Mwizi wa escrow ni Lowasa!
Amegundua mambo yamekuwa magumu sasa. IPTL ilikuwa inachosha masikioni. Waache wawajibikeHuyu mzee asiuawe ili kuficha uchafu huu
Mwaga mboga nimwage ugali .
Ni hatare sana yani bajeti tz trillion 20 yé-yé anaidai 16 trillion dahDuu ruge anadai trillion 16 ama kweli watu wanazidi serikali msemo wa kakobe
Ni maswala ya kisheria huwezi wataja watu bila uthibitisho Hao aliowataja anauthibitisho yeye sio bashiteMambo kama hay ndo yanaturudisha nyuma watanzania. Woga usio na maana. Ruge has nothing to loose,umeshafungwa mda woote huo. Halafu bado unapata kugugumizi kutaja majina hadharani?
Kweli kabisaHuyu mzee asiuawe ili kuficha uchafu huu
Mwaga mboga nimwage ugali .
Leo January 5, 2017 Mfanyabiashara James Rugemarila anayekabiliwa na kesi ya utakatishaji fedha amewataja wezi wa fedha za Escrow .
Taarifa kwa hisani ya Millard Ayo
Najiuliza ametumia dawa gani nywele hazinyonyoki maana mionzi kwa miaka tisa ingekuwa imeshindwa kazi.Mzee ana kansa kwa miaka 9 na bado yupo vizuri...
Kweli pesa sabuni ya roho...
Duu ruge anadai trillion 16 ama kweli watu wanazidi serikali msemo wa kakobe
Mbona hakuna majina? Huyu jamaa bhana kwanza nitaenda kumfungulia mashtaka ya kudanganya Umma kuwa aliwahaaidi Watanzania angewataja wezi wa escro na hakufanya hivyo...
Tunataka kuskia majina kama Anna Tibaijuka etc... huo ni mfano tu, sasa kuja na ngonjera kama hizo huo ni uzuzu,
Unashangaa nini? Capacity charge ya mtambo wa IPTL tumekuwa tukilia TSh 5 billion kila siku iendayo kwa Mungu. Piga hesabu kwa miaka 20 ambayo tumekuwa tukiilipa hiyo kampuni kama capacity charge, yaani mitambo kuwepo tu pale Ubungo (iwe mizima au mibovu). Ikiwashwa tunailipia TSh 1 billion kwa saa na mafuta (dizeli) yake ya kuwashia tunaweka wenyewe kwa gharama zetu pamoja na gharama za matengenezo na service ya hiyo mitambo!!! Pesa tulizotumia kukodi huo mtambo wa Megawatts 100 zingetosha kujenga Stigler's gauge hydroelectric power plants 100 kila moja ikiwa na uwezo wa Megawatts 2,100!!! Mwache mzee Rugemalila (baada ya kibano) atililike jinsi ambavyo tumepigwa matrillion ya pesa katika utapeli huo wa IPTL ukihusisha mabenki hayo ya nje.Ruge anadai Tril 16??
Kesi inaenda kufutwa hii!! Kamewashika pabayaaaaa!!Bado anacheza Na akili zetu tunataka ataje kwa majina shenz taip