Ruth H Mollel aliingia lini CHADEMA?

Ruth H Mollel aliingia lini CHADEMA?

Kama kweli CHADEMA ina nia ya kuleta mabadiliko( +ve) basi usiamze kujilinganisha na CCM kifuate uadilifu. Kichague watu kwa credibility na sio ku-entertain mambo ya michepuko!!!
 
Kaka usihangaike. Hiyo ni ngoma ya Lowasa tangu akiwa katibu mkuu utumishi. Ameziba nafasi ya Regina. Ndo mapendekezo ya mzee Lowasa hayo. Yaani badala ya kwenda bibi mkubwa, kachukuliwa bibi mdogo

Hivi we niwakiume kweli?
 
Huu umbea si utakumaliza kwa style hizi?

We kijana kama ni umbeya hebu sema wewe sasa ambao sio umbea. Lete ukweli unaoujua. Acha unafiki kama ulioufanya kwa CDF. Mwenzako katoa hoja wewe jibu hoja kama huna kaa kimya
 
Hongera sana ukawa nimefurahi kusikia Ruth mollel kapata viti maalum huyo ni mwanamke wa nguvu na msomi hao wanaosema ni bimdogo ni wahuni wa ccm wameanza kuweweseka wanajua ruth kiboko yao. Bado yule mwanasheria na aliekuwa mshauri wa Jk anaitwa mama sinare jamani waleteni wote hao tukiwapata hao bungeni hapatatosha
 
Mambo ya CDM na CCM yanawahusu watanzania wote. Vile vile ya CUF na ACT. Ni vyama vinavyopigania kuongoza serikali ya watanzania wote, hata wasio na vyama.

Kama CDM mnataka mambo yenu binafsi muanzishe SACCOS, sio chama cha siasa.

Safi sana
 
Si Mlisema Jamaa Anakuja CHADEMA Na Mtaji Gani? Huyo Ndiyo Mmoja Wa MTAJI Wenyewe Ukiachilia Mbali Ule Ambao Mzee Mtei Na Mtoto Wa Mjini Mbowe Walioupata Pale Sea Cliff Hotel Kutoka Kwa Mr. WAKUCHINJWA CHINJWA KILA WAKATI.

Kweli kujamba ni dalili ya kushiba
 
Hongera sana ukawa nimefurahi kusikia Ruth mollel kapata viti maalum huyo ni mwanamke wa nguvu na msomi hao wanaosema ni bimdogo ni wahuni wa ccm wameanza kuweweseka wanajua ruth kiboko yao. Bado yule mwanasheria na aliekuwa mshauri wa Jk anaitwa mama sinare jamani waleteni wote hao tukiwapata hao bungeni hapatatosha

Hawa ndio waliokuwa wanaunda mfumo uliokuwa ukipigiwa kelele.
Nadhani alikuwa PS wizara ya sayansi,teknolojia na elimu ya juu kipindi hiko ikilaumiwa haswa!!
 
Menengitis hapa pangegeuzwa bunge mchezo ungezidi mdahalo wa bunge la awamu ya nne lakini penye vipofu wengi kengeza hufaidi hilo ndo jibu la maswali yako
 
Hongera sana ukawa nimefurahi kusikia Ruth mollel kapata viti maalum huyo ni mwanamke wa nguvu na msomi hao wanaosema ni bimdogo ni wahuni wa ccm wameanza kuweweseka wanajua ruth kiboko yao. Bado yule mwanasheria na aliekuwa mshauri wa Jk anaitwa mama sinare jamani waleteni wote hao tukiwapata hao bungeni hapatatosha

nakubaliana na wewe, peleka bungeni watu wenye uwezo sio kulipana fadhila huku nje halafu bungeni wanafanya mambo ya aibu, tunajenga nchi hatulipani fadhila
 
Mwaka huu hatutaki mambo ya kukiambia bungeni, na wala hatutaki wabunge wa kwenda kupumzika bungeni na kusubiri posho huku watu wachache tu wakifanya kazi, tunataka watu watakaofanya chadema iaminike machoni pa watu, kama hao watu wenye uwezo ndo hawa akina Ruth Mollel basi waende wengi tu bila kujali wamehamia lini chadema
 
Kaka usihangaike. Hiyo ni ngoma ya Lowasa tangu akiwa katibu mkuu utumishi. Ameziba nafasi ya Regina. Ndo mapendekezo ya mzee Lowasa hayo. Yaani badala ya kwenda bibi mkubwa, kachukuliwa bibi mdogo
Nawe twajua ni Ngoma ya mzee Wassira,umepewa nini?
 
Sasa Ben, umbea upo wapi hapo? Kuna wengi walikuwa hawajui hili. Nimewatonya tu

Leo ndio nimethibitisha kuwa mtu anaweza akasema kitu cha uongo na akakomaa ili watu waamini. Ehe Lizaboni, hawa wanauhusiano eh? Kumbe mzee wetu Nyerere alisema kweli kwamba si kila unachoambiwa au kusikia ukipigie tarumbeta, tena akatoa mfano 'je ukiambiwa mimi ni mm... wa mm yk utakubali? Hongera kwa hilo, hivi huwa unalipwa halafu eh
 
Kuna kamanda kapigwa wee na polisi,mwingine anakuja tu kisa mchagga mwenzetu ala bata
 
Kwani unachoshangaa wewe ni kwa lipi hasa.. Kwani hapo kabla alikuwa mwanachama wa CCM? na hata Kama alikuwa CCM kwani kitu gani cha ajabu kwa yeye kuhama chama Kama aliamua mwenyewe??
 
Kwani unachoshangaa wewe ni kwa lipi hasa.. Kwani hapo kabla alikuwa mwanachama wa CCM? na hata Kama alikuwa CCM kwani kitu gani cha ajabu kwa yeye kuhama chama Kama aliamua mwenyewe??

Nilishasema hapo juu kuwa kizazi cha bodi ya mikopo mkae pembeni...
 
Kaka usihangaike. Hiyo ni ngoma ya Lowasa tangu akiwa katibu mkuu utumishi. Ameziba nafasi ya Regina. Ndo mapendekezo ya mzee Lowasa hayo. Yaani badala ya kwenda bibi mkubwa, kachukuliwa bibi mdogo

Pathetic
 
Na Sofia Simba ni ngoma ya nani ccm? Na Rita mlaki ni ngoma ya nani? Na ummy Mwalimu je? Na Vicky Kamata je?cc lizaboni
 
Acheni umbeya wenu wa kijinga Ruth Mollel ni mwanama msomi wa nguvu,mwenye uzoefu wa kazi za kiserekali kwa muda mrefu.Uzoefu wake na ujuzi wake utasaidia sana CDM.
 
Back
Top Bottom