Nyahende Thomas
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 211
- 104
Kwa mujibu wa taarifa ya habari ITV saa 2 usiku huu, mfanyabiashara mmoja mjini Sumbawanga ameuwawa baada ya kuvamiwa na kushambuliwa kwa risasi na askari polisi, akiwa nyumbani kwake mjini Sumbawanga kwa kutuhumiwa kwa wizi.
MYTAKE.
Chondechonde polisi mnawamaliza wananchi wasio na hatia huku wahalifu wakijivinjari bila wasiwasi.
MYTAKE.
Chondechonde polisi mnawamaliza wananchi wasio na hatia huku wahalifu wakijivinjari bila wasiwasi.