Ruth H Mollel aliingia lini CHADEMA?

Ruth H Mollel aliingia lini CHADEMA?

meningitis

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
8,464
Reaction score
4,828
Wasalaam !

Kweli sasa nimeanza kuzeeka na kupitwa na matukio ya kisiasa na kijamii.

Nina swali la msingi kwa wadau makini hasa wana chadema asilia.

HIVI HUYU Ruth H Mollel ambaye kama sikosei(nitaomba kusahihishwa) alikuwa ni mtu mnene na msomi kwenye serikali kwa miongo kadhaa alihamia lini chadema?

Kwenye list ya wabunge wa viti maalum wa chadema nimeliona jina lake nikashtuka kidogo kwa maana ya kushangazwa.

Hivi mama huyu alianza harakati ndani ya chadema lini kiasi cha kuukwaa ubunge wa viti maalum?

Hivi Chadema ilikuwa inahubiri mabadiliko ya namna gani hasa kama kikundi chote cha waliokuwa madarakani wamehamia huko?

Kama ni yeye kweli ...kupata ubunge viti maalum kupitia chadema huku ukiwaacha vijana waliojaribu kuwekeza katika chadema kwa kukimbia mfumo wa kiccm inatoa picha gani?

Hebu wasemaji wa chadema asilia njooni mjadili hoja hii.

SAMAHANI:Kama huyu Ruth H Mollel sio yule aliyekuwa ofisi ya makamu wa Rais mazingira na CV zake lukuki.

OMBI:Mada ijikite katika mchakato wa kumpatia ubunge Ruth Mollel!

Kwa wale ambao ni kizazi cha bodi ya mikopo kaeni kando

Cc:
Pasco
Crashwise
Molemo
Mungi
 
Wewe ni nani katika chama?? unataka kila mmoja apate ubunge wa Viti maalum?? mbona hujashtuka Juliana Shonza kupewa ubunge?? kuhama ni kuhama tu siasa ni kazi by the way Mbowe alisema wanagawana majukumu na sio kugawana ulaji.
 
Wewe ni nani katika chama?? unataka kila mmoja apate ubunge wa Viti maalum?? mbona hujashtuka Juliana Shonza kupewa ubunge?? kuhama ni kuhama tu siasa ni kazi by the way Mbowe alisema wanagawana majukumu na sio kugawana ulaji.
Hebu tulia uje na majibu ya maswali niliyouliza katika post yangu.

Majukumu yanagawanywa wakati wa mavuno au kupanda?
 
Viti maalum vya CCM mbona havihojiwi? Mti wa Chadema utakuwa na Matunda naona mnaupiga mawe ya kutosha. Mara ooh baada ya uchaguzi ATC sorry ACT kitakuwa ndiyo chama kikubwa cha upinzani. Kwikwiiii
 
Kaka usihangaike. Hiyo ni ngoma ya Lowasa tangu akiwa katibu mkuu utumishi. Ameziba nafasi ya Regina. Ndo mapendekezo ya mzee Lowasa hayo. Yaani badala ya kwenda bibi mkubwa, kachukuliwa bibi mdogo
 
Nachukia mijitu inayojiingiza kwa mambo yasiyowahusu. Mambo ya CHADEMA yanakuhusu nini? Nitashangaa sana hata siku moja unaweza omba uwanachama.
 
Kaka usihangaike. Hiyo ni ngoma ya Lowasa tangu akiwa katibu mkuu utumishi. Ameziba nafasi ya Regina. Ndo mapendekezo ya mzee Lowasa hayo. Yaani badala ya kwenda bibi mkubwa, kachukuliwa bibi mdogo
Unaweza kuithibitisha mahakama hiki ulichokiandika hapo?
 
Sijasikia ni lini walichaguliwa ndio maana sielewi...

Mkuu huyo alikua katibu mkuu ofisi ya makamu wa Rais akastaafu
Ni moja ya makapi alioondoka nayo lowassa ccm.amepata ubunge baada ya Regina kukataa kupewa ubunge wa chee baada ya mihela yao kutafunwa kisawasawa
 
Wasalaam !

Kweli sasa nimeanza kuzeeka na kupitwa na matukio ya kisiasa na kijamii.

Nina swali la msingi kwa wadau makini hasa wana chadema asilia.

HIVI HUYU Ruth H Mollel ambaye kama sikosei(nitaomba kusahihishwa) alikuwa ni mtu mnene na msomi kwenye serikali kwa miongo kadhaa alihamia lini chadema?

Kwenye list ya wabunge wa viti maalum wa chadema nimeliona jina lake nikashtuka kidogo kwa maana ya kushangazwa.

Hivi mama huyu alianza harakati ndani ya chadema lini kiasi cha kuukwaa ubunge wa viti maalum?

Hivi Chadema ilikuwa inahubiri mabadiliko ya namna gani hasa kama kikundi chote cha waliokuwa madarakani wamehamia huko?

Kama ni yeye kweli ...kupata ubunge viti maalum kupitia chadema huku ukiwaacha vijana waliojaribu kuwekeza katika chadema kwa kukimbia mfumo wa kiccm inatoa picha gani?

Hebu wasemaji wa chadema asilia njooni mjadili hoja hii.

SAMAHANI:Kama huyu Ruth H Mollel sio yule aliyekuwa ofisi ya makamu wa Rais mazingira na CV zake lukuki.

OMBI:Mada ijikite katika mchakato wa kumpatia ubunge Ruth Mollel!

Kwa wale ambao ni kizazi cha bodi ya mikopo kaeni kando

Cc:
Pasco
Crashwise
Molemo
Mungi

Si Mlisema Jamaa Anakuja CHADEMA Na Mtaji Gani? Huyo Ndiyo Mmoja Wa MTAJI Wenyewe Ukiachilia Mbali Ule Ambao Mzee Mtei Na Mtoto Wa Mjini Mbowe Walioupata Pale Sea Cliff Hotel Kutoka Kwa Mr. WAKUCHINJWA CHINJWA KILA WAKATI.
 
Nachukia mijitu inayojiingiza kwa mambo yasiyowahusu. Mambo ya CHADEMA yanakuhusu nini? Nitashangaa sana hata siku moja unaweza omba uwanachama.

Nawao waonekane na pia kuna malipo palr lumumba
 
Back
Top Bottom