Rwanda ipo kwenye mazungumzo na urusi kununua mfumo wa ulinzi wa anga

nankumene

JF-Expert Member
Nov 12, 2015
7,335
8,116
Shirika la habari la taifa la urusi limeripoti kuwa rwanda na urusi zipo kwe mazungumzo ya kushirikiana kwenye nyanja ya tenolojia za kijeshi na kwamba tayari urusi ipo kwenye majadiliano ya kuiuzia rwanda air defense systems

Pia nchi hizo mbili zinajipanga kushirkiiana katika sekta ya nyuklia kwa matumizi ya amani, hayo yamejadiliwa katika mkutano kati ya waziri wa mambo ya nje wa urusi bw Lavorv na mwenzie wa rwanda Louise Mushikiwabo

source Russian Today(RT)Russia and Rwanda discuss air-defense systems supplies

Haya sasa S-200,S-300,S-400 sasa zinaanza kutiririka hadi huku mtaani kwetu
 
Shirika la habari la taifa la urusi limeripoti kuwa rwanda na urusi zipo kwe mazungumzo ya kushirikiana kwenye nyanja ya tenolojia za kijeshi na kwamba tayari urusi ipo kwenye majadiliano ya kuiuzia rwanda air defense systems

Pia nchi hizo mbili zinajipanga kushirkiiana katika sekta ya nyuklia kwa matumizi ya amani, hayo yamejadiliwa katika mkutano kati ya waziri wa mambo ya nje wa urusi bw Lavorv na mwenzie wa rwanda Louise Mushikiwabo

source Russian Today(RT)Russia and Rwanda discuss air-defense systems supplies

Haya sasa S-200,S-300,S-400 sasa zinaanza kutiririka hadi huku mtaani kwetu

Hiyo ndiyo Rwanda bhana! Safi sana Rais wangu na Mtutsi mwenzangu Paul Kagame. Endelea kuijenga vyema Rwanda yetu.
 
hatari sana jamaa wana uhusiano mzuri sana wa kijeshi na israel na sasa wanaimarisha na Urusi, haka kanchi kana ambitions za hatari sana mi sina imani nao kabisa hawa jamaa

Kwani kila siku tunavyowaambieni chezeni na nchi zote na siyo yetu ya Rwanda huwa hamtuelewi? Tayari tuna ukaribu wa Kijeshi na Kiusalama na Marekani na sasa tunaunda na Warusi kisha tutakuja kumalizia kwa Wachina kwani nia na madhumuni tupate ' taste ' za aina tatu za Kimedani / Kivita na mambo ya Kiusalama ili siku nchi kama Tanzania ( japo najua haitatokea kwakuwa tunaheshimiana Kihistoria ) mkileta tu fyoko fyoko bali haraka sana Tanzania yote iwe sehemu na mali halali ya Republic of Rwanda.

Rwanda ndiyo Israel ya Afrika na Watutsi ndiyo Wahayudi wa Afrika.

Long live my lovely, brave and committed President His Excellency Paul Kagame.
 
Kwani kila siku tunavyowaambieni chezeni na nchi zote na siyo yetu ya Rwanda huwa hamtuelewi? Tayari tuna ukaribu wa Kijeshi na Kiusalama na Marekani na sasa tunaunda na Warusi kisha tutakuja kumalizia kwa Wachina kwani nia na madhumuni tupate ' taste ' za aina tatu za Kimedani / Kivita na mambo ya Kiusalama ili siku nchi kama Tanzania ( japo najua haitatokea kwakuwa tunaheshimiana Kihistoria ) mkileta tu fyoko fyoko bali haraka sana Tanzania yote iwe sehemu na mali halali ya Republic of Rwanda.

Rwanda ndiyo Israel ya Afrika na Watutsi ndiyo Wahayudi wa Afrika.

Long live my lovely, brave and committed President His Excellency Paul Kagame.
kweli kabisa mkuu, tusipokuwa makini na rwanda tutakuja kustuka wakati tumeshachelewa
 
Kagame jinga sana. Ka nchi kadogo vile anaanza kuhangaika na expensive air defence systems

Badala ya kuwekeza kwenye economy yuko bize anapoteza pesa
Labda anataka na yeye in future auze hizo deals za nuclear
 
Kwani kila siku tunavyowaambieni chezeni na nchi zote na siyo yetu ya Rwanda huwa hamtuelewi? Tayari tuna ukaribu wa Kijeshi na Kiusalama na Marekani na sasa tunaunda na Warusi kisha tutakuja kumalizia kwa Wachina kwani nia na madhumuni tupate ' taste ' za aina tatu za Kimedani / Kivita na mambo ya Kiusalama ili siku nchi kama Tanzania ( japo najua haitatokea kwakuwa tunaheshimiana Kihistoria ) mkileta tu fyoko fyoko bali haraka sana Tanzania yote iwe sehemu na mali halali ya Republic of Rwanda.

Rwanda ndiyo Israel ya Afrika na Watutsi ndiyo Wahayudi wa Afrika.

Long live my lovely, brave and committed President His Excellency Paul Kagame.
Nampongeza Mr alien Pk, wapi zitto junior?
 
Mbona hata Tanzania imemaliza mazungumzo na North Korea kuhusu ununuzi wa zile Nyuklia, halafu hujasema?
Thubutuuu iliwahi kufanywa resach nadhani karibu na bonde la mto ruaha wakasema kuna mpango huo mpaka sasa sijui uliishia wapi
 
hatari sana jamaa wana uhusiano mzuri sana wa kijeshi na israel na sasa wanaimarisha na Urusi, haka kanchi kana ambitions za hatari sana mi sina imani nao kabisa hawa jamaa
Huku kwetu tupo kimajungu tunahangaika na barabara za juu wakati ofisi na wizara zimehamishiwa dodoma sasa hilo li barabara la juu sijui hayo magari yatakuwa yanaenda wapi
 
Putin alitaka kuja Tanzania mwaka juzi 2016, kama B.Membe angekuwa rais

Urus walikuwa project ya nuclear na Tanzania sijui walikuja kupigwa biti na Marekani/ uingereza ule mradi sijui ulikuja kufia wapi

Tanzania uswahili mwingi na meneno mengi
Mbona huo uvumi juzi ulikuja na sijui umeyeyukia wapi
 
Back
Top Bottom