,unajifanya neutral na kuitakia Rwanda mema lakini post zako zote ni self explanatory..fkcing bias and Tutsi hater so ushauri wako wa kifala peleka kwa machizi wenzako interahamwe and misinformed,tell them Nazi walisafishwa bila debate,negotiations or kukaa meza moja and Kigali will never make deals or negotiate with murderers...its either surrender or face a storm.
 
Muhutu wa Ngara unayechukia mbunge wako just because ana asili ya utusi,achana na akili za interahamwe mpuuzi wa mwisho wewe la sivyo utaishia pabaya.
...Mimi sio Muhutu, mimi ni Mhangaza. Mnaleta ubaguzi wenu huku kwetu lakini hamtaweza. So nitaishia pabaya wapi? USINITISHE, mtume hata huyo unayemtetea kuwa ni Mbunge wangu uone kama atanifanya nini. Tunampaga facts za tabia zenu za ubaguzi, so it is not strange to him. Mnamtegemea awe anawaletea habari huko kigali eee? kabanwa mbavu hana pa kupumulia...by the way wewe ndio unaweza ishia pabaya sio mimi.
 
Rwanda is safe and moving forward for better na itaendelea kuwa safe and prosperous Nation after Kagame, wachawi wachache kama wewe mnazidi kupungua everyday and soon you all with your hate,lies,doomsday ---- etc will be History,unajifanya neutral na kuitakia Rwanda mema lakini post zako zote ni self explanatory..fkcing bias and Tutsi hater so ushauri wako wa kifala peleka kwa machizi wenzako interahamwe and misinformed,tell them Nazi walisafishwa bila debate,negotiations or kukaa meza moja and Kigali will never make deals or negotiate with murderers...its either surrender or face a storm.

Tatizo kubwa sana!Nimekupa mifano ya waafrika wenzako waliokaa meza moja na kuzungumza na wakapata matokeo(amani ya uhakika) hutaki unataka mifano ya uzunguni!kweli miafrika ndivyo tulivyo,ukoloni tutaendelea kulipa gharama za ukoloni kwa kumtukuza na kumuona mbora mweupe mpaka kiama.Tatizo lenu nyie(na hii ni kwa makundi yenu hayo yote mawili)mtu akitofautiana na nyie au kuwa na mawazo tofauti na nyie kwa kujiona mnajua kila kitu huwa mnamjumuisha kwenye moja kati ya hayo makundi yenu kwa kudai ana uhusiano na kundi kinzani,mlifanya hivyo kwa nyerere,mandela(walipojaribu kuwasuluhisha burundi),kundi moja lililoona nyerere haamini kama wao wakasema ni wa kundi pinzani that's y,kikwete halikadhalika yakamkuta yaliyomkuta akaambiwa ni shemeji wa kundi la pili,sijui kundi la pili na wamakonde kabila la mkewe kikwete vinahusiana vipi!leo mimi kuona tofauti na wewe nishakua Interahamwe,that's sucks!folks msifikiri dunia nzima ina hayo makundi yenu mawili tu,wengine ndio tunayajua sawasawa kupitia hili bandiko.

Lakini anyways tukubali kutokubaliana ili tusonge mbele,kitu kizuri nimepata taarifa kutoka chanzo cha kuaminika kwa kagame anasoma sana jf na haya tunayoongea anayafuatilia,hii inaweza kusaidia.
 
Nyie endeleeni kulia lia lakini jk alishawaeleza ukweli,mkae meza moja ndio mtakua na usalama wa kudumu,mwenye kununa anune mwenye kucheka acheke yeye kishashauri kaachana na nyie anasonga mbele huyooooooooo........hana muda na wabaguzi nyie,yuko busy kuimarisha mahusiano mema na friends of Tanzania..........

RAIS wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete leo amewatembelea washambuliaji wawili Watanzania wanaocheza TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Mbwana Ally Samatta na Thomas Emannuel Ulimwengu.


Tovuti ya TPM imeandika kwamba Rais Kikwete aliwatembelea wachezaji hao leo mjini Kinshasa ambako wapo na timu yao kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya DRC dhidi ya mahasimu wao katika mbio za ubingwa AS Vita.[TABLE="class: tr-caption-container"]
[TR]
[TD="align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: tr-caption, align: left"]Rais Kikwete akiwa na Samatta kulia na Ulimwengu kushoto mjini Kinshasa leo[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

Rais Kikwete aliye ziarani DRC, alikuwa ameambatana na maofisa wawili wa Ubalozi wa Tanzania majira ya Saa 6:15 mchana alipokutana na wachezaji hao pamoja na Mwenyekiti wa klabu yao, Moses Katumbi.

Rais Kikwete yupo Kinshasa tangu jana usiku kwa ziara maalum ya Saa 24 juu ya ushirikiano wa DRC na Tanzania, ambako alikutana na rais mwenzake wa huko, Joseph Kabila.
Kikwete alitumia robo saa kuzungumza na akina Samatta katika hoteli ya Congo River, ambako wameweka kambi kwa ajili ya mechi ya kukata na shoka kesho.

Rais Kikwete aliwakumbusha Samatta na Ulimwengu kwamba, Watanzania wanajivunia kuwaona wakiwa na jezi za TPM na kwamba wao ni tegemeo la timu ya taifa, Taifa Stars kwa sasa.

KONGO3.JPG


jk na jk

D92A0582.jpg


Rais wa Angola Jose Eduardo Dos Santo akimkaribisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katika ikulu ya nchi hiyo jijini Luanda na kufanya naye mazungumzo .Rais Kikwete alikuwa nchini Angola kwa ziara ya kikazi ya siku moja(picha na Freddy Maro)
 
Kitu kingine,kwa maoni yangu naona kagame ni kama aliover react kwenye ule ushauri wa kikwete.Folks njia pekee ya kuifanya Rwanda ipate usalama wa kudumu ni kukaa na wale mabwana na kutizama namna bora ya kusahau yaliyopita then kuleta umoja wa wanyarwanda wote,katika hali ilivyo rwanda na ninachokisoma hapa kutoka kwenu hakuna rwanda ya utawala wa mtutsi peke yake wala ya mhutu peke yake,ni lazima mtawale kwa pamoja ndio mtabaki na usalama wa kudumu acha huu usalama wenu alioushikilia kagame as kagame akiondoka nao umeondoka.Kukaa meza moja na waasi si dhambi wala si kitu kigeni,angola na unita walifanya,Sudan na Garang walifanya south africa na mandela halikadhalika na matokeo tuliyaona.FDLR mmeanza kupambana nayo toka lini na matokeo ni nini labda zaidi ya kila siku kutuonyesha bado wapo na bado ni tishio kwa kagame regime.As i said kukaa nao meza moja si dhambi,hao sio wa kwanza kuua.
Lakin nawashangaa sana,mnaongea kama vile rwanda kuna matatizo ya amani,rwanda siyo DRC,SOMALIA,SOUTH SUDANI,DARFUR,CAR ETC.rwanda ni nchi yenye amani,haina vita na mtu yeyote,hao FDLR wanapambana na wakongo mani,mipaka ya rwanda inalindwa vizuri sana kama vile tanzania inavyo linda mipaka yake,sasa mimi sioni hilo tatizo la amani linatokea wapi,mnazua matatizo yasiyo kuwepo,kikwete yeye alitaka tu kuwasemea wauaji kwa interest tusizo zijua,lakini kitu nacho hisi sina uhakika ni kampeini za mataifa yanje kumtumia kikwete kuleta chokochoko rwanda sanasana france lakini kikwete alikuta amejidanganya kwani alikuta number anayo cheza nayo si size yake.
 
...Mimi sio Muhutu, mimi ni Mhangaza. Mnaleta ubaguzi wenu huku kwetu lakini hamtaweza. So nitaishia pabaya wapi? USINITISHE, mtume hata huyo unayemtetea kuwa ni Mbunge wangu uone kama atanifanya nini. Tunampaga facts za tabia zenu za ubaguzi, so it is not strange to him. Mnamtegemea awe anawaletea habari huko kigali eee? kabanwa mbavu hana pa kupumulia...by the way wewe ndio unaweza ishia pabaya sio mimi.
Wewe muhangaza wa wapi? hawa ni zile interahamwe zilizo toroka kambini benako na kujichanganya na wahangaza,pole sana huwezi jificha kwani roho yako inajionyesha katika maoni yako dhidi ya rwanda,nafikiri idara ya uhamiaji inabidi ifanye kazi yake pamoja na interpol.
 
Dalili za kuangamia ni kiburi.
Ndugu yangu tofautisha kiburi na confidence,PK ni mtu mwenye confidence siyo kiburi,anajua analolifanya na kwa faida ya wanyarwanda wote,sasa wajinga ndio wafikiriao kwamba ni kiburi.
 
‘The price is not a problem," says the man on the phone. "We will show our appreciation if things are beautifully done. They will be rewarded."
The tone of this offer, calm and confident, is so casual it could be about bringing on workers for a plumbing job. What is actually under discussion: $1-million for the hiring of contract killers to assassinate two of Rwandan President Paul Kagame's most hated enemies.

It is 2011, and the speaker is Colonel Dan Munyuza, Rwanda's director of military intelligence and a trusted ally of the Rwandan president. The man on the other end of the line is Robert Higiro, a former Rwandan army major living in exile.
Full story: Assassination in Africa: Inside the plots to kill Rwanda’s dissidents - The Globe and Mail
Cc: murutongore MUKAMASIMBA nasubiri mseme even Canada (the land of dallaire..:frusty:) is turning out to be hutu genocidaire, FDLR, RNC bla bla bla….have a good day.
Lakini hamuyaoni ya tanzania? watu katika usalama wa taifa wanatunguliwa kilasiku mitaani bongo,wala hakuna mtu anayejiuliza nani kafanya hayo mauaji,cha ajabu ya rwanda yanawakera sijui kwanini? pilipili usiyo ila inakuwashia nini ingawa haya yote sio ukweli.
 
Lakini hamuyaoni ya tanzania? watu katika usalama wa taifa wanatunguliwa kilasiku mitaani bongo,wala hakuna mtu anayejiuliza nani kafanya hayo mauaji,cha ajabu ya rwanda yanawakera sijui kwanini? pilipili usiyo ila inakuwashia nini ingawa haya yote sio ukweli.

tofautisha mfanyakazi wa idara ya usalama wa taifa na spy, mfanyakazi wa usalama wa taifa anaweza kuwa mhasibu, mhandisi etc ndani ya TISS. Vinginevyo lete source hapa kwamba aliyeuawa alikuwa spy!
on the other hands ya Rwanda ni Chief spy, generals, ambassadors, etc.....Huwezi kulinganisha na TZ hata kidogo.
 
Lakin nawashangaa sana,mnaongea kama vile rwanda kuna matatizo ya amani,rwanda siyo DRC,SOMALIA,SOUTH SUDANI,DARFUR,CAR ETC.rwanda ni nchi yenye amani,haina vita na mtu yeyote,hao FDLR wanapambana na wakongo mani,mipaka ya rwanda inalindwa vizuri sana kama vile tanzania inavyo linda mipaka yake,sasa mimi sioni hilo tatizo la amani linatokea wapi,mnazua matatizo yasiyo kuwepo,kikwete yeye alitaka tu kuwasemea wauaji kwa interest tusizo zijua,lakini kitu nacho hisi sina uhakika ni kampeini za mataifa yanje kumtumia kikwete kuleta chokochoko rwanda sanasana france lakini kikwete alikuta amejidanganya kwani alikuta number anayo cheza nayo si size yake.

kama FDLR wanapambana na wacongo, mbona kila siku Rwanda ndio inayolia lia!
 
Wewe muhangaza wa wapi? hawa ni zile interahamwe zilizo toroka kambini benako na kujichanganya na wahangaza,pole sana huwezi jificha kwani roho yako inajionyesha katika maoni yako dhidi ya rwanda,nafikiri idara ya uhamiaji inabidi ifanye kazi yake pamoja na interpol.
...keep on waiting!...the truth has been unveiled and this will go on till you learn a lesson...
 
Lakin nawashangaa sana,mnaongea kama vile rwanda kuna matatizo ya amani,rwanda siyo DRC,SOMALIA,SOUTH SUDANI,DARFUR,CAR ETC.rwanda ni nchi yenye amani,haina vita na mtu yeyote,hao FDLR wanapambana na wakongo mani,mipaka ya rwanda inalindwa vizuri sana kama vile tanzania inavyo linda mipaka yake,sasa mimi sioni hilo tatizo la amani linatokea wapi,mnazua matatizo yasiyo kuwepo,kikwete yeye alitaka tu kuwasemea wauaji kwa interest tusizo zijua,lakini kitu nacho hisi sina uhakika ni kampeini za mataifa yanje kumtumia kikwete kuleta chokochoko rwanda sanasana france lakini kikwete alikuta amejidanganya kwani alikuta number anayo cheza nayo si size yake.

Tayari umesema unahisi. huna uhakika na mambo unayosema mkuu. Ni bora ukae kimya wenye data waongee
 
Prof Lwakabamba alikulia hapa TZ; anachotaka PaKa ni Anglophones wa kitutsi, hata watutsi wenzao ambao ni francophone hawatakiwi hii ikiwa ni mpango wa kuwa eliminate wahutu ambao majority ni francophone.. so hiyo ndio point ya JustDoItNow..

Huu upuuzi ndio mnadanganyana mkishakunywa zile kahawa chafu na viroba,nawasikitikia sana kama mnaweza kuamini huu utumbo ulioandika,I think tuna debate na wehu humu
 
Lakin nawashangaa sana,mnaongea kama vile rwanda kuna matatizo ya amani,rwanda siyo DRC,SOMALIA,SOUTH SUDANI,DARFUR,CAR ETC.rwanda ni nchi yenye amani,haina vita na mtu yeyote,hao FDLR wanapambana na wakongo mani,mipaka ya rwanda inalindwa vizuri sana kama vile tanzania inavyo linda mipaka yake,sasa mimi sioni hilo tatizo la amani linatokea wapi,mnazua matatizo yasiyo kuwepo,kikwete yeye alitaka tu kuwasemea wauaji kwa interest tusizo zijua,lakini kitu nacho hisi sina uhakika ni kampeini za mataifa yanje kumtumia kikwete kuleta chokochoko rwanda sanasana france lakini kikwete alikuta amejidanganya kwani alikuta number anayo cheza nayo si size yake.

Amani ipi?hii ambayo mnaweweseka na uwepo wa FDLR Congo ambayo kagame amewaaminisha kwamba yeye ndio ameishikilia na kwamba bila yeye FDLR watakuja kuwachinja! Amani sampuli hiyo siitaki,bora ya kuwa mkimbizi kukiko "amani" hiyo
 
Huu upuuzi ndio mnadanganyana mkishakunywa zile kahawa chafu na viroba,nawasikitikia sana kama mnaweza kuamini huu utumbo ulioandika,I think tuna debate na wehu humu
...kila anayewaambia ukweli kwenu ni mwehu!....haya endeleeni nyie wenye "akili" na wenye "kujua"
 
Prof Lwakabamba alikulia hapa TZ; anachotaka PaKa ni Anglophones wa kitutsi, hata watutsi wenzao ambao ni francophone hawatakiwi hii ikiwa ni mpango wa kuwa eliminate wahutu ambao majority ni francophone.. so hiyo ndio point ya JustDoItNow..

Irankunda,

Please refer to the text in red. Hivi unaposema wahutu/watutsi francophone hawatakiwi Rwanda na kuwa kuna mpango wa kuwa-eliminate una maana gani hasa? You do know that Rwanda is majority Hutu right? Do you really think Pres Kagame can eliminate a whole people just like that? And why would he do that? To what end? Hii ni thinking ya ki-genocidaire kama walivyotaka kufanya jamaa zako wa interahamwe kuwamaliza watutsi before 1994. I personally dislike the French for the crimes they committed in cahoots with the Habyarimana junta. I don't necessarily support Kagame's decision to distance the country from the French language. Hata wakati ule wa Sharpville, I would have supported and learned Afrikaans had I been South African. The best way to know your enemy is through learning his/her language and culture. When you understand how he or she reasons and "operates", it is easier to contain them. So I don't agree with the decision but I understand coz ile kitu mufaransa nafanya si nzuri. Aidha, si kila mhutu anajua kifaransa. Tena nitakwambia wengi hawaongei kifaransa. Wanaokijua ni bourgeois remnants wa Habyarimana regime and their cronies. Lakini hakuna deliberate plan to "eliminate" francophone people in Rwanda, the very claim is absurd. If anything, ni mfululizo wa baseless accusations hurled at the good president Kagame.
 
Irankunda,

Please refer to the text in red. Hivi unaposema wahutu/watutsi francophone hawatakiwi Rwanda na kuwa kuna mpango wa kuwa-eliminate una maana gani hasa? You do know that Rwanda is majority Hutu right? Do you really think Pres Kagame can eliminate a whole people just like that? And why would he do that? To what end? Hii ni thinking ya ki-genocidaire kama walivyotaka kufanya jamaa zako wa interahamwe kuwamaliza watutsi before 1994. I personally dislike the French for the crimes they committed in cahoots with the Habyarimana junta. I don't necessarily support Kagame's decision to distance the country from the French language. Hata wakati ule wa Sharpville, I would have supported and learned Afrikaans had I been South African. The best way to know your enemy is through learning his/her language and culture. When you understand how he or she reasons and "operates", it is easier to contain them. So I don't agree with the decision but I understand coz ile kitu mufaransa nafanya si nzuri. Aidha, si kila mhutu anajua kifaransa. Tena nitakwambia wengi hawaongei kifaransa. Wanaokijua ni bourgeois remnants wa Habyarimana regime and their cronies. Lakini hakuna deliberate plan to "eliminate" francophone people in Rwanda, the very claim is absurd. If anything, ni mfululizo wa baseless accusations hurled at the good president Kagame.
Naona unahisi nilivyosema kuwa - eliminate nina maana ya kuua (maana nyie watutsi ndo kazi yenu). I just meant that, to eliminate them from the system and not to "kill" them as your brain makes you think..Hayo mengine ni yako!
 
Naona unahisi nilivyosema kuwa - eliminate nina maana ya kuua (maana nyie watutsi ndo kazi yenu). I just meant that, to eliminate them from the system and not to "kill" them as your brain makes you think..Hayo mengine ni yako!

Ha ha ha ha Irankunda una matani sana. Alright do your thing my friend. I ain't mad atcha.
 
Irankunda,

Please refer to the text in red. Hivi unaposema wahutu/watutsi francophone hawatakiwi Rwanda na kuwa kuna mpango wa kuwa-eliminate una maana gani hasa? You do know that Rwanda is majority Hutu right? Do you really think Pres Kagame can eliminate a whole people just like that? And why would he do that? To what end? Hii ni thinking ya ki-genocidaire kama walivyotaka kufanya jamaa zako wa interahamwe kuwamaliza watutsi before 1994. I personally dislike the French for the crimes they committed in cahoots with the Habyarimana junta. I don't necessarily support Kagame's decision to distance the country from the French language. Hata wakati ule wa Sharpville, I would have supported and learned Afrikaans had I been South African. The best way to know your enemy is through learning his/her language and culture. When you understand how he or she reasons and "operates", it is easier to contain them. So I don't agree with the decision but I understand coz ile kitu mufaransa nafanya si nzuri. Aidha, si kila mhutu anajua kifaransa. Tena nitakwambia wengi hawaongei kifaransa. Wanaokijua ni bourgeois remnants wa Habyarimana regime and their cronies. Lakini hakuna deliberate plan to "eliminate" francophone people in Rwanda, the very claim is absurd. If anything, ni mfululizo wa baseless accusations hurled at the good president Kagame.

1. Kila siku mnaonea wafaransa, what motive did the french had kuwa against you tutsi minorities, given that the whole country was francophone at that time? kwa nini wafaransa wawe adui zenu nyinyi tu?

2. Acha kudanganya watu, kifaransa kilikua ndio lugha ya administration, na vile vile kilifundishwa shule, kwa upande wa pili kingereza kaja nacho kagame toka uganda, nyinyi wengine toka bongo ndio siku hizi mnaleta kiswahili. Hivyo it is not true kwamba wanaojua kifaransa ni wahutu bourgeois, that's a big fat lie, anybody aliyesoma wakati wa Habyarimana anajua french!
On the other hand ni rahisi sana kujua "mnyarwanda" ambaye hajui kinyarwanda wala kifaransa bali kingereza tu anatokea wapi!🙂
 
Back
Top Bottom