Rwanda ipo kwenye mazungumzo na urusi kununua mfumo wa ulinzi wa anga

Kwani kila siku tunavyowaambieni chezeni na nchi zote na siyo yetu ya Rwanda huwa hamtuelewi? Tayari tuna ukaribu wa Kijeshi na Kiusalama na Marekani na sasa tunaunda na Warusi kisha tutakuja kumalizia kwa Wachina kwani nia na madhumuni tupate ' taste ' za aina tatu za Kimedani / Kivita na mambo ya Kiusalama ili siku nchi kama Tanzania ( japo najua haitatokea kwakuwa tunaheshimiana Kihistoria ) mkileta tu fyoko fyoko bali haraka sana Tanzania yote iwe sehemu na mali halali ya Republic of Rwanda.

Rwanda ndiyo Israel ya Afrika na Watutsi ndiyo Wahayudi wa Afrika.

Long live my lovely, brave and committed President His Excellency Paul Kagame.
Unavyoharisha utafikiri umekula maprachichi machanga!
Kaeni kimya maana mkituchokonoa mtaamka asubuhi mkute Rwanda imekua moja ya mikoa ya Tanzania.

Kama huwapendi ndugu zako watust na wahutu endelea kumwaga povu tuwatengee robo saa ya kukabadili hako kakichuguu kenu kuanzia Jina mpaka sura!
 
Hiyo ndiyo Rwanda bhana! Safi sana Rais wangu na Mtutsi mwenzangu Paul Kagame. Endelea kuijenga vyema Rwanda yetu.
Rwanda yenu au Rwanda ya wahutu? Nyie watu mmejaa ubaguzi na unyonyaji mkubwa kwa wahutu. Lakini ipo day watawachinja tena..mkimbilie Tanzania. Maana sio kwa lile pini mlilowapiga...!

Maana ukianzia pale Rusumo unagundua waendesha baiskeli wote, wakata tiketi za Choo cha stand, ni wahutu ila migration, police, wanajeshi wote ni Watusi.

Ni sawa na ukacompress nguo zijae kwenye kabati kuliko uwezo wa kabati kuhimili afu ujipe moyo kabati litajifunga, haiwezekani! Litapasuka tu..sasa sijui litapasukia wapi? Tusubiri tuone!
 
Kwani kila siku tunavyowaambieni chezeni na nchi zote na siyo yetu ya Rwanda huwa hamtuelewi? Tayari tuna ukaribu wa Kijeshi na Kiusalama na Marekani na sasa tunaunda na Warusi kisha tutakuja kumalizia kwa Wachina kwani nia na madhumuni tupate ' taste ' za aina tatu za Kimedani / Kivita na mambo ya Kiusalama ili siku nchi kama Tanzania ( japo najua haitatokea kwakuwa tunaheshimiana Kihistoria ) mkileta tu fyoko fyoko bali haraka sana Tanzania yote iwe sehemu na mali halali ya Republic of Rwanda.

Rwanda ndiyo Israel ya Afrika na Watutsi ndiyo Wahayudi wa Afrika.

Long live my lovely, brave and committed President His Excellency Paul Kagame.
Wayahudi washindwe kuwa solomic generation ya wa Ethiopia ambapo mama yao wa taifa aliolewa na mfalme Solomon wa Israel ije kuwa mnyarwanda mwenye maji papuchini Kama mhaya wa Kashai?

Nyi mje tu ndio mtatujua watanzania hatuna tofauti na wacambodia wa pale Vietnam kwenye medani za kivita linapokuja suala la maslahi ya taifa hadi wema sepetu utamuona mstari wa mbele akimimina mwaaani.
 
Kwani kila siku tunavyowaambieni chezeni na nchi zote na siyo yetu ya Rwanda huwa hamtuelewi? Tayari tuna ukaribu wa Kijeshi na Kiusalama na Marekani na sasa tunaunda na Warusi kisha tutakuja kumalizia kwa Wachina kwani nia na madhumuni tupate ' taste ' za aina tatu za Kimedani / Kivita na mambo ya Kiusalama ili siku nchi kama Tanzania ( japo najua haitatokea kwakuwa tunaheshimiana Kihistoria ) mkileta tu fyoko fyoko bali haraka sana Tanzania yote iwe sehemu na mali halali ya Republic of Rwanda.

Rwanda ndiyo Israel ya Afrika na Watutsi ndiyo Wahayudi wa Afrika.

Long live my lovely, brave and committed President His Excellency Paul Kagame.
acha kufananisha wayahudi na vitu vya kipumbavu
 
Kagame hana mchezo. Tayari Lavrov yupo kigali kuweka mambo sawa. Huyu tall ni genius
 
Kagame jinga sana. Ka nchi kadogo vile anaanza kuhangaika na expensive air defence systems

Badala ya kuwekeza kwenye economy yuko bize anapoteza pesa
Unajua kua mshauri wake mkuu katika mambo ya kiuchu ni former UK PM?
 
Pro-Kayumba nyamwasa. Wale vijana wa masaki wakikukamata
Tuko Congo kwa sasa tunafanya kitu kitaalamu kwenye medani za kivita kinaitwa Reorganization au wapiganaji wanaita "reogo" kwenye RV ikimaanisha rendezvous kwa Navajo encrypted code.

Mtatukubali tu tukiliamsha dude sisi interahamwe.
 
Tuko Congo kwa sasa tunafanya kitu kitaalamu kwenye medani za kivita kinaitwa Reorganization au wapiganaji wanaita "reogo" kwenye RV ikimaanisha rendezvous kwa Navajo encrypted code.

Mtatukubali tu tukiliamsha dude.
Hahahah, hamna kitu, mpo tu huko kwenye mapori ya Ituri na Rumangabo mnakula mabungo? PK ana kitu inaitwa reserved forces..... wakongwe wa guerrilla war ni shidaaa.
 
Back
Top Bottom