Ruge Mutahaba kubali kuwa mlikosea

HA ha ha nimemsikiliza zamalad mwenyewe ktk ayo tv naona katumia maneno makali sana dhid ya waliomkosoa kwamba et upeo wao wa kufikili ni mdogo, ikumbukwe kwamba ndan ya waliokosoa wakiwemo TCRA, MAKONDA na BAADHI YA WANANCHI hii kauli sikuipenda na inatafsiri pana ingawa yeye na upeo wake mkubwa kama anavyodai kashindwa kuliona hilo coz had rais naye upeo wake ni mdogo kwa mujibu wake kwan ndiye aliye mteua mh makonda
my take;
unapotaka kuzungumza jambo ebu kua na uwanja mpana wa kufikilia kabla kutenda na sio unaroporopo tu kisa una uhuru wa kuongea
Kumbe kana mdogo mchafu hivyo?
 
Badala ya kuishambulia Clouds na Ruge, ebu atafutwe Kaoge na akamatwe ashtakiwe kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja.Hii ni jinai, hatuna sababu.Hv nikıjitoa hadharani kwenye TV kwamba mimi ndo nimemua Askari nitaachwa?
 
Ila huo msamaha waombe wa nini? Ni uoga tu wa kutumbuliwa, haya mambo yapo na ni vizuri watu wakayajua.

Nina uhakika kipindi hicho kimesaidia wengi kwa njia mbalimbali kwa mazuri.
 
Kufumbia macho tatizo,kujifanya hatulioni...hakuwezi saidia kuondoa tatizo.......watanzania tunge deal na vyanzo vya ushoga...tukavitokomeza na sio kufumbia macho na kuweka vichwa vyetu chini ya ardhi kama mbuni...alichofanya zama sioni kama ni kosa
 
Mm naungana na ruge. Tangu mwanzo nilikua nafikiria jambo alilofanya zamaradi kuwa la kishujaa sawa na mwandishi anayerusha habari za vita akiwa ndani ya uwanja wa vita. Kilichotokea ni kwamba sisi wapokeaji au wasikilizaji ndio tuliotafsiri vibaya lile tukio. Kama shoga alikua anaongea mbinu zake za kufanikisha mambo yake inatoua urahisi kwa mchukua hatua za kupinga kujua anaanzia wapi. Tatizo la watanzania mihemko mingi. Tunadhani kutokomeza ushoga ni kuzuia kuwaona kwenye runinga au kuwasikiliza kwenye radio. Tujifunze kuukubali ukweli
Niko upande wako,wengine wako kiushabiki bila kuchanganua ukweli wa mambo
 
Kipindi chenyew kilishapoteza mvuto.....kaoge kaja kukipa kiki sasa kimerudi tena kwenye umaarufu wake kama mwazoni.....huu mchezo hauhitaji hasira
 
Kufumbia macho tatizo,kujifanya hatulioni...hakuwezi saidia kuondoa tatizo.......watanzania tunge deal na vyanzo vya ushoga...tukavitokomeza na sio kufumbia macho na kuweka vichwa vyetu chini ya ardhi kama mbuni...alichofanya zama sioni kama ni kosa
Kwanin mabinti mnawapenda sana mashoga maana naona povu lakutoka hapa
 
Ila huo msamaha waombe wa nini? Ni uoga tu wa kutumbuliwa, haya mambo yapo na ni vizuri watu wakayajua.

Nina uhakika kipindi hicho kimesaidia wengi kwa njia mbalimbali kwa mazuri.

Hakuna asiyefahamu kuwa haya mambo yapo na yapo tangu enzi na enzi. Ukisoma vitabu vitakatifu vya dini ikiwemo Biblia utakuta haya mambo yanazungumziwa ambapo ni ishara kwamba yapo tangu miaka maelfu mia huko nyuma, lakini hoja hapa ni kwamba: hivi kitu kibaya katika jamii huwa kinaelezewa kwa kukemea au kwa kujaribu kukipamba!?

Ukitafsiri maudhui ya kile kipindi, je, kilikuwa kinaikanya jamii kuachana na hiyo kasumba au kilikuwa kinaishawishi jamii kuona ushoga ni jambo la kawaida!? Kwa namna walivyohojiana, ni mashoga wangapi wangejiona wako njia mbaya na wanatakiwa kuacha na ni mashoga wangapi walifurahi na kujiona wako njia sahihi (tena wengine walimpongeza eti amejieleza vizuri na kwa kujiamin)!? Ukijaribu kutafsiri yale mahojiano, unadhani asilimia ya watu waliovutiwa na kuhamasika na ushoga huenda hata kutamani kuendelea au kuingia kabisa inalingana na waliohamasika kuacha!? TAFAKARI
 
Leo kuna taarifa ya TCRA kuwapa adhabu ya kuwaomba radhi watanzania na watazamaji wa kipindi cha take one kinachorushwa na clouds tv kwa kukiuka maudhui ya utangazaji. Katika taarifa hiyo mkurugenzi wa vipindi wa kituo hicho Bw. Ruge Mutahaba anaonekana kusema kama wameonewa na anasema huenda wakakata rufaa.

Binafsi naona adhabu waliyopewa ni ndogo sana kwani hapa Tanzania hakuna sheria inayoruhsu ndoa za jinsia moja. Kwa walioona yale mahojiano na yule shoga watakubaliana na mimi kuwa ule ulikuwa ni "uhamasishaji" wa ushoga wala sio kupinga jambo hilo.

Yeye anasema jamii haitakiwa kuogopa kutaja jambo hilo hadharani. Lakini kama wangelenga kuifundisha jamii ubaya wa jambo hilo nadhani (na naamini ndo ingekuwa sahihi) wangetafuta mtu aliyewahi kujihusisha na jambo hilo halafu akaachana nalo na hivyo kipindi kizima huyo mtu angejikita kuelezea jinsi tabia hiyo ilivyombaya na kwanini yeye aliamua kuachana nayo, mabaya gani aliyopitia na mazuri gani anayo yaona baada ya kuacha "ushetani" huo. Hapo hadhira iliyokusudiwa huenda ingejifunza kitu kuliko walivyofanya kwa kumpa promo yule shoga na akaongea kwa kujiamini kabisa eti anapenda na mara nyingine anajiuza mwili wake na eti anatamani apewe mfadhili aweze kupandikizwa mimba!.. hivi kweli hapa Bwana Ruge hujaona mlipokosea tuu!?
Kushupalia vitu vidogo mnaacha mambo ya maana
 
Mm naungana na ruge. Tangu mwanzo nilikua nafikiria jambo alilofanya zamaradi kuwa la kishujaa sawa na mwandishi anayerusha habari za vita akiwa ndani ya uwanja wa vita. Kilichotokea ni kwamba sisi wapokeaji au wasikilizaji ndio tuliotafsiri vibaya lile tukio. Kama shoga alikua anaongea mbinu zake za kufanikisha mambo yake inatoua urahisi kwa mchukua hatua za kupinga kujua anaanzia wapi. Tatizo la watanzania mihemko mingi. Tunadhani kutokomeza ushoga ni kuzuia kuwaona kwenye runinga au kuwasikiliza kwenye radio. Tujifunze kuukubali ukweli

Hakuna asiyefahamu kuwa haya mambo yapo na yapo tangu enzi na enzi. Ukisoma vitabu vitakatifu vya dini ikiwemo Biblia utakuta haya mambo yanazungumziwa ambapo ni ishara kwamba yapo tangu miaka maelfu mia huko nyuma, lakini hoja hapa ni kwamba: hivi kitu kibaya katika jamii huwa kinaelezewa kwa kukemea au kwa kujaribu kukipamba!?

Ukitafsiri maudhui ya kile kipindi, je, kilikuwa kinaikanya jamii kuachana na hiyo kasumba au kilikuwa kinaishawishi jamii kuona ushoga ni jambo la kawaida!? Kwa namna walivyohojiana, ni mashoga wangapi wangejiona wako njia mbaya na wanatakiwa kuacha na ni mashoga wangapi walifurahi na kujiona wako njia sahihi (tena wengine walimpongeza eti amejieleza vizuri na kwa kujiamin)!? Ukijaribu kutafsiri yale mahojiano, unadhani asilimia ya watu waliovutiwa na kuhamasika na ushoga huenda hata kutamani kuendelea au kuingia kabisa inalingana na waliohamasika kuacha!? TAFAKARI
 
Hivi siku ukishuhudia kwenye familia yako kuna mtoto wa kiume anajihusisha na jambo hili, utaendelea kusema ni mambo madogo!?
Yes ni mambo madogo! Uhuru wa kuabudu, kupenda, as long as haingilii uhuru wa mtu au kuvunja haki za wengine. Sipendi kuingilia uhuru wa mtu kama ule wa kumkuta mtu anakula mwezi wa Ramadhani na kumchapa viboko.
 
Yes ni mambo madogo! Uhuru wa kuabudu, kupenda, as long as haingilii uhuru wa mtu au kuvunja haki za wengine. Sipendi kuingilia uhuru wa mtu kama ule wa kumkuta mtu anakula mwezi wa Ramadhani na kumchapa viboko.

Hakuna uhuru usiokuwa na mipaka, hata Mungu alimuwekea mipaka Adam! Ila hata hivyo waswahili wanamsemo wao kuwa "kupanga ni kuchagua" japo unatakiwa kuchagua fungu jema lakini hiyo haimlazimishi bata kuacha kuchezea maji machafu!
 
Mm naungana na ruge. Tangu mwanzo nilikua nafikiria jambo alilofanya zamaradi kuwa la kishujaa sawa na mwandishi anayerusha habari za vita akiwa ndani ya uwanja wa vita. Kilichotokea ni kwamba sisi wapokeaji au wasikilizaji ndio tuliotafsiri vibaya lile tukio. Kama shoga alikua anaongea mbinu zake za kufanikisha mambo yake inatoua urahisi kwa mchukua hatua za kupinga kujua anaanzia wapi. Tatizo la watanzania mihemko mingi. Tunadhani kutokomeza ushoga ni kuzuia kuwaona kwenye runinga au kuwasikiliza kwenye radio. Tujifunze kuukubali ukweli
Mkuu dhamira ya kuonesha haikuwa mbaya ila haikupatikana suluhu ya tatizo since yule shoga hakuwa akijutia na alikuwa anaona fahari kuwa vile hilo ndio tatizo kwa wale wenye vichwa mbonyeo inakuwa rahisi kujiingiza kwenye hizo tabia kutaka kujaribu.Ndio maana waungwana wengi tungependa angemtafuta mtu ambaye ameshaacha ushoga anatoa ushuhuda so lazima angeleta na njia ya kuepuka au kuacha kabisa kwa wale ambao bado wapo kwenye hizo tabia.
 
Mm naungana na ruge. Tangu mwanzo nilikua nafikiria jambo alilofanya zamaradi kuwa la kishujaa sawa na mwandishi anayerusha habari za vita akiwa ndani ya uwanja wa vita. Kilichotokea ni kwamba sisi wapokeaji au wasikilizaji ndio tuliotafsiri vibaya lile tukio. Kama shoga alikua anaongea mbinu zake za kufanikisha mambo yake inatoua urahisi kwa mchukua hatua za kupinga kujua anaanzia wapi. Tatizo la watanzania mihemko mingi. Tunadhani kutokomeza ushoga ni kuzuia kuwaona kwenye runinga au kuwasikiliza kwenye radio. Tujifunze kuukubali ukweli
You don't know the power of media aisee. Unadhani hizi adverts za biashara kwenye media zinalenga nini? Umewahi kujiuliza why Makonda amekuwa so popular kwa kipindi kifupi? Jibu ni kwamba ametumia media very effectively..
 
Hii ndio shida ya BOSI kutembea na mfanyakazi wa kampuni, Ruge anaona aibu kwa kuwa alierusha kipindi ni hawara yake lakini angekuwa mfanyakazi wa kawaida huenda hata angemfukuza na kusingizia hawakujua mgeni atakae kuja kwenye kipindi kama ni shoga. Aombe radhi kama vipi watoto wao wa kiume nao waanze kuwavisha shanga kiunoni na kuwapaka wanja na vipedo ili wakikua waamue upande wa kuishi, sio kwavalisha masuruali ya kiume na mabuti na kuwaambia wewe ni kaka. Pumbavu zao.
 
Back
Top Bottom