1. inafuatana ushauri aliutolewa wapi? kwanini asimuite kama rafiki?
2. Sijawahi sikia akiongea najua ni sababu anajua alikosea
3.Alishikwa na bado anahasira nasisi anashangaa mbona hukumwambia kama rafiki badala yake umeenda kumtangaza mbele za watu
4. Wanaongelea kwasababu wanajua Tanzania ni jeshi kubwa wanaogopa
hakukuwa na urafiki wowote kati ya jk na pk,kwanza pk huko nyuma alishaonyesha dharau kwa jk na watanzania wote,unakumbuka statement yake akidai apewe tanzania kwa miezi kadhaa na atainyoosha!!!na siyo ajabu alishamshauri jamaa akamtolea nje!!!kwa maoni yangu hakutakuwa na amani kwenye hili eneo la maziwa makuu mpaka pk atoke madarakani!!!!