Lambert Mende
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 210
- 43
Kaka usihangaike. Hiyo ni ngoma ya Lowasa tangu akiwa katibu mkuu utumishi. Ameziba nafasi ya Regina. Ndo mapendekezo ya mzee Lowasa hayo. Yaani badala ya kwenda bibi mkubwa, kachukuliwa bibi mdogo
Na ngoma ya juice nayo itapata nafasi gani?
Napita tu!