johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,951
- 141,940
Mwandishi wa habari mkongwe nchini mzee Livingstone Ruhere amesema mzee Mtei ndiye aliyehifadhi fedha zote za vyama vya wapigania uhuru barani Afrika wakati huo akiwa ni gavana wa BoT katika serikali ya Nyerere.
Mzee Ruherr anasema Membe ni mwanadiplomasia aliyefanya kwa kiasi chake katika siasa za kimataifa lakini kuna wengine waliofanya makubwa ZAIDI kuhakikisha bara la Afrika linakuwa huru na kujitawala.
Mzee Ruhere ameonyesha picha ya baadhi ya watanzania wakiwa na Rais Putin wa Russia, Samora rip wa Msumbiji, Rais Mwanangagwa wa Zimbabwe na wapigania uhuru wengine wakiwa katika kijiji cha Kaole kule Bagamoyo wakati wa mafunzo.
Source Clouds 360!
My take:
Kumbe ufisadi wa chadema umeasisiwa na hawa vijana waliopo sasa, Waxee wao kina Mtei walikuwa wazalendo pamoja na kutofautiana mitazamo na mwalimu katika baadhi ya mambo.
Mzee Ruherr anasema Membe ni mwanadiplomasia aliyefanya kwa kiasi chake katika siasa za kimataifa lakini kuna wengine waliofanya makubwa ZAIDI kuhakikisha bara la Afrika linakuwa huru na kujitawala.
Mzee Ruhere ameonyesha picha ya baadhi ya watanzania wakiwa na Rais Putin wa Russia, Samora rip wa Msumbiji, Rais Mwanangagwa wa Zimbabwe na wapigania uhuru wengine wakiwa katika kijiji cha Kaole kule Bagamoyo wakati wa mafunzo.
Source Clouds 360!
My take:
Kumbe ufisadi wa chadema umeasisiwa na hawa vijana waliopo sasa, Waxee wao kina Mtei walikuwa wazalendo pamoja na kutofautiana mitazamo na mwalimu katika baadhi ya mambo.