RWANDA REFUGEES IN Tanzania...KAGAME ....

RWANDA REFUGEES IN Tanzania...KAGAME ....

Mkuu kosa la JK hujaliona bado?
JK anakosa la kwenda kuongea nje mambo ya chumbani kwanini asingemwita kagame na kuongea naye? yeye kaenda kusema mataifa makubwa? Najua TZ kwanza lakini nadhani hata jk kakosea sana kuropoka!
We nawe kwenye mataifa makubwa ndio wapi??? una hakika na unachosema???AU kuna mataifa makubwa??? kazi kweli kwelikweli.
 


Unapaswa ukabiliane na hoja, vinginevyo historia isiyokuwezesha kukabiliana na hoja haikusaidii.

sijaona hoja yeyote kwako pia only that u are fluent in Kiswahili....it is until u know history ndo unaweza fanya hoja kwa case ya Nyamurenge, Ntaganda,Nkunda na sasa Sultani Makenga....one congolese MP declared to insert swords in the asses of Banyamurenge and send them back to Rwanda wakati they are literary Congolese....mfano umepewa wa maasai wenda ni mzuri....lakini kwa ujinga muna-inherit huwezi kukubali......
 
Kagame ni mtoto mtukutu anayehisi kakua na kudharau kaka zake..mwisho wake waja, tamko la kikwete alilofanya ni kitu kinaitwa fair comment nasikuropoka..sipendi serekali ya jk lakini kwa hili namtetea..
 
Mr.Koba im finding it difficult to just agree with you that al those who condem the ungrateful words of PK are the Interahamwe.I believe you either did this out of ur knowldge or by mistake for the INTERAHAMWE means(kinyarwanda.,''THOSE WHO STAND/WORK/FIGHT/ATTACK TOGETHER'') is a Hutu paramilitary organization,so do want to mean al who say Rwanda should find peace wth the other fightn parts means they need that fight?lets have a sense of maturity and be bold when we put out our ideas.Peace needs round table talks and humbled minds workn together, crazy arrogance yields nothn better than fatalities.
 
Mr.Koba im finding it difficult to just agree with you that al those who condem the ungrateful words of PK are the Interahamwe.I believe you either did this out of ur knowldge or by mistake for the INTERAHAMWE means(kinyarwanda.,''THOSE WHO STAND/WORK/FIGHT/ATTACK TOGETHER'') is a Hutu paramilitary organization,so do want to mean al who say Rwanda should find peace wth the other fightn parts means they need that fight?lets have a sense of maturity and be bold when we put out our ideas.Peace needs round table talks and humbled minds workn together, crazy arrogance yields nothn better than fatalities.
I never said/believe that so tuliza,ila to advocate round up and wipe of tutsi ni ideologue ya interahamwe ambayo huyu member Rushasha/mokala ndio anachoamini na angekuwa na uwezo angefanya na nimemuita interahamwe na ninaamini ni interahamwe.
 
I never said/believe that so tuliza,ila to advocate round up and wipe of tutsi ni ideologue ya interahamwe ambayo huyu member Rushasha/mokala ndio anachoamini na angekuwa na uwezo angefanya na nimemuita interahamwe na ninaamini ni interahamwe.

Asante! Huninyimi usingizi na matusi yko. Nyie ndo mna ideology ya kuteketeza wahutu wote kama alivofanya tyrant wenu na kuwazika karibia wahutu elfu 20 in a mass grave! I never said I want to see tutsi exterminated...hayo ulizusha weww baada ya kukupa ukweli ambao hukuutegemea juu ya tabia zenu za chuki, uuaji na ubaguzi uliokithiri. So keep on calling me names, they will not be painted on my face! My ideology will remain to be peace, love, prosperity and tranquility for the whole of Africa. You tutsi are the source of troubles in Great Lakes Region. Now answer my question; why kagame insulted President Kikwete? That is lack of human senses of highest degree. Endelea kutukana matusi yooote maana ndo mnachojua nyie watutsi! Now enjoy killing all non-tutsi in DRC and rwanda so that you can quench yr thirsty for human blood! Ukome kuniita interahamwe..
 
Mr.Koba im finding it difficult to just agree with you that al those who condem the ungrateful words of PK are the Interahamwe.I believe you either did this out of ur knowldge or by mistake for the INTERAHAMWE means(kinyarwanda.,''THOSE WHO STAND/WORK/FIGHT/ATTACK TOGETHER'') is a Hutu paramilitary organization,so do want to mean al who say Rwanda should find peace wth the other fightn parts means they need that fight?lets have a sense of maturity and be bold when we put out our ideas.Peace needs round table talks and humbled minds workn together, crazy arrogance yields nothn better than fatalities.

Ndugu Mlengo; Mr Koba is a disgrace.. once you expose their (tutsi) devilish behaviour he'll insult you, calling you names like interahamwe and other insults which a person with a sound mind can never dare to write them here... just get used to him and move on ndugu Mlengo. WE NEED PEACE IN GREAT LAKES REGION!
 
Wakuu kwenye jamvi hili tukumbuke kuwa kuna kitu kinafukuta DRC, tutake tusitake. Tunatakiwa tutoe maoni ya kusaidia majirani zetu waepuke balaa, na si kuingia kwenye balaa zaidi. This time around Tanzania imetishiwa na Kagame, mpaka Rais, Makamu wake, Rais SMZ, CDF na Mkuu wa TISS wote walitembelea Kagera na kutoa ujumbe mzito, hili si jambo dogo, the worst can happen. Tukumbuke kuwa TZ is not DRC, kuna watusi wengi sana Kigoma na Kagera, lakini wao si watusi kama kina Nkundabwatare, Nataganda. Bizimana karahana, it is possible that watusi na wahutu walioko DRC have no love and respect to the country which hosted them and they are ready to murder the weak of those who hosted them. Those who are here, at least they have respect to our country and our ways of life. kwa hiyo ni bora tusiwavictimize. Kagame may have threatened Museveni and two Kabilas, may have had a hand or not in downing of Habyarimanas jet, may have had a hand in CAR as some try to claim, lakini huku mashariki anakosogea kuna tofauti kiasi, it is very possible that it will not play they way it has in those countries. Mnaomsifia na kumtetea Kagame ni wajinga, kwa kuwa vitendio vyake vinahatarisha sana usalama wa muda mrefu wa wanyarwanda(makabila yote, lakini hasa watusi), hata siku moja siwezi kuamini kama wahutu wote ni Interahamwe, na siamini kama watusi wote ni wahanga au wana mawazo sawa na Kagame.

Na sitaki kuamini kuwa mtusi mkimbizi kutoka Uganda na Tanzania ndio anajua uchungu wa genocide kuliko mtusi aliyekaa Rwanda na kuvumilia ukatili wa Habyarimana, ku-survive chinjachinja ya Interahamwe, na aliyekuwa anakimbia mapanga Kigali na sehemu nyingine za rwanda, na sitaki kuamini kuwa mtanzania ambaye alikuwa anakunywa maji ya maiti mto Kagera, kuopoa miili ya marehemu kwenye mto Kagera na kuizika, na kupokea mamia wa wakimbizi ambao mbali na majeraha ya kimwili pia wana majeraha makubwa ya kiroho, hayuko sahihi anaposema ongea na FLDR. My point here is, version ya mtu mmoja kuhusu RWANDA/DRC, na kutumia genocide kama political capital.....inaleta maswali mengi sana kuhusu ukweli wa mapenzi kwa watusi au tu ni mtaji wa kisiasa.

It is a fact that hutus are currently second class citizens of Rwanda, they may be not de jure but de facto, and that in itself is a time bomb which in the end will bring the back the situation which made Paul kagame and his parents to flee a country in first place, Paul Kagame will not be there in 20 30 years when that bomb will explode.

You said it very well....it may be true that not all tutsi have the kagame's ideology of exterminating non- tutsi!...but in most cases these people are one and the same. They have very secretive missions and suspicious meeting. A good example is when the tutsi in a place called Manyovu crossed the boarder to Burundi to vote for Mr Buyoya who ruthlessly killed a democratically selected President of Burundi. When rpf was invading rwanda from uganda, tutsi born here and held some senior position in the Government of Tanzania (like mr deogratias ntukamazina who is currently an MP for Ngara) were holding meetings to support the invasion which ignited the genocide in rwanda! MAY THAT NEVER HAPPEN AGAIN IN ANY COUNTRY... So brother, there may be tutsi who love peace, but is not the kind of KOBA and his fellows with kagame's ideology of killing non tutsi and rule the GLR!..
 
I never said/believe that so tuliza,ila to advocate round up and wipe of tutsi ni ideologue ya interahamwe ambayo huyu member Rushasha/mokala ndio anachoamini na angekuwa na uwezo angefanya na nimemuita interahamwe na ninaamini ni interahamwe.

Alafu uwe unaongea kama mwaname if at all you are! The way u present yr arguments here brings that doubt to me cause you are just full of insults. Are they coming from the same mouth you take in your food? JIJHESHIMU! Haya yote kayasababisha kagame kwa kumtukana na kumdhihaki Mh Rais Kikwete!
 
We Mkuu hivi Rwanda ni Kagame tu na haina watu wengine? Do Rwandans believe in him or God? Tanzania tuwewahi kuwafukuza hao unaosema, not UK, tuliwahi kuwafukuza Ujerumani na kuwaambia waondoe na misaada yao, so we did it and we can definately do it again, kufunga ubalozi ni kitu kidogo sana. are you sure Sarkozy alikuja kupiga magoti, unajua lengo lake hasa lilikuwa ni nini kurudisha uhusiano na Rwanda?

By the way do you know that going to bed with FDLR is not different from going to bed with M23. Muuaji ni muuaji tu, awe mtanzania, mtusi au mhutu. M23 to me are equally as bad as FDLR. why should we demonize a rwandese hutu murderer, and defend, support and protect a congolese tutsi murderer, are these people really different? au muuaji mtusi ni bora kuliko muuaji mhutu? if there is any person with this view atakuwa eediot kabisa.

Kumhifadhi Nkundabwatare Kigali na kumhifadhi Interhamwe DRC ni kitu kilekile, we need to be objective in this.

Umeuliza maswali mazuri sana lakini koba na murutongore watakachofanya ni kukwepa maswali ya msingi na kuanza hoja dhaifu, zaidi ya hapo subiria kuitwa interahamwe na matusi mengine. It is true that, FDRL na hao M23 wote ni wauaji. Lkn kwa vile M23 ni watutsi wenzao watawatetea hadi mwisho. LENGO KUBWA LA WATUTSI WALIO WENGI NI KUWAMALIZA WAHUTU NA WAKONGO ILI WAISHI PEKE YAO.
 
You said it very well....it may be true that not all tutsi have the kagame's ideology of exterminating non- tutsi!...but in most cases these people are one and the same. They have very secretive missions and suspicious meeting. A good example is when the tutsi in a place called Manyovu crossed the boarder to Burundi to vote for Mr Buyoya who ruthlessly killed a democratically selected President of Burundi. When rpf was invading rwanda from uganda, tutsi born here and held some senior position in the Government of Tanzania (like mr deogratias ntukamazina who is currently an MP for Ngara) were holding meetings to support the invasion which ignited the genocide in rwanda! MAY THAT NEVER HAPPEN AGAIN IN ANY COUNTRY... So brother, there may be tutsi who love peace, but is not the kind of KOBA and his fellows with kagame's ideology of killing non tutsi and rule the GLR!..
Acha kumzushia huyo mbunge wa watu(Ntukamazina) tunamjua sana so peleka huo upuuzi wako kwa interahamwe wenzako!
 
Alafu uwe unaongea kama mwaname if at all you are! The way u present yr arguments here brings that doubt to me cause you are just full of insults. Are they coming from the same mouth you take in your food? JIJHESHIMU! Haya yote kayasababisha kagame kwa kumtukana na kumdhihaki Mh Rais Kikwete!
Say what you say wewe ni interahamwe tuu na una chuki na kila mtu mwenye asili ya utusi..just get the fukkkccc out bassstaaard!!
 
Say what you say wewe ni interahamwe tuu na una chuki na kila mtu mwenye asili ya utusi..just get the fukkkccc out bassstaaard!!

Sina chuki na kila mtutsi; ila ninachukia watutsi na wengine wenye tabia za UUAJI NA UBAGUZI kama wewe na kagame, ntaganda, lawrent nkunda na wengineo! Umejitahidi kutukana.. ongeza na mengine. Sina haja ya kukurudishia matusi nsije onekana mwehu kama wewe. Ni kama vile Mh Kikwete alivokaa kimya baada ya matusi ya kagame.
 
Ndugu Mlengo; Mr Koba is a disgrace.. once you expose their (tutsi) devilish behaviour he'll insult you, calling you names like interahamwe and other insults which a person with a sound mind can never dare to write them here... just get used to him and move on ndugu Mlengo. WE NEED PEACE IN GREAT LAKES REGION!
We need peace my azz,dawa ya ideologue delusional like you ni jela na kuwanyuka mpaka msalimu amri kama walivyofanywa NAZI.
 
sijaona hoja yeyote kwako pia only that u are fluent in Kiswahili....it is until u know history ndo unaweza fanya hoja kwa case ya Nyamurenge, Ntaganda,Nkunda na sasa Sultani Makenga....one congolese MP declared to insert swords in the asses of Banyamurenge and send them back to Rwanda wakati they are literary Congolese....mfano umepewa wa maasai wenda ni mzuri....lakini kwa ujinga muna-inherit huwezi kukubali......

kwani huwa unaonaga hoja na wewe? Kama hao kina ntaganda na nkunda ni wakongo ni vipi walishiriki vita ya kuivamia rwanda toka uganda? Mfano wa Wamasai is not relevant for one major reason, hawana ideology ya uuaji wala dreams za expansionism. They are peaceful people. Sasa jiulize ni kwann hawajadiliwi hapa? Mwisho mtajileta Kagera na Kigoma kwenye baadhi ya watutsi mkitaka wajitenge ili mu expand bahima empire! Your expansionism dream wont work in Tanzania!
 
Sina chuki na kila mtutsi; ila ninachukia watutsi na wengine wenye tabia za UUAJI NA UBAGUZI kama wewe na kagame, ntaganda, lawrent nkunda na wengineo! Umejitahidi kutukana.. ongeza na mengine. Sina haja ya kukurudishia matusi nsije onekana mwehu kama wewe. Ni kama vile Mh Kikwete alivokaa kimya baada ya matusi ya kagame.
Acha kumwingiza Kikwete hahusiki na ideologue yako it was just politics hata Chaves alimwita Bush devil akiwa ndani ya US it wasn't a big deal so stop using that BS kwa agenda zako za interahamwe,na usidanganye watu humu TZ na Rwanda hawana matatizo yoyote or anything close to war/conflict.
 
taja makosa ya JK bila kuegemea upande wowote.
Mkuu JK hajakosea chochote - Ukweli wa mambo JK ana kalama ya kuona mbali, alijaribu kutumia lugha ya kidiplomasia kumpa tahadhali mapema Mh.Kagame yasije kumkuta ya Gabgo na Taylor - nakumbuka Taylor naye alikuwa hasikii la mtu alafu alikuwa mahili sana kutoa visingizio na kulahumu kila mtu hisipokuwa yeye mwenyewe!! Lakini nchi za magharibi na Dunia zilipo mchoka akaburuzwa the Hague unceremonously, wakumbuke Rwanda is not an Island i.e wasijidanganye kwamba Dunia inaogopa Administration ya Rwanda. International Community inawavutia pumzi tu huku wakitayarisha dossier ya North and South KIVU WAR CRIMES na list ya wahusika wakuu. Mimi sio nabii wala mtume lakini naona masahibu yaliyo msibu Mjapan one Hideki Tojo and other top Japanese leaders during World War II yatakuja kujirudia kutokana na sakata la DRC. Lets be frank here, crimes committed by M23/Rwandan army against humanity, especially in regard to their systematic genocide of the Hutus in refugees camps and not forgetting Congolese nationals, these heinous crime cannot be swept under a thick carpet by using any pretext under the SUN - remember genocide cannot be undone by committing a MEGA-GENOCIDE. JK si binadamu anayekurupuka tu na kuzungumzia chochote bila kutafakali, anasoma nyakati na alijua fika kwamba Mh.PK hawezi kuendelea kupigana na Wahutu na mahasimu wake wengine ambao baadhi yao ni Watutsi wenzake wasio kubaliana na Mh.PK on certain issues, alijua vile vile kwamba nchi za magharibi zimekwisha gundua janja ya Mh.PK ya kuzilahumu nchi za magharibi kila wakati kwamba hazikutoa msaada wakati wa mauuaji ya Watutsi nchini Rwanda; fine, tunakubali walikosea lakini je, kwa nini hilo litumike kufanya genocide nyingine kubwa zaidi nchini Congo na akiulizwa anakasirika na kuwapachika majina ya kila sampuli wale wote wanao question modus operandi yake - mfano: Utasikia wewe ni - Iterahamwe sympethizers, genociders, -ve force and what have you!!? Mimi sitachoka kumkumbusha kwamba "Two wrongs do not make a right." Nimalizie kwa kusema binadamu pekee ambaye angeweza kumkingia kifua Mh.Kagame hasiburuzwe the Hague hapo baadae ni Mh.Kikwetu, angeweza kusema Mh.PK amekubali kukaa chini na Wahutu wapiganaji na kumaliza tofauti zao, oh yes angeweza kusema kwamba Mh.Kagame amehamua kuinga mfano wenu (Merikani) mzuri wa kukubali kukaa meza moja na Watelabani kumaliza vita huko Afghanistan, nasikitika kusema sioni dalili zozote za Mh.Kagame kukubaliana na pendekezo kama hilo yuko ngangali kabisa, anamuona Mh.Kikwete si mali kitu, anaishia kumbeza beza tu!!! - lakini akumbuke akigeuziwa kibao na nchi za magharibi akaburuzwa the Hague atamkumbuka Mh.Jakaya Khalifani Kikwete. Mh.Paul Kagame ananisikitisha SANA, sijui kwa nini asomi nyakati!!
 
Back
Top Bottom