mbinguni
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 2,746
- 1,051
Mleta mada kakurupuka. Hajafanya utafiti wowote kabla ta kuweka bandiko lake hapaKuna mama mmoja alishawahi kuwa CEO wa EXIM Bank some years back! Kwahiyo, huyu sio wa kwanza
Mleta mada kakurupuka. Hajafanya utafiti wowote kabla ta kuweka bandiko lake hapaKuna mama mmoja alishawahi kuwa CEO wa EXIM Bank some years back! Kwahiyo, huyu sio wa kwanza
Fanya utafiti kidogo wakati mwingine kabla hujaweka bandiko. Tatizo liko kwe ye maneno "... mwanamke wa kawanza...". Hii sio kweli hata kidogoMwenyekiti wa bodi ya NMB Bank, Dkt. Edwin Mhede, amemteua Ruth Zaipuna kuwa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB kuanzia leo, Agosti 18.
Ruth anakuwa mwanamke wa kwanza kushika nafasi kubwa katika taasisi za kibenki nchini. Awali Ruth aliikaimu nafasi ya Ukurugenzi Mkuu tangu Oktoba 2019.
Ruth ana Shahada ya kwanza ya Biashara ya Uhasibu na pia ana Masters of Business Administration (MBA) katika Fedha na zote alizipata Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaam. Pia ana CPA (T)
Ruth amewahi kufanya kazi na mashirika mbalimbali ikiwemo Price Waterhouse Coopers Limited (PwC), aliwahi kuwa Mkurungenzi mkuu wa Standard Chartered kabla ya kujiunga NMB Bank
====
View attachment 1540990
La ki sabaHamna Hamna kwa mwezi bei gani salary?
Angalizo: Kama hujui jibu utulie. Sio kujidai "wataka ujue ili nini?" Kumbe Na we we unascroll kuchungulia nani atakayenijibu Na wewe ufahamu.
Hint: Rais wa Marekani analipwa $400,000 kwa mwaka.
Wenye njaa huwa tunawaza mshahara tuHamna Hamna kwa mwezi bei gani salary?
Angalizo: Kama hujui jibu utulie. Sio kujidai "wataka ujue ili nini?" Kumbe Na we we unascroll kuchungulia nani atakayenijibu Na wewe ufahamu.
Hint: Rais wa Marekani analipwa $400,000 kwa mwaka.
Na tupo ambao tukijumlisha pesa zote tulizowahi kupata hatufikishi hio hadi tunakufa!Na pia mshahara huo anaoupata rais wa US kwa mwaka kuna vijana wa pale Ligi kuu ya uingereza wanalipwa kwa wiki,ndio maisha hayo.
Mr Rrondo,hata ulaya wanawaza mshahara au atakacholipwa. Watu wametoka ligi za Jlaya wameenda China kupata mshahara kubwaWenye njaa huwa tunawaza mshahara tu
Marais wa Marekani huwa ni matajiri hata kabla ya kuupata uraisi. Sio kuwa sheria inakutaka uwe tajiri kabla ya kugombea Bali gharama za mchakato wa uraisi ni kubwa kiasi kwamba mgombea asiye tajiri kuna nafasi kubwa ya kuzishindwa. Imagine $300MNa pia mshahara huo anaoupata rais wa US kwa mwaka kuna vijana wa pale Ligi kuu ya uingereza wanalipwa kwa wiki,ndio maisha hayo.
mkuu mshahara milioni 60 na malupulupu kibao so kwa mwezi hakosi milioni 100 ila matumizi yanakua makubwa so mshahara unakua bado hautoshi manake kama watoto walikua wanasoma feza atataka awapeleke london hukoHamna Hamna kwa mwezi bei gani salary?
Angalizo: Kama hujui jibu utulie. Sio kujidai "wataka ujue ili nini?" Kumbe Na we we unascroll kuchungulia nani atakayenijibu Na wewe ufahamu.
Hint: Rais wa Marekani analipwa $400,000 kwa mwaka.
Some one Mwambenja.Kuna mama mmoja alishawahi kuwa CEO wa EXIM Bank some years back! Kwahiyo, huyu sio wa kwanza
Hao wanaenda China kumalizia mpira yaani kustaafu hakuna mchezaji wa Ulaya kwenye peak atatoka Premier league aende China labda wale wasio na ambition kama akina Gyan.Mr Rrondo,hata ulaya wanawaza mshahara au atakacholipwa. Watu wametoka ligi za Jlaya wameenda China kupata mshahara kubwa
Hata Bank M ilishakua na boss mwanamke.
Duh.....Marais wa Marekani huwa ni matajiri hata kabla ya kuupata uraisi. Sio kuwa sheria inakutaka uwe tajiri kabla ya kugombea Bali gharama za mchakato wa uraisi ni kubwa kiasi kwamba mgombea asiye tajiri kuna nafasi kubwa ya kuzishindwa. Imagine $300M
Iko wapi kwa sasa?Bank M CEO alikuwa mwanamke.
👍Wakurugenzi watendaji wanawake wa benki walikuwepo huyu sio wa kwanza.
Sabetha Mwambenja Exim nadhani kutoka 2001 to 2010,Magrareth Chacha Tanzania Women Bank 2013 to 2016 na Jacquiline Woiso Bank M nadhani 2015 to 2017 au 18. Labda hapa issue ni kuwa CEO wa benki kubwa kuliko zote kwa mali,mikopo,faida etc. Ila hongera zake maana Rabobank wanahisa wakubwa wa nmb always walikuwa wanataka MD awe Mholanzi. Tumuombee afanye kazi nzuri nadhani anaweza.
Hata Bank M ilishakua na boss mwanamke.
Hao wanaenda China kumalizia mpira yaani kustaafu hakuna mchezaji wa Ulaya kwenye peak atatoka Premier league aende China labda wale wasio na ambition kama akina Gyan.