Idiot Embicile
JF-Expert Member
- Apr 30, 2019
- 1,037
- 1,978
Hivi unajua Mengi kasaidia watu wangapi? Kama pesa anazo unataka asaidie nini sio Kila mtu anahitaji msaada wa ideas.Kuna watu ni watoto yatima wanahitaji msaada wa kusomeshwa mpaka chuo kikuu na Mengi kawasaidia wengi tu,hawa hata ukiwapa idea hautasaidia lolote.Wewe unalinganishwa kwa Utajiri na uwezo ndo maana...!! Mengi alitoa msaada wa pesa zaidi... Ruge alitoa msaada wa Ideas...pesa na kuwezesha vipaji vya wengi ambavyo viliwainuaa mpaka leo wana maisha yao...!! Ruge alitoa watu from zero to heroo... He was someone special... Wewe idiot ukalale tuu
Mengi katoa ajira kwa mamia ya watanzania, hata ideas katoa Sana labda Kama ulikuwa humfatilii.Ruge was good in search but Mengi was the best usichanganywe na porojo za fursa.

