Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,764
- Thread starter
- #21
Nikuonyeshe kitu kama hicho ili iweje ? Sijui unaelewa kinachozungumzwa ? Cjui unaelewa tunapotoka na tulipo na tunapokwenda ? Ikiwa Rasi anakwenda kufungua daraja ya RoadCross huoni kama kuna tatizo hapo ,Ikiwa Raisi ananyamaza katika issue kubwakubwa ambazo alitakiwa azifuatilie ,azijue azitolee maelezo kwa anaowaongoza ,ila Ugonjwa umetolewa maelezo ,tunachokiona sasa ni kukashifiwa kwake ndicho mnachovuna miccm. Yaani hamjui wananchi wanahitaji kuenziwa na kuwazungumzia na kuwaonyesha maendeleo yaliopo ,hakuna kitu mnaweza kusifu kuwa kimemsaidia mwananchi ,Raisi anaenda kufungua barabara jambo lililokuwa lifanywe na Mkuu wa mkoa tu au meya ,yaani hata zile kazi za mtembea na mikasi sasa anazifanya Raisi.
HIyo Beach ilitakiwa itoe hela kama mbuga za wanyama zinavyotoa ,tatizo kuwa beach na mbuga na milima madini ya thamani ,hakumsaidii mwananchi kupata hata panadoli ya bure ,hela inakwenda wapi ? Mwananchi wa kawaida asie na kipato cha uhakika ilitakiwa apate huduma za mwanawe pale shule ,leo anachangishwa na serikali ya miccm ,haina hata aibu ,haya zimewatoka ,masikini anauza maandazi na mihogo ya kukaanga angalau apate hela ya kumnunulia uniform mwanawe ,serikali inaona masikini huyo anafaidi ,inatafuta njia za kumkamua ,mwananchi huyo atoe mchango kujenga maabara,atoe mchango kujenga kituo cha polisi ,atoe mchango kujenga choo cha shule,atoe mchango huu na ule ,kuibeba serikali au sio ,wewe jiulize mapato yote yatokanayo na kodi yanaenda wapi ,hela ya utalii inaenda wapi ,unajua kulala hoteli ya ngorongoro inatakiwa ulipe dola ngapi ? Faida inaenda wapi hata umuonyeshe mwananchi ?
Hela yote inapelekwa hazina au sio ,huko wajanja wachache wanatafuta njia za kuichota,nchi haina maendeleo ya uhakika ni kubahatisha tu !
HIyo Beach ilitakiwa itoe hela kama mbuga za wanyama zinavyotoa ,tatizo kuwa beach na mbuga na milima madini ya thamani ,hakumsaidii mwananchi kupata hata panadoli ya bure ,hela inakwenda wapi ? Mwananchi wa kawaida asie na kipato cha uhakika ilitakiwa apate huduma za mwanawe pale shule ,leo anachangishwa na serikali ya miccm ,haina hata aibu ,haya zimewatoka ,masikini anauza maandazi na mihogo ya kukaanga angalau apate hela ya kumnunulia uniform mwanawe ,serikali inaona masikini huyo anafaidi ,inatafuta njia za kumkamua ,mwananchi huyo atoe mchango kujenga maabara,atoe mchango kujenga kituo cha polisi ,atoe mchango kujenga choo cha shule,atoe mchango huu na ule ,kuibeba serikali au sio ,wewe jiulize mapato yote yatokanayo na kodi yanaenda wapi ,hela ya utalii inaenda wapi ,unajua kulala hoteli ya ngorongoro inatakiwa ulipe dola ngapi ? Faida inaenda wapi hata umuonyeshe mwananchi ?
Hela yote inapelekwa hazina au sio ,huko wajanja wachache wanatafuta njia za kuichota,nchi haina maendeleo ya uhakika ni kubahatisha tu !