Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,011
- 9,879
Rwanda imetangaza kufungulia biashara lakini imewataka wafanyabiashara kufuata hatua mambo yote ya kujilinda. Aidha masoko yatafunguliwa kwa 50% tu ya wafanya biashara waliosajiliwa. Na kusisitiza malipo ya kielektorinic kila inapowezekana
Usafiri wa umma utapakia watu watakaovaa barakoa tu. Bodaboda hawataruhusiwa kubeba abiria bali kuendelea na usambazaji. Mazishi yatahudhuriwa na watu 30
Pia wataendelea kuwapima raia wote nchini humo. Huku swala la kuvaa barakoa katika maeneo ya watu wengi likiwa ni lazima. Na watu hawaruhusiwi kutembea kuanzia saa mbili usiku hadi saa kumi na moja alfajiri
Lakini wameendelea kufunga shule zote hadi Septemba. Pia nyumba za ibada zitaendelea kufungwa hadi itakapotangazwa tofauti. Mipaka yote itafungwa isipokuwa kwa kupokea mizigo au wanyarwanda wanaorudi kwao, ambao watatakuwa kujitenga kwa siku 14
Usafiri wa umma utapakia watu watakaovaa barakoa tu. Bodaboda hawataruhusiwa kubeba abiria bali kuendelea na usambazaji. Mazishi yatahudhuriwa na watu 30
Pia wataendelea kuwapima raia wote nchini humo. Huku swala la kuvaa barakoa katika maeneo ya watu wengi likiwa ni lazima. Na watu hawaruhusiwi kutembea kuanzia saa mbili usiku hadi saa kumi na moja alfajiri
Lakini wameendelea kufunga shule zote hadi Septemba. Pia nyumba za ibada zitaendelea kufungwa hadi itakapotangazwa tofauti. Mipaka yote itafungwa isipokuwa kwa kupokea mizigo au wanyarwanda wanaorudi kwao, ambao watatakuwa kujitenga kwa siku 14