Rukwa: Chongolo akiona cha moto, wananchi wampekekea maji machafu ili anywe

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,722
218,282
Katibu Mkuu wa CCM , chama ambacho kimeasisi kila dhiki unayoiona Nchini Tanzania , Ndugu Chongolo , amegonga mwamba huko Rukwa , pale alipotembelea Jimbo la Kwela (ngome ya Chadema)

Mbwembwe zote za Chongolo zilisha zenyewe baada ya wananchi kumletea maji machafu wanayoyatumia , hata baada ya zaidi ya miaka 60 tangu nchi hii kupata Uhuru.
---

Screenshot_2023-10-10-16-25-29-1.png

Tatizo la maji katika Kijiji cha Mwela, Jimbo la Kwela, wilayani Sumbawanga, Mkoa wa Rukwa, umewafanya wananchi wa eneo hilo kuusimamisha msafara wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo ili kufikisha kilio chao.

Msafara huo ulikuwa unatoka Kata ya Muze kwenda Mto Wisa leo Jumanne Oktoba 10, 2023, kuendelea na ziara yake, ndipo wananchi walipojipanga barabara wakiwa na ndoo zenye maji machafu.

Kutokana na hilo, Chongolo amepokea malalamiko kutoka kwa wananchi na mwenyekiti wao Chrispin Bernaba na papo hapo, akatoa maelezo kwa Mkuu wa Wilaya hiyo, Ally Nyakia na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (Ruwasa).
 
Katibu Mkuu wa CCM , chama ambacho kimeasisi kila dhiki unayoiona Nchini Tanzania , Ndugu Chongolo , amegonga mwamba huko Rukwa , pale alipotembelea Jimbo la Kwela (ngome ya Chadema)

Mbwembwe zote za Chongolo zilisha zenyewe baada ya wananchi kumleta maji machafu wanayoyatumia , hata baada ya zaidi ya miaka 60 tangu nchi hii kupata Uhuru

View attachment 2777868View attachment 2777869
kwan alikua na kiu sana?
 
Katibu Mkuu wa CCM , chama ambacho kimeasisi kila dhiki unayoiona Nchini Tanzania , Ndugu Chongolo , amegonga mwamba huko Rukwa , pale alipotembelea Jimbo la Kwela (ngome ya Chadema)

Mbwembwe zote za Chongolo zilisha zenyewe baada ya wananchi kumletea maji machafu wanayoyatumia , hata baada ya zaidi ya miaka 60 tangu nchi hii kupata Uhuru.
---

Tatizo la maji katika Kijiji cha Mwela, Jimbo la Kwela, wilayani Sumbawanga, Mkoa wa Rukwa, umewafanya wananchi wa eneo hilo kuusimamisha msafara wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo ili kufikisha kilio chao.

Msafara huo ulikuwa unatoka Kata ya Muze kwenda Mto Wisa leo Jumanne Oktoba 10, 2023, kuendelea na ziara yake, ndipo wananchi walipojipanga barabara wakiwa na ndoo zenye maji machafu.

Kutokana na hilo, Chongolo amepokea malalamiko kutoka kwa wananchi na mwenyekiti wao Chrispin Bernaba na papo hapo, akatoa maelezo kwa Mkuu wa Wilaya hiyo, Ally Nyakia na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (Ruwasa).
Jipe moyo labda mtaingia ikulu kwa hiki cha moto!
 
Tangu umefungua macho ni jembe na nyundo hatudhalilika huko nyuma ije iwe leo,ni dalili viongozi wa chama ni wasikivu na demokrasia na uhuru wa kujieleza umekuwa mkubwa!
Demokrasia ya ccm ni kubadilisha raisi kwa njia ya kudanganya watu mkiiba na kubaka uchaguzi.
Tukisema Leo tuweke andazi na ccm we unafikiria Azam ngano SI maandazi yatakwisha
 
Katibu Mkuu wa CCM , chama ambacho kimeasisi kila dhiki unayoiona Nchini Tanzania , Ndugu Chongolo , amegonga mwamba huko Rukwa , pale alipotembelea Jimbo la Kwela (ngome ya Chadema)

Mbwembwe zote za Chongolo zilisha zenyewe baada ya wananchi kumletea maji machafu wanayoyatumia , hata baada ya zaidi ya miaka 60 tangu nchi hii kupata Uhuru.
---

Tatizo la maji katika Kijiji cha Mwela, Jimbo la Kwela, wilayani Sumbawanga, Mkoa wa Rukwa, umewafanya wananchi wa eneo hilo kuusimamisha msafara wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo ili kufikisha kilio chao.

Msafara huo ulikuwa unatoka Kata ya Muze kwenda Mto Wisa leo Jumanne Oktoba 10, 2023, kuendelea na ziara yake, ndipo wananchi walipojipanga barabara wakiwa na ndoo zenye maji machafu.

Kutokana na hilo, Chongolo amepokea malalamiko kutoka kwa wananchi na mwenyekiti wao Chrispin Bernaba na papo hapo, akatoa maelezo kwa Mkuu wa Wilaya hiyo, Ally Nyakia na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (Ruwasa).
Mbwembwe zote za Chongolo zilisha zenyewe baada ya wananchi kumletea maji machafu wanayoyatumia , hata baada ya zaidi ya miaka 60 tangu nchi hii kupata Uhuru.
---
Mwamko wa wananchi kujitambua unazidi kushika kasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom