Jeff
JF-Expert Member
- Sep 26, 2009
- 1,293
- 199
Mkuu itabidi unipe mikakati na mchakato mzima uliopitia katika kumpata mke ambaye amekuwa tunu ya familia. Mimi kama bachelor hakika nisingeitaji kupata ndoa yenye magomvi kila kukicha na ndio maana lazima mke wangu atoke kwa MUNGU na sio kwa marafiki au ndugu zangu au akili na macho yangu ya nyama.
Mkuu kama unaweza kuniPM kwa kila lililo jema katika kukamilisha mchakato huu utakuwa umenisaidia sana, japo hata kwa kunipa references itakuwa nzuri pia. Be blessed Sir
ni kweli mkuu,hata mm nahitaji kupata mawili matatu katika hili,kwani niko kwenye mchakato huohuo,