Saivi tunavyoomboleza kuondokewa na mdau mkubwa katika tasnia ya habari.
Leo nataka kuangalia nani ataenziwa na watanzania pamoja na vionhongozi wetu katika mchango kwa jamii.
Ruge alienziwa sana kwa kusaidia wasanii na vijana mbalimbali na Mengi pia amekua msaada mkubwa sana katika jamii ya watanzania kwa makundi mablimbali kuanzia vijana, walemavu, wasiojiweza na Makundi mengine.
Leo sio kwamba nashindanisha hawa watu wawili HASHA! bali nataka kuona muitikio wa jamii katika msiba wa mzee wetu mpendwa na mfanyabiadhara. Mshangiaji mkubwa wa uchumi wetu kwa uwekezaji.
Nawasilisha!