Rwanda yaanza kutumia mabasi ya kutalii.

TODAYS

JF-Expert Member
Apr 30, 2014
13,994
21,850
Baada ya kuingia mkataba na timu ya Arsenal kuweza kuitangaza nchi ya Rwanda kwenye jezi zao, mara hii nchi hiyo imezindua kwa mara ya kwanza mabasi yatakayotumika kufanya utalii nchini humo.

Screenshot_20190323-185743.jpg


Basi moja lina thamani ya faranga za Rwanda milioni 160, ambapo basi moja lina uwezo wa kubebawatalii 200 kila siku na uwapeleka katika maeneo ya utalii yakiwemo yale yanayoelezea historia ya jiji la kigali.


Garama za kutalii kwa Mgeni inakisiwa kuwa Tshs 112,000 kwa mizunguko mitatu huku raia na wakazi pamoja na raia wa mataifa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wakilipa franga za Rwanda 25, 000 kwa mizunguko hiyo.
 
Tumechoka Habari za Rwanda kama una mahaba nao hamia huko. Wangekuwa na Pessa ndio Watoto wao wakose mikopo ya Elimu ya Juu wakimbilie kukopa Kodi zetu huku Tzie. Hizi habari za kuisifia Rwanda mwambieni Huyo mume wenu Kagame tumezichoka na wala hatuzihitaji.
 
Baada ya kuingia mkataba na timu ya Arsenal kuweza kuitangaza nchi ya Rwanda kwenye jezi zao, mara hii nchi hiyo imezindua kwa mara ya kwanza mabasi yatakayotumika kufanya utalii nchini humo.

View attachment 1052307

Basi moja lina thamani ya faranga za Rwanda milioni 160, ambapo basi moja lina uwezo wa kubebawatalii 200 kila siku na uwapeleka katika maeneo ya utalii yakiwemo yale yanayoelezea historia ya jiji la kigali.


Garama za kutalii kwa Mgeni inakisiwa kuwa Tshs 112,000 kwa mizunguko mitatu huku raia na wakazi pamoja na raia wa mataifa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wakilipa franga za Rwanda 25, 000 kwa mizunguko hiyo.
Hizi pesa mbona mvurugano? Ingekuwa vyema zingeripotiwa katika aina moja ili hata ukitaka ufanye mahesabu ya harakaharaka iwe rahisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kuingia mkataba na timu ya Arsenal kuweza kuitangaza nchi ya Rwanda kwenye jezi zao, mara hii nchi hiyo imezindua kwa mara ya kwanza mabasi yatakayotumika kufanya utalii nchini humo.

View attachment 1052307

Basi moja lina thamani ya faranga za Rwanda milioni 160, ambapo basi moja lina uwezo wa kubebawatalii 200 kila siku na uwapeleka katika maeneo ya utalii yakiwemo yale yanayoelezea historia ya jiji la kigali.


Garama za kutalii kwa Mgeni inakisiwa kuwa Tshs 112,000 kwa mizunguko mitatu huku raia na wakazi pamoja na raia wa mataifa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wakilipa franga za Rwanda 25, 000 kwa mizunguko hiyo.
Tuliiga ya ndege, punde tutasikia mabasi ya watalii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kuingia mkataba na timu ya Arsenal kuweza kuitangaza nchi ya Rwanda kwenye jezi zao, mara hii nchi hiyo imezindua kwa mara ya kwanza mabasi yatakayotumika kufanya utalii nchini humo.

View attachment 1052307

Basi moja lina thamani ya faranga za Rwanda milioni 160, ambapo basi moja lina uwezo wa kubebawatalii 200 kila siku na uwapeleka katika maeneo ya utalii yakiwemo yale yanayoelezea historia ya jiji la kigali.


Garama za kutalii kwa Mgeni inakisiwa kuwa Tshs 112,000 kwa mizunguko mitatu huku raia na wakazi pamoja na raia wa mataifa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wakilipa franga za Rwanda 25, 000 kwa mizunguko hiyo.
Umeandika kana kwamba wote tunaijua faranga.
 
Back
Top Bottom