Nyangomboli
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 3,501
- 1,955
Nina marafiki zangu wameoa wazungu na wakati wa kukaribia kujifungua wamekimblkia kujifungua nje kwa mwanamke ili kupata uraia wa kule hapa unanisaidiaje kuelewa Paulss?
Nina imani Paulss anajua vyema how it is. Ni vijimambo vya propaganda tu katika kuhakikisha angalau tunakufa kiume. Uk4zaliwa nchi za watu ujue unakuwa wa huko na ukitaka kuwa siyo wa huko ukifjkisha eighteen ujue una jukumu la kuukana ule wa kule. Vinginevyo ndo haya yanatokea. Tena dogo ana pass mbili kama wahindi wetu. Duh!