shithole country hata mkiwa nazo mia moja amtutishi kwa lolote na msahau kitu kinachoitwa republic of rwanda kwa kuchukua tz mayb congo hukoKwani kila siku tunavyowaambieni chezeni na nchi zote na siyo yetu ya Rwanda huwa hamtuelewi? Tayari tuna ukaribu wa Kijeshi na Kiusalama na Marekani na sasa tunaunda na Warusi kisha tutakuja kumalizia kwa Wachina kwani nia na madhumuni tupate ' taste ' za aina tatu za Kimedani / Kivita na mambo ya Kiusalama ili siku nchi kama Tanzania ( japo najua haitatokea kwakuwa tunaheshimiana Kihistoria ) mkileta tu fyoko fyoko bali haraka sana Tanzania yote iwe sehemu na mali halali ya Republic of Rwanda.
Rwanda ndiyo Israel ya Afrika na Watutsi ndiyo Wahayudi wa Afrika.
Long live my lovely, brave and committed President His Excellency Paul Kagame.
Kesho naomba uripoti ofisini kwangu ukiwa na cheti cha kuzaliwa cha bibi wa bibi mzaa bibi yako kwa uhakiki tafadhaliKwani kila siku tunavyowaambieni chezeni na nchi zote na siyo yetu ya Rwanda huwa hamtuelewi? Tayari tuna ukaribu wa Kijeshi na Kiusalama na Marekani na sasa tunaunda na Warusi kisha tutakuja kumalizia kwa Wachina kwani nia na madhumuni tupate ' taste ' za aina tatu za Kimedani / Kivita na mambo ya Kiusalama ili siku nchi kama Tanzania ( japo najua haitatokea kwakuwa tunaheshimiana Kihistoria ) mkileta tu fyoko fyoko bali haraka sana Tanzania yote iwe sehemu na mali halali ya Republic of Rwanda.
Rwanda ndiyo Israel ya Afrika na Watutsi ndiyo Wahayudi wa Afrika.
Long live my lovely, brave and committed President His Excellency Paul Kagame.
ingekuwa enzi za Julius angemshughulikia kimyakimya. ina maana anaweza kudungua ndege zetu zikiruka tu ndani ya Tanzania!Kagame jinga sana. Ka nchi kadogo vile anaanza kuhangaika na expensive air defence systems
Badala ya kuwekeza kwenye economy yuko bize anapoteza pesa
Unaiongelea Tanzania ya miaka ipi hiyo mkuu?Wayahudi washindwe kuwa solomic generation ya wa Ethiopia ambapo mama yao wa taifa aliolewa na mfalme Solomon wa Israel ije kuwa mnyarwanda mwenye maji keini Kama mhaya wa Nkwenda?
Nje ndio mtatujua watanzania hatuna tofauti na wacambodia wa pale Vietnam kwenye medani za kivita linapokuja suala la maslahi ya taifa hadi wema sepetu utamuona mstari wa mbele akimimina mwaaani.
Kwamba mnajidhania kuwa ni wayahudi kuliko waethiopia au?Kwani kila siku tunavyowaambieni chezeni na nchi zote na siyo yetu ya Rwanda huwa hamtuelewi? Tayari tuna ukaribu wa Kijeshi na Kiusalama na Marekani na sasa tunaunda na Warusi kisha tutakuja kumalizia kwa Wachina kwani nia na madhumuni tupate ' taste ' za aina tatu za Kimedani / Kivita na mambo ya Kiusalama ili siku nchi kama Tanzania ( japo najua haitatokea kwakuwa tunaheshimiana Kihistoria ) mkileta tu fyoko fyoko bali haraka sana Tanzania yote iwe sehemu na mali halali ya Republic of Rwanda.
Rwanda ndiyo Israel ya Afrika na Watutsi ndiyo Wahayudi wa Afrika.
Long live my lovely, brave and committed President His Excellency Paul Kagame.
hatari sana jamaa wana uhusiano mzuri sana wa kijeshi na israel na sasa wanaimarisha na Urusi, haka kanchi kana ambitions za hatari sana mi sina imani nao kabisa hawa jamaa
Kagame jinga sana. Ka nchi kadogo vile anaanza kuhangaika na expensive air defence systems
Badala ya kuwekeza kwenye economy yuko bize anapoteza pesa
prospective enemy ni nani? matumizi mabaya ya fedhaHiyo ndiyo Rwanda bhana! Safi sana Rais wangu na Mtutsi mwenzangu Paul Kagame. Endelea kuijenga vyema Rwanda yetu.
Hah hahaha Jamaa wanapenda kujipa masifa kama " bongo movieWayahudi washindwe kuwa solomic generation ya wa Ethiopia ambapo mama yao wa taifa aliolewa na mfalme Solomon wa Israel ije kuwa mnyarwanda mwenye maji keini Kama mhaya wa Nkwenda?
Nje ndio mtatujua watanzania hatuna tofauti na wacambodia wa pale Vietnam kwenye medani za kivita linapokuja suala la maslahi ya taifa hadi wema sepetu utamuona mstari wa mbele akimimina mwaaani.
Hakuna lolote, Kikwete alimfundisha adabu Congo na Tanzania tukawafutilia mbali M23 ambao alikuwa anajivunia.Hiyo ndiyo Rwanda bhana! Safi sana Rais wangu na Mtutsi mwenzangu Paul Kagame. Endelea kuijenga vyema Rwanda yetu.
huyu jamaa ana plan ya mda mrefu, Tumeshaona anayofny huko DRC sasa km anaanza ununua na sophisticated air defense kuna jambo analiplan huko mbeleni na hii itakuja fuel arm race eneo hili lazima burundi na DRC nazo zitatafuta kujihami zaidi hata tz na uganda piaYaani cha ajabu watu hawajiulizi hivi Rwanda ina haja gani ya kununua very sophisticated Air Defense Systems - Taifa lipi barani Africa lenye ndege za kivita wakiwa na lengo la wakuvamia na Rwanda - Afrika ya kati/West ni Angola ndio wana jeshi la anga lenye uwezo wa kusaidia DRC - Southern Africa ni Zimbabwe na Africa Kusini - nina uhakika DRC ilikikumbwa na mgogoro wa kuvamiwa Mataifa hayo yatatoa msaada mkubwa sana.
Nimeza.. bite byawe!Amakuru?
Definitely, nawe uri umwe mu batazwi right ?Nimeza.. bite byawe!