Gentleman 446
Senior Member
- Mar 26, 2021
- 112
- 399
Ndugu zako naombeni muongozo kidogo, kuna shule nimeifuatilia nimeambiwa ni shule ya serikali ila ni ya kulipia na ada zake ni nafuu, nikafikiria mwakani nimpeleke mwanangu hapo ajiunge na wenzake ili aipate hiyo elimu.
Sasa katika kuuliza baadhi ya watu hawanipi majibu ya kueleweka mara wengine wanakwambia ili mtoto ajiunge lazima upenyeze rupia (hongo), kuna mwingine anasema unaweza toa chochote na bado mtoto wasimpe nafasi.
Ndugu zangu mnaohusiana na hiyo shule nisaidieni direction nzuri, najua kuna watu wana watoto wao wanasoma huko na wengine ni watumishi.
Tupeni A, B, C, D mapema, si mnajua mwaka umeisha huu.
Sasa katika kuuliza baadhi ya watu hawanipi majibu ya kueleweka mara wengine wanakwambia ili mtoto ajiunge lazima upenyeze rupia (hongo), kuna mwingine anasema unaweza toa chochote na bado mtoto wasimpe nafasi.
Ndugu zangu mnaohusiana na hiyo shule nisaidieni direction nzuri, najua kuna watu wana watoto wao wanasoma huko na wengine ni watumishi.
Tupeni A, B, C, D mapema, si mnajua mwaka umeisha huu.