murutongore
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 2,051
- 639
Sorry bro, hukusoma bandiko langu kwa sababu ya prejudice.
Hakuna mahali nimesema warudishwe kwao labda kama utaonyesha ni wapi maana bandiko langu lipo na umelinukuu kuhakikisha hakuna editing. Ukishindwa kuonyesha rudi usome vizuri kwasababu historia unayosema unaijua nadhani umesimuliwa.
Huwezi kushindwa kuelewa jambo rahisi kwa mistari 12 ukaniambia unajua historia yenye kurasa 999.
Tunachosema ni kuwa Kagame anawaunga mkono. Nimekueleza kuwa hata walipotaka kura ya maoni ya kuigawa Congo Kagame amesimama nao. Hilo ni kosa kwasababu Wanyarwanda waliopo Kagera ipo siku wataomba kujitenga kwa mwendo huo huo wa PK kwa kusingizia wamezaliwa hapo na hivyo hawapaswi kurudishwa Rwanda bali kupewa nchi ya 'Kagera'
Nikasema, Kagame kwanini hataki kuridhia uwepo wa majeshi ya kimataifa? Kitu gani anahofia kama majeshi hayo yapo Congo na si nchini kwake?
Tukauliza kwanini Kagame alikuwa na uwezo wa Kumkamata Laurent Nkunda baada ya shinikizo la marais 3 kama alikuwa hana contact nao. Na kwanini yeye amhifadhi Kigali akijua ni muasi wa nchi ya Congo ambayo wewe unasema geographically watutsi wapo tu kama wamasai.
Unapaswa ukabiliane na hoja, vinginevyo historia isiyokuwezesha kukabiliana na hoja haikusaidii.
Bado hoja yako haina mantiki hata kidogo. Hivi hebu nikuulize? MONUSCO ni nini? Ipo Congo tangu lini? What have they done? Nothing. You know why? Because they are FDLR bedfellows. Halafu, hilo la Laurent Nkunda, hakuna aliyemshinikiza Kagame amkamate Nkunda. No one can force Kagame to do anything. Waulize Wafaransa. Walijaribu kesho yake akamfukuza balozi na akafunga ubalozi. Sarkosy alirudi akapiga magoti akaomba waanze upya bila kudharauliana. Can Tanzania do that? Can tanzania close UK High Commission? Naaaah! Don't think so? Hamna ubavu huo? What I want to say is that in Kagame you have a strong leader with a clear vision of what he wants to do for his people sasa wazungu hawati kiongozi kama huyo. Wanataka viongozi legelege ili waweze kuwa control and hence plunder your resources ili mendelee kuwa maskini omba omba. Kagame aliwaambia wazungu simamisheni misaada yenu sisi tutaenda shambani tule mihogo kuliko kunyanyaswa eti kwa sababu mnatupa misaada. Hapo hapo alianzisha mfuko wa Agaciro Foundation na ndani ya mwezi mmoja wananchi walikuwa wamechanga karibia dola milioni arubaini. This just shows how we believe in him. Hayo maneno ya nje hayamnyimi usingizi.