Rushwa inavyotawala uandikishaji watoto Darasa la Kwanza. Case study ya Olympio na Diamond Primary Schools

Last year my blood bro pia kilimtokea kilichokukuta mkuu,mi sina ushahidi na hili lkn waswahili wanasema lisemwalo lipo na pafukapo moshi ndani kuna moto
 
Nyie walimu mnajifanya wajuaji na kunishambulia kwa jazba, ila mkae mkijua siku yenu inakuja wala haiko mbali.... na kwa taarifa yenu tu ni kwamba tunajua mbinu yenu ya kutumia ‘wafagizi’ na madereva kupokea hizo pesa ili msinaswe.

Endeleeni kudonoa hadi muifikie ndoano, tamaa huwa haina shibe na hutanuka kadri inavyomeza so hata kama sio mwaka huu zamu itawafikia tu mmoja baada ya mmoja.

Usile Mbegu.
 
Shule zetu hizi ‘elimu bure’ ni majanga tupu, zipo shule kadhaa japo chache za serikali za kulipia (English Medium) na zinafanya vizuri sana.... mzazi haoni shida kulipia kwa maana ada ni nafuu ukilinganisha na shule binafsi za hadhi hiyo.

Sijui serikali yetu imekwama wapi kuongeza hizi shule, zimekuwa kimbilio na zinadahiri watoto wengi mno kwa mwaka.... unakuta darasa moja wanafunzi 400+.


Hapo mimi sijaelewa, ni kufaulu au kufaulu kupitia lugha ya kiingereza? Mbona kuna watoto wengi tu wamefaulu vizuri kupitia shule zetu zenye kutumia kiswahili? Kama tatizo lako wewe ni kusomesha kwenye english medium, basi mashule yamejaa mpeleke huko. Usitake kulazimisha serikali ieneze mashule ya english medium kila mahala kwa interest zako wakati inalenga kuboresha mashule yaliyopo sasa ambako elimu inatolewa bure

Ni wazi kabisa hujaelewa na huwezi kuelewa kwa vile uelewa wako (kama unao anyway) ni mdogo sana, hayo mashule yaliyopo mnayohangaika kuboresha elimu bure ni nani anayataka..?

Watanzania sio wajinga kama mnavyotuaminisha, mmefanikiwa kutumia umaskini wao wa kipato hivyo hawana choice.... inawalazimu kupoteza muda na kuharibu future za vizazi vyao kwa kuwashindisha huko kwenye elimu bure ili tu angalau wajue kupiga kura.

Jesus saves, I spend.
 
Kwahio unataka mtoto afaulu kama wa shule za mamilioni ila wewe utoe laki 3 tu.??
Unapenda upate mteremko ila kumpa mwalimu motisha unaona kasheshe

Ndugu yangu, rushwa na motisha ni vitu viwili tofauti.... sijui huko kwenu.
 
Nyie walimu mnajifanya wajuaji na kunishambulia kwa jazba, ila mkae mkijua siku yenu inakuja wala haiko mbali.... na kwa taarifa yenu tu ni kwamba tunajua mbinu yenu ya kutumia ‘wafagizi’ na madereva kupokea hizo pesa ili msinaswe.

Endeleeni kudonoa hadi muifikie ndoano, tamaa huwa haina shibe na hutanuka kadri inavyomeza so hata kama sio mwaka huu zamu itawafikia tu mmoja baada ya mmoja.

Usile Mbegu.
Cheap is expensive..shule nyingi tu ili kulinda nafasi inabidi uweke mzigo upfront na ni millions of money
 
Basi mpeleke mtoto kayumba...ada laki 3 unateseka ungelipa milioni si ungekufa

Sawa, mada inaongelea rushwa na sio ada.... napata shida juu ya uelewa wako kuhusu hivi vitu viwili.
 
We jamaa ni mcheshi sana, nimepata shule ya mamilioni huko na nimeshaanza kufanya malipo.... roho imeniuma kwa sababu lengo langu nilitaka kuunga juhudi kwa kunufaisha serikali sio mtu binafsi.
No mkuu we Kama una uwezo mkubwa kifedha kupeleka mtoto Olimpio au Diamond kwa kigezo Cha kuiunga mkono serikali sio poa maana unakua unazuia nafasi za walalahoi wasioweza kulipa Ada za mamilioni.We kwa mamilioni ndio kunakufaaa.Anyway rushwa Bado mpaka leo? Hakuna mtu huwa anaingia bill rushwa?
 
sitetei rushwa ila serikali ndio ya kulaumiwa kwani kungekuwa na shule nyingi za serikali zinazotoa elimu kwa kingerza kama hizo basi watu wasingetoa rushwa,mbona shule za mtaani kwetu rushwa hakuna
Sahihi
 
Back
Top Bottom