King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,678
- 68,653
Huu ni ushauri tu ruge(Manager clouds) ni mnafiki sana alikua apigi kabisa nyimbo za LWP,Manzese Crew,Afande Sele lakini sasa ameanza kuzipiga na kutangaza kwamba watakuwepo kwenye tamasha lake,Mtu wa kwanza kutangaza hao wasanii ni sugu kwamba watakuwepo kwenye tamasha lake,Wasanii kuweni makini na Ruge,Sugu kamshika pabaya so anatafuta kila njia avunje muungano wa wasanii wapinga unyonyaji,anawagombanisha na sugu then anakumwaga
Nawasilisha
Nawasilisha