Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,722
- 218,282
Katibu Mkuu wa CCM , chama ambacho kimeasisi kila dhiki unayoiona Nchini Tanzania , Ndugu Chongolo , amegonga mwamba huko Rukwa , pale alipotembelea Jimbo la Kwela (ngome ya Chadema)
Mbwembwe zote za Chongolo zilisha zenyewe baada ya wananchi kumletea maji machafu wanayoyatumia , hata baada ya zaidi ya miaka 60 tangu nchi hii kupata Uhuru.
---
Tatizo la maji katika Kijiji cha Mwela, Jimbo la Kwela, wilayani Sumbawanga, Mkoa wa Rukwa, umewafanya wananchi wa eneo hilo kuusimamisha msafara wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo ili kufikisha kilio chao.
Msafara huo ulikuwa unatoka Kata ya Muze kwenda Mto Wisa leo Jumanne Oktoba 10, 2023, kuendelea na ziara yake, ndipo wananchi walipojipanga barabara wakiwa na ndoo zenye maji machafu.
Kutokana na hilo, Chongolo amepokea malalamiko kutoka kwa wananchi na mwenyekiti wao Chrispin Bernaba na papo hapo, akatoa maelezo kwa Mkuu wa Wilaya hiyo, Ally Nyakia na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (Ruwasa).
Mbwembwe zote za Chongolo zilisha zenyewe baada ya wananchi kumletea maji machafu wanayoyatumia , hata baada ya zaidi ya miaka 60 tangu nchi hii kupata Uhuru.
---
Msafara huo ulikuwa unatoka Kata ya Muze kwenda Mto Wisa leo Jumanne Oktoba 10, 2023, kuendelea na ziara yake, ndipo wananchi walipojipanga barabara wakiwa na ndoo zenye maji machafu.
Kutokana na hilo, Chongolo amepokea malalamiko kutoka kwa wananchi na mwenyekiti wao Chrispin Bernaba na papo hapo, akatoa maelezo kwa Mkuu wa Wilaya hiyo, Ally Nyakia na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (Ruwasa).