Russia and Iran Warn Against Intervention in Syria

Russia and Iran Warn Against Intervention in Syria

Status
Not open for further replies.
Vita baridi kati ya marekani na urusi haikuwa ya mchezo.
Na wakati mwingine ilichagizwa zaidi na MBIO za kushindanisha tekinolojia ya anga ambapo mara nyingi MAREKANI ilijikuta ikishindwa na urusi japo urusi hawakuwa waongeaji na watoa taarifa kama marekani.
Urusi ndio walikuwa wa kwanza kupeleka chombo angani baadae marekani ikafata,Urusi walikuwa wa kwanza kupeleka chombo mwezini na marekani ikafata,urusi walikuwa wa kwanza kupeleke kiumbe hai mwezi baadae marekani ikafata.
VITA BARIDI ILIKUWA MBAYA ZAIDI.
marekani walipandisha makombora ya nyukilia katika anga ya UTURUKI na kutishia kuishambulia na kuipoteza kabisa urusi.
Hata urusi ilipolalamika UN marekani ilikuwa jeuri,MRUSI alitengeneza nuclear bomb interceptors dhidi ya makombora ya Marekani UTURUKI na wakatengeneza tena mabomu ya nyukilia NAO WAKAENDA KUYAPANDISHA KATIKA ANGA la CUBA tayari kuishambulia marekani,MAREKANI ikajaribu kutengeza ANT ya makombora lakini walishindwa kupata WAR HEAD(kichwa cha kombora) ya mabomu
ILIWABIDI WAOMBE YAISHE.1988
 
Poison propaganda!! Yuko wapi Urusi, aliyekuwa anaunga mkono YUGOSLAVIA, IRAQ, LIBYA?! keshafulia!! Marekani ndie BABA!!
 

HAPANA... No Strike na Anasubiri CONGRESS APPROVAL, Congress wanarudi Sept 9th 2013; Halafu wanatakiwa kujadili na CONGRESS na SENATE wapige kura kukubali au kukataa strike...

Kwahiyo sio lazima WATAIPIGA MABOMU SYRIA...

KWAHIYO anasubiri Uhakiki toka kwa Wananchi wa Marekani...


Nilimaanisha ameisha amua kupiga ansubiri congress. Nadhani na bold hapo juu ina maana ileile.
 
US watashindwa sana hii vita ya kimaslahi ngoja waende time will tell us
 
Source: NBC

Syria will not change its position "even if there is World War III," its deputy foreign minister reportedly said Wednesday – even as activists claimed that another prominent member of the Assad regime had defected.

Faisal Muqdad insisted Syria's government would counter any military action aimed at punishing the regime for the suspected use of chemical weapons, according to an interview with AFP cited by regional news outlet Al-Arabiya.

"The Syrian government will not change position even if there is World War III. No Syrian can sacrifice the independence of his country," he reportedly told AFP.

"Syria has taken every measure to retaliate against...an aggression," he added. His comments came as Reuters reported that former Syrian defense minister General Ali Habib, a prominent member of President Bashar Assad's Alawite sect, had defected and was now in neighboring Turkey.


Read more: Report: Syria won't change position 'even if there is World War III' - World News
 
President Barack Obama has won backing from key US political figures on his plans for a military strike on Syria.
Mr Obama said a "limited" strikewas needed to degrade President Bashar al-Assad's capabilities in response to an alleged chemical weapons attack.
Key Republican leaders John Boehner and Eric Cantor both voiced their support for militaryaction. Congress is expected to vote next week.
The UN earlier confirmed that more than two million Syrians were now refugees.
More than 100,000 people are thought to have died since the uprising against President Assad began in March 2011.

BBC © 2013
 


130904063623_putin_syria_america_304x171_bbc_nocredit.jpg


Rais Vladmir Putin



Rais wa Urusi Vladimir Putin, ameonya Marekani na nchi za Magharibi dhidi ya kushambulia Syria.

Alisema kuwa hatua zozote za kijeshi dhidi ya Syria itakuwa ni uvamizi.

Rais wa Marekani Barack Obama ametoa wito wa kuchukua hatua za kijeshi dhidi ya Syria baada ya kusema kuwa kuna thibitisho kuwa rais Assad ametumia silaha za kemikali dhidi ya wananchi wake.

Lakini kwenye mahojiano na shirika la habari la Associated Press, kabla ya mkutano wa wiki hii wa G-Twenty mjini

St Petersburg, bwana Putin alisema kuwa huenda akaunga mkono azimio la Umoja wa Mataifa ikiwa kuna

thibitisho kuwa silaha za kemikali zilitumiwa dhidi ya raia.

Putin pia alipuuza wasiwasi kuwa wanariadha au mashabiki wataadhibiwa ikiwa watatoa matamshi

yatakayoonekana kuwa propaganda kuhusu mapenzi ya jinsia moja wakati wa michezo ya olimpiki itakayofanyika

nchini humo.

Wakati huohuo , maseneta nchini Marekani wameridhia mswada wa azimio linalompa idhini Rais Barack Obama
kutekeleza shambulio la kijeshi dhidi ya Syria. Mswada huo utapigiwa kura wiki ijayo.

Awali Waziri wa mambo ya nchi za nje wa Marekani John Kerry alifika mbele ya Baraza la Senate ambapo alitoa

onyo kwa maseneta wa Marekani kabla ya mdahalo wao kuhusu Syria unaotarajiwa kufanyika wiki ijayo kwamba,

hawapaswi kushindwa kutoa jibu la kile

alichokitaja kuwa ni matumizi ya silaha za kemikali ambayo hayawezi kukanushwa yaliyofanywa na Rais Assad kwa watu wake mwenyewe .

Naye Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amesema kuwa ikiwa itathibitishwa kwamba silaha za

sumu ya kemikali zilitumiwa nchini Syria , baraza la usalama la Umoja wa Mataifa lazima liungane na kuchukua

hatua.Chanzo.
Putin aonya Marekani kuhusu Syria - BBC Swahili - Habari


 



A truly grim Federal Security Services (FSB) report circulating in the Kremlin today is confirming that the 13 July snap military drills ordered by President Putin involving nearly 200,000 Russia troops was in “direct response” to information obtained from US fugitive Edward Snowden; information that further caused the historic meeting of three American Presidents in Africa during the past few weeks in their effort to hide the truth of our worlds nearing destruction.

According to this report, Main Intelligence Directorate (GRU) tactical forces were able to extricate Snowden from Hong Kong on 23 June within hours of his planned assassination by a CIA “hit squad” sent by the Obama regime to silence this person who is now known as the most wanted man in the world.

The saving of Snowden’s life, this report continues, was ordered by Putin after the 18 June assassination of American journalist Michael Hastings whose vehicle was destroyed by a US drone strike in Los Angeles [new video showing drone strike HERE] as he was attempting to flee to safety while preparing a story on information given to him by Snowden.



Further information relating to Putin’s decision to save Snowden, this report says, was the Obama regimes attack on two Los Angeles police detectivesinvestigating Hastings assassination, and which has, so far, pushed them into silence.

Confirming Putin’s wisdom in saving Snowden’s life, FSB analysts in the report say, was the Obama regimes assassination of famed New Zealand hacker Barnaby Jack in San Francisco on 25 July just days before he was to appear before the Black Hat Briefings computer security conference in Las Vegas where he was set to prove “beyond all doubt” that the aircraft used in the 11 September 2001 attacks on America were being remotely controlled by US intelligence agencies.

The evidence provided to Barnaby Jack to confirm this fact, this report says, was given to this “white hat hacker” by Snowden after the first computer genius he, Snowden, had approached was likewise assassinated by the Obama regime.

In “deep background,” FSB analysts in this report say, Snowden, when he first became aware of the stunning facts behind the US governments actions against not only their own people, but the entire world, contacted the noted computer genius and Internet activist Aaron Swartz in early January (2013) to assist him in explaining the most highly technical aspects of the top secret reports he was seeing.

Within days of Snowden contacting Swartz, however, this report says, the Obama regime assassinated Swartz by “suicide” on 11 January, though US intelligence agencies weren’t able, at that time, to discover where Swartz had obtained his information.

Most stunning in this report is the absolute terror being exhibited by US President’s Barack Obama, George W. Bush and Bill Clinton, all of whom rushed to Africa for a series of secret meetings on 27 June and 1 July after Snowden had been brought under the protection of the Kremlin just days before.



According to the GRU addendum to this FSB report, Clinton arrived in the African nation of Senegal immediatelyprior to Obama where the two held a series of secret meetings on 27 July. From Senegal, this report continues, Clinton traveled separately to Dar es Salaam (Tanzania’s largest and richest city) where he met up with Obama and Bush for another series of secret meetings on 1 July.

As to the content of these historic meetings between three US Presidents in Africa kept from the American people by their propaganda media organs, this FSB report concludes, was how they were going to be able to contain the even more catastrophic information held by Snowden he has yet to release, but has vowed to do.

Important to note, and as we had detailed in our 1 July report “Snowden Revelations Strike Fear Into Putin” the Obama regime is now in “full panic mode” over what is to come, and as evidenced this past week by the US Federal Government ordering all Web firms to immediately hand over the passwords of all American citizens.

Even more ominous for the American people, the Obama regime this past Friday completely removed from the Internet Obama’s Change.gov website he established in 2008 to lay out his promises, which, in fact, he never honored anyway.

And in a move this report calls “stunning,” the Obama regimes defense department told the US Senate this past week that neither the US Congress, nor the American people, had a right to know who their own country was at war with because it is “classified”.

The GRU addendum to this FSB report, however, cryptically states that for the “truest meaning” of Snowden’s information revealing who the US is really at war with, and the fears of Obama-Bush-Clinton, lies in the 9 December 2009 “Norway Spiral Warning” giving to our Earth on the eve of Obama receiving his 10 December 2009 Nobel Peace Prize…a warning, mind you, that has not been heeded.

The same, however, cannot be said of Russia as the 5,000 additional bomb shelters ordered in 2010 by Putin to be built by the end of 2012 have now been completed, and with each passing day many more thousands of Russian troops are preparing for war.

Source.
Russia Prepares For War After Historic Obama-Bush-Clinton African Meet - LIBRARY OF MOST CONTROVERSIAL FILES
 

Attachments

  • Ma Rais wa Amerika.jpg
    Ma Rais wa Amerika.jpg
    30.1 KB · Views: 166
  • Rais Putin.jpg
    Rais Putin.jpg
    30.3 KB · Views: 166
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom