robert deusi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2014
- 399
- 69
Nikiwa kwenye daladala iendayo Dege ghafla tunasimamishwa na trafiki hapa maeneo ya mikadi cha ajabu dereva akashuka ili amfuate trafiki.
Nikashangaa kumuona konda anatoa 3000 za kumpa trafiki sasa nnachojiuliza hivi rushwa imeruhusiwa nchini?
Nikashangaa kumuona konda anatoa 3000 za kumpa trafiki sasa nnachojiuliza hivi rushwa imeruhusiwa nchini?