Jayfour_King
JF-Expert Member
- Nov 15, 2009
- 1,135
- 128
hata mie namsupport huyu badala ya kupeana raha inakuwa karaha
nenda kwenu mama
lakini jamani hakuna style mbadala za kumsaidia huyu??
Katika ahadi za ndoa ni kwamba mtavumiliana kwa shida na raha hii big rungu haiwezi kuwekwa kwenye kundi hili la shida na raha? Lakini kwenye soko huria mambo ni mengi kinamama wengine watafuta hii kitu hawajapata! Itabidi hapa bwana mkubwa ajipange upya, angekuwa ameonja kabla yote haya yasingewakuta.