Ruge Mutahaba kubali kuwa mlikosea

Vitabu vya dini ndo mdudu gani? Kwanza yakupasa ujue hakuna kitu kinaitwa mungu

Katika karne hii ya utandawazi watu wanapinga hoja kwa kutoa na kutetea hoja zao! Ili nijue hakuna kitu kinachoitwa Dini wala Mungu inabidi utoe hoja zitakazonifanya nielewe hivyo!
 
Katika karne hii ya utandawazi watu wanapinga hoja kwa kutoa na kutetea hoja zao! Ili nijue hakuna kitu kinachoitwa Dini wala Mungu inabidi utoe hoja zitakazonifanya nielewe hivyo!
Zipo nyingi sana. Habari za mungu ni habari za kufikirika tu. Hazina uthibitisho ndio maana unafundishwa. Pili aliyekuletea habari hizo alikua na lengo lake maalum. Sawa na aliye igawa dunia kwa mipaka. Yaani lengo lao lilikuwa ni kumtawala mwanadamu kitu ambacho walifanikiwa. Aliyeanzisha mungu ni sawa na laiyeanzisha muda. Yaani sec, dakika, saa, siku, wiki, mwezi, mwaka na kuendelea. Leo hii nikija na hoja yangu kwamba hakuna kitu kinaitwa siku, utakataa. Ila ni kweli hakuna kitu kinaitwa siku. Ni mipango ya mtu ambaye aliamua kutatua changamoto zake za kutunza kumbukumbu. Ni hayo tu kwa sasa. Kama utakua tayari kupata vitu vingi zaidi waweza nitafuta kwenye group la whatsap tupeane nondo. Lazima tufunguane vichwa ili twende sawa na wenzetu waliowatawala babu zetu na wanaendelea kututawala kwa namna nyingine ya kutumia akili
 
Badala ya kuishambulia Clouds na Ruge, ebu atafutwe Kaoge na akamatwe ashtakiwe kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja.Hii ni jinai, hatuna sababu.Hv nikıjitoa hadharani kwenye TV kwamba mimi ndo nimemua Askari nitaachwa?

Na pia atasaidia vyombo vya usalama kufuatilia hiyo NGO aliyosema inawasapoti nakuwapa kinga, vilainishi na vifaa vya usafi kama mouth wash n.k. Tuna uhakika gani kama hiyo NGO haiko nyuma ya yale mahojiano!? Na je, ni kweli serikali haifahamu uwepo wake!?
 
Mmezamiria kabisaaa kituo cha tv kiombe msamaha????

Mi narudia tena mliotoa kauli hiyo eti waombe msamaha muwaombe wao kwanza msamaha.
Kuwaficha mashoga kunatofauti gani na kumficha mlemavu ndani,
Mimi kipindi ningekipinga kama,,,,,,,,, narudia tena kamaa,,,,,,
Wangemkodi huyo shoga kutoka mataifa mengine na kuja kulizungumzia au kufanya nae interview hapa au kupwea air time nchini
Sasa mtu ametokea humuhumu inchini ambako kuna serikali hairuhusu ushoga hafu mnajaaa povu tuwaeleweje???? Hivi ni kweli kwa kipindi chote hiki mlikua hamjui kama tz ushoga upo mpaka huyo alipokuja kuzungumza kwa tv?? Na mlichukua hatua gani kabla ya zamaradi kuchukua hatua hiyo??


Ieleweke tuu kwamba ruge chombo chako kimefanya yale ambayo yakipasa kufanya, serikali inalitambua tatizo hili lipo na linalua kwa kasi kubwa sana hasa mijini ambapo ofisi nyingi za serikalo zipo lakini hamjalitilia manani wala kulizingatia hata kidogo na kuwaacha vijana wakiathirika na tatizo kama hilo na linalua kwa lasi hamna hatua yoyote kazi kukalia mihemuko ya kisiasa ilihalinajua taifa linateketea
NARUDIA TENA HAKUNA SABABU YA RUGE KUKUBALI KOSA AMBALO NI JUKUMU LAKE KUHAKIKISHA SISI TUNAPATA HABARI, IWE NJEMA AU MBAYA .

Kosa ninaloliona nikufichua maovu yaliyofichwa na serikali kwa kigezo cha maadili, unachukia kumuona kwenye tv lakini unaona raha ukimkuta bar ukiwa unakunywa bia
 
Back
Top Bottom