zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Kwa watu wa kaskazini ya Tanzania kuwa na uraia wa Kenya na Tanzania ni jambo la kawaida. Hakuna kesi hapo. tupilia mbali madai, mradi hana Uraia wa US hakuna tatizo. Nyerere mwenyewe alisafiri na pasi ipi kwenda nayo masomoni GB? na lini alikana huo uraia?