Kuna mtu namfahamu mtoto wake kapata nafasi hapo olympius mwaka huu bila kutoa chochote, we mwanao itakua alichemka interview. Ila jamaa kaambiwa japo mwanae kafaulu na kupata nafasi akishindwa kulipa ada kwa pamoja hiyo nafasi atapewa mtu mwingine
Sent using Jamii Forums mobile app
Hua wanafanya siku moja shule zote za serikali za English mediumNilienda pia Oysterbay nikaambiwa nimechelewa usaili umepita, ila yule ‘mama’ akanipa tumaini kuwa ingekuwa mtoto amefanya ‘intavyuu’ pale angejua cha kufanya.
Sure mkuu huduma zao sio poa hasa usafiri ni mateso kwa wanetu.Sasa huku Dar kuna mibus kama walivyosena wadau ya watu binafsi sasa watoto jamani wanajazana, wana banana wanapakatana khaaaaa aaaaa.
Mtu anakaa mbezi lakini mtoto anampelekea Diamond.
Mtoto anaamka saa 10 alfajr hata utoto wake haufaidi.
Ni vyema watoto wa some shule za karibu kuliko hizo shule mnazotaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mlimani wameanza mtaala wa kufundisha kwa kiingreza?Mbona shule zipo nyingi tu nzuri siyo lazima umpekeke huko. Wanangu wamesoma Mlimani primary wako vzr tu.
Mkuu hakuna kificho, ni kweli hizo shule bila rushwa labda uwe mtoto wa kigogo lakini sio Kigogo2014.
Na wanabanana hasa na hili joto sana na homa ya ini ilivyoshamiri. Mimi nilishapanda gari usiku na mtoto anatoka shule mida ya saa moja anakaa Mbezi makabe anasoma diamond.Sasa huku Dar kuna mibus kama walivyosena wadau ya watu binafsi sasa watoto jamani wanajazana, wana banana wanapakatana khaaaaa aaaaa.
Mtu anakaa mbezi lakini mtoto anampelekea Diamond.
Mtoto anaamka saa 10 alfajr hata utoto wake haufaidi.
Ni vyema watoto wa some shule za karibu kuliko hizo shule mnazotaka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanafundisha kiswahili Ila watoto wanatoka na uelewa mpana sana, confidence na nidhamu. Kichina wanafundisha pia kama somo tu.Mlimani wameanza mtaala wa kufundisha kwa kiingreza?
Last time walikuwa wanasema wataanza kichina na kiingereza.
BTW, Shule nzuri sana isipokuwa walikuwa wanazingua kukomaa na mtaala wa kiswahili.
naona mmekujaWanakosa nafasi kwa sababu Shule hizo ni chache na wahitaji ni wengi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilisikia kuanzia Grade 1 wa mwaka 2017 wataanza kutumia mtaala wa kiingereza na kichina kama somo la ziada tu, what went wrong?Wanafundisha kiswahili Ila watoto wanatoka na uelewa mpana sana, confidence na nidhamu. Kichina wanafundisha pia kama somo tu.
ni kweli nasikia anashirikishwa mfagizi ili kuondoa ushaidi dili linapigwa na mwalimu mkuu na wengineo apo yupo jirani katoa cash laki sita risiti laki 3Ni kweli sina ushahidi, ila nimeona niliseme tu wala sina cha kufanya.... mashahidi ni wahanga wengine pia au nikiamua kuripoti PCCB na hizo Laki 3 nawakamatisha.
Shule zetu hizi ‘elimu bure’ ni majanga tupu, zipo shule kadhaa japo chache za serikali za kulipia (English Medium) na zinafanya vizuri sana.... mzazi haoni shida kulipia kwa maana ada ni nafuu ukilinganisha na shule binafsi za hadhi hiyo.
Sijui serikali yetu imekwama wapi kuongeza hizi shule, zimekuwa kimbilio na zinadahiri watoto wengi mno kwa mwaka.... unakuta darasa moja wanafunzi 400+.
Pia kuna Oysterbay japo haichukui idadi kubwa kama hizo mbili tajwa, na kwa mikoani zipo katika baadhi ya miji.... ni wito kwa serikali kuliona hili kwa kuwa limeonesha matokeo chanya.
Ukisikia serikali kupisha na gari la mshahara ndio hapa sasa sijui huwa tunakwama wapi wallahMlimani wameanza mtaala wa kufundisha kwa kiingreza?
Last time walikuwa wanasema wataanza kichina na kiingereza.
BTW, Shule nzuri sana isipokuwa walikuwa wanazingua kukomaa na mtaala wa kiswahili.
Arusha schoolMkuu samahani Arusha ni zipi za mfumo wa English ?
Arusha school
Toa asonge mbele mkuu utakosa nafasi hiyo ujueWala sijapeleleza, hoja hapa ni kuhusu rushwa.... hata amepata sifuri au hakufanya kabisa ila nikitoa 300k dogo anasonga mbele.
Mzazi ukae mazingira jirani na Olimpio au Diamond halafu ukose laki tatu mkuu?utawasaidia watu wengi..watoto wanakosa nafasi pale kwa kukosa 300000 ya rushwa na ni watoto walio kwenye mazingira ya jiran na shule
Siku hizi kama unatoka Kimara ukipata basi una bahati.Kama unatoka Makongo ukipata una bahati.Wanachukua watu wa jirani sana na mwisho ni wanafunzi 45 tuMimi siyo profesa na wala sifanyi kazi udsm. Vigezo ni mtoto atoke maeneo ya ubungo, makongo,changanyikeni na kimara lkn siyo atoke gongolamboto au Chanika aje asome mlimani huyo hapati nafasi.