Kurusha satellite ndy Ana dharauRwanda ni shushushu wa mabeberu nahis atakuja kuharibu East Africa nadhani tunajua mipango ya hao West huyu ndo kibaraka wao. Naona kuanguka kwa EAC soon. Huyu dogo ameanza dharau anatakiwa ashughulikiwe mapema
Kabisa...tuko bike nakuwapa wakina Steve Nyerere uwakilishi,ubalozi nkAcha sisi tuendelee kuwa chawa hayo mengine watafanya wenye muda sisi tupo busy na uchawer.
achana nao mkuu wabaongo 00Nikidhawhi kuandika humu kuwa Rwanda Ina silaha za nuclear pia. Nikasema namuona Paul Kagame Kama Putin wa East Africa. Wahuni wakatikwa povu. Sasa subirini.
Rwanda wamejikita kwenye matumizi ya mitandao kuanzia shule za msingi mpaka vyuo, hivyo wanahitaji satalaiti ya mawasiliano, sisi tupotupo tu na magazeti!
Kenya Wana satellites zaidi ya Moja imeidhuru nini Tanzania?
Zimbabwe Wana satellite inewasaidia nini?
Mnajua satellite is basically minara ya mawasiliano tu unless mnaogopa hata minara ya mawasiliano. Hizi ni saterite za kijeshi mkuu
Matoto mengi ni masomi yasiyo na elimu,majingaRwanda wanataka satellite for communication purposes, "The minister noted that Rwanda is in talks with a host of nations to help develop its space capabilities in possible deals that will potentially add impetus to the countryβs Information and Communication Technology (ICT) ambitions"
Sio Kila satellite inahusiana na mambo ya jeshi matter of fact satellites za nchi nyingi duniani ni kwaajili ya mawasiliano.
Kenya Wana satellite sijui mbili nini kimetokea? Kati ya Kenya na Rwanda nani anaweza hata kuijaribu TZ?
Zimbabwe Wana satellite inewasaidia nini kama hata mlo mmoja kwa siku unawashinda?
Djibouti nao wapo in plans za kuwa na satellite nao mnawaogopa?
Mitanganyika mna inferiority complex Hadi aibu.
Kama vile ulivyokuja chawa wa awamu ya tano ndivyo hivyo unavyotakiwa kiendelea kuwa chawa wa awamu ya sitaAcha sisi tuendelee kuwa chawa hayo mengine watafanya wenye muda sisi tupo busy na uchawer.
Huyu jamaa sijui kimemkuta kipi, wakati wa jiwe alikuwa chawa pro maxKama vile ulivyokuja chawa wa awamu ya tano ndivyo hivyo unavyotakiwa kiendelea kuwa chawa wa awamu ya sita
Sent using Jamii Forums mobile app
Sukuma gang ndembendembe,Chali,mlalooooooooooHuyu jamaa sijui kimemkuta kipi, wakati wa jiwe alikuwa chawa pro max
Ulinzi wa nchi ni classified sana ndio maana hata bungeni kuna mipaka yake. Taifa kama Rwanda halijafikia uwezo wa kuwa threat kwa Tanzania.
Kuna silaha hazitakuja kuwa public mpaka kwenye uwanja wa medani watanzania sio wajinga wanajua rafiki wakweli na mkuda ni nani
Sisi siasa ndio kipaumbele chetu na porojo nyingiii mdomoniViongozi wetu wangefanya kila jitihada kuyafanya haya wanayoyafanya Rwanda maana usalama wetu utakuwa mashakani hawa jirani zetu wakiwa na hii teknolojia
Ngoja sisi tuendeleee kubishania katiba mpya kwanza.Rwanda to launch satellite constellation by end of 2023
Rwanda will join the list of African countries that have successfully orbited satellites, including Algeria, Ethiopia, Kenya, Zimbabwe, South Africa, Morocco, Egypt, Ghana and Nigeria.
Rwandan Minister of ICT and Innovations Paula Ingabire has announced that the country will be conducting a beta launch for the Cinnamon-217 and Cinnamon-937 satellite constellation.
In October 2021, Rwanda Space Agency filed a request to acquire these satellites, but the Minister noted that the number had increased to seven satellites. According to her, the full satellite launch should be by the end of 2023.
Rwanda is in talks with a number of countries to assist in the development of its space capabilities, in the hopes of securing accords that will support the countrys Information and Communication Technology (ICT) objectives.
The countrys space ambitions have attracted interest from countries such as Japan, Israel, and the United Arab Emirates, the Minister of ICT and Innovations told The New Times.
The proposed mid to long-term partnerships with these countries, she said, range from the use of geospatial data to the design and manufacturing of satellites. For example, Rwanda and Israel signed an agreement in 2020, effectively laying the grounds for pursuing this cooperation.
In 2019, Rwanda and Japan teamed up to build the first cube satellite (RwaSat-1), which was launched from Japans Tanegashima Space Centre and deployed to the Low Earth Orbit (LEO) from the International Space Station.
Under the partnership with Japan, Ingabire disclosed that 20 Rwandans are currently undergoing training in designing and producing minisatellites.
Rwanda recently approved the law establishing its space agency as the Chamber of Deputies voted. The Chamber of Deputies is the lower house of Rwandas national legislature.
Hizi Technologies ni kama additional Stuffs wakati wa maankuli yaani kama pilipili, chumvi au chachandu azitomsaidia kuleta faida ya maana nchini kwake.Awezi mzidi Tanzania kwa lolote kwani Akuna kunachoingia Rwanda kwa bahari bila kupitia TZRwanda to launch satellite constellation by end of 2023
Rwanda will join the list of African countries that have successfully orbited satellites, including Algeria, Ethiopia, Kenya, Zimbabwe, South Africa, Morocco, Egypt, Ghana and Nigeria.
Rwandan Minister of ICT and Innovations Paula Ingabire has announced that the country will be conducting a beta launch for the Cinnamon-217 and Cinnamon-937 satellite constellation.
In October 2021, Rwanda Space Agency filed a request to acquire these satellites, but the Minister noted that the number had increased to seven satellites. According to her, the full satellite launch should be by the end of 2023.
Rwanda is in talks with a number of countries to assist in the development of its space capabilities, in the hopes of securing accords that will support the countrys Information and Communication Technology (ICT) objectives.
The countrys space ambitions have attracted interest from countries such as Japan, Israel, and the United Arab Emirates, the Minister of ICT and Innovations told The New Times.
The proposed mid to long-term partnerships with these countries, she said, range from the use of geospatial data to the design and manufacturing of satellites. For example, Rwanda and Israel signed an agreement in 2020, effectively laying the grounds for pursuing this cooperation.
In 2019, Rwanda and Japan teamed up to build the first cube satellite (RwaSat-1), which was launched from Japans Tanegashima Space Centre and deployed to the Low Earth Orbit (LEO) from the International Space Station.
Under the partnership with Japan, Ingabire disclosed that 20 Rwandans are currently undergoing training in designing and producing minisatellites.
Rwanda recently approved the law establishing its space agency as the Chamber of Deputies voted. The Chamber of Deputies is the lower house of Rwandas national legislature.
Kagame kama vile Mobutu na Wahuni Wengine Nature too will take control one day!! Atoishi Milele.Ipo Siku Rwanda itaamka na kukuta Mungu ameshafanya yake na Kazi ya Kalima haiingiliwi atakalo Mola....Rwanda ni shushushu wa mabeberu nahis atakuja kuharibu East Africa nadhani tunajua mipango ya hao West huyu ndo kibaraka wao. Naona kuanguka kwa EAC soon. Huyu dogo ameanza dharau anatakiwa ashughulikiwe mapema
Tukumbushane.Rwanda to launch satellite constellation by end of 2023
Rwanda will join the list of African countries that have successfully orbited satellites, including Algeria, Ethiopia, Kenya, Zimbabwe, South Africa, Morocco, Egypt, Ghana and Nigeria.
Rwandan Minister of ICT and Innovations Paula Ingabire has announced that the country will be conducting a beta launch for the Cinnamon-217 and Cinnamon-937 satellite constellation.
In October 2021, Rwanda Space Agency filed a request to acquire these satellites, but the Minister noted that the number had increased to seven satellites. According to her, the full satellite launch should be by the end of 2023.
Rwanda is in talks with a number of countries to assist in the development of its space capabilities, in the hopes of securing accords that will support the countrys Information and Communication Technology (ICT) objectives.
The countrys space ambitions have attracted interest from countries such as Japan, Israel, and the United Arab Emirates, the Minister of ICT and Innovations told The New Times.
The proposed mid to long-term partnerships with these countries, she said, range from the use of geospatial data to the design and manufacturing of satellites. For example, Rwanda and Israel signed an agreement in 2020, effectively laying the grounds for pursuing this cooperation.
In 2019, Rwanda and Japan teamed up to build the first cube satellite (RwaSat-1), which was launched from Japans Tanegashima Space Centre and deployed to the Low Earth Orbit (LEO) from the International Space Station.
Under the partnership with Japan, Ingabire disclosed that 20 Rwandans are currently undergoing training in designing and producing minisatellites.
Rwanda recently approved the law establishing its space agency as the Chamber of Deputies voted. The Chamber of Deputies is the lower house of Rwandas national legislature.
πππ PK anasema tu hiiiiiiiiiiiiiiiiiRwanda kama nchi Haina shida, Kiongozi wa Rwanda ndie mwenye shida na muda ukifika ataondolewa pale alipo.
Huwezi kugombana na majirani zako wote wanaokuzunguka ukawa salama.
ππ Kwamba aache kuwa na ambition zake ili afurahishe majirani ππRwanda ni shushushu wa mabeberu nahis atakuja kuharibu East Africa nadhani tunajua mipango ya hao West huyu ndo kibaraka wao. Naona kuanguka kwa EAC soon. Huyu dogo ameanza dharau anatakiwa ashughulikiwe mapema