ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,280
- 15,315
Kwahiyo wanarudi kitaa kwa kisingizio cha kwenda kutibiwa... mpaka 2018.
Akili kichwani mwako.
Akili kichwani mwako.
mkuu jambazi signature yako imenichekesha sana,sijui uliwaza nini hahaaaaaaaaaaaaaaaMbona hakuna majina? Huyu jamaa bhana kwanza nitaenda kumfungulia mashtaka ya kudanganya Umma kuwa aliwahaaidi Watanzania angewataja wezi wa escro na hakufanya hivyo...
Tunataka kuskia majina kama Anna Tibaijuka etc... huo ni mfano tu, sasa kuja na ngonjera kama hizo huo ni uzuzu,
Trillion 37 TShs ..................!! Ukichnaganya na zile Billion 480 USD za Accacia ............. kweli Tanzania inaweza kuwa donar country!!
ni ngumu sana maskini kuona ufalme wa mbinguniBado anacheza Na akili zetu tunataka ataje kwa majina shenz taip
Mimi sio maskinini ngumu sana maskini kuona ufalme wa mbinguni
ni vigumu sana matajiri kwenda mbiguniMimi sio maskini
EPA,MEREMETA,ESCROW,KASHFA YA LUGUMI UHUNI WOTE HUO WAMESABABISHA CDMUfipa masikio kama bweha wa mikoroshini.
Mimi sio tajirini vigumu sana matajiri kwenda mbiguni
Huyu mzee asiuawe ili kuficha uchafu huu
Mwaga mboga nimwage ugali .
Mambo kama hay ndo yanaturudisha nyuma watanzania. Woga usio na maana. Ruge has nothing to loose,umeshafungwa mda woote huo. Halafu bado unapata kugugumizi kutaja majina hadharani?