1.Never Lie
Usijichanganye kunidanganya,sina uongo mdogo wala uongo mkubwa kwangu uongo ni uongo (sinaga utani eneo hilo) kuna kunizuga eti "nilikua nakutaniaaaaa" sio kwangu,utani wa UONGO nauchukulia ni Reality Show.
Sisahau tunapochat tunapoongeaa huwa nafanya recall na zile past stories niki find out kuna mahali ulipndisha maelezo either kwa kutania (kama utavyojitetea) au kwa kudhamiria,Fahamu ktk marks nilizokupa Natoa 50,kama uli score 70/100 tukitoa 50 tunapata 20/100.