Wa kimaendeleo,huyo bwana,kumbuka alikua na bifu na sugu mbunge,kuhusu kitu cha THT Kilochofunguliwa na kikweteKwahiyo una maanisha kwamba Ruge anamuoea wivu JD?
Wa kimaendeleo,huyo bwana,kumbuka alikua na bifu na sugu mbunge,kuhusu kitu cha THT Kilochofunguliwa na kikweteKwahiyo una maanisha kwamba Ruge anamuoea wivu JD?
Kila mtu uwa anasema lake.Wa kimaendeleo,huyo bwana,kumbuka alikua na bifu na sugu mbunge,kuhusu kitu cha THT Kilochofunguliwa na kikwete
Sure man...
Inaelekea clouds fm wafanyakazi wake wanaenjoy kazi yao na wanapata opportunities nyingi.
Kusoma inakua tabu kazi kuuliza miswali ya kimashauzi ka mtt wa darasa lapili A.Ruge?
Who's the Ruge by the way?
Word...Wengi wanaowapondea clouds ukitafakari utagundua ni wivu na matamanio ya aidha kuwa kama clouds fm au kuwa karibu nao ili waweze kuinjoi mafanikio na connection za clouds,lakini si kwamba kuna kitu serious kama wanavyodai eti ni wanyonyaji au wanabania wanamuziki,si kweli mimi nakataa,clouds ni watu makini linapokuja suala la burudani na si watu wa mchezo mchezo kama wenyewe wanavyosema.
Mkuu mbona una wivu mpaka umepitiliza!
Binadamu wabaya sana mkuuNdo watu design hiyo niliowasema kwenye post yangu ya mwanzo,yaani watu wanaumizwa na mafanikio ya clouds fm mpaka basi,wanafikia kiwango cha kuwapa kila aina ya sifa mbaya ili waonekane si lolote si chochote bila kutambua kwamba aliewapandisha ndio atakewashusha lakini binadamu wanaumia roho bila sababu za msingi kwa mafanikio ya wengine.
Binadamu wabaya sana mkuu
Kweli kabisa mkuuYaani,tena ubaya wao unakuwa bila sababu yoyote,wao wanaamua tu kumchukia mtu basi.Hamna jinsi inabidi uishi nao kwa akili kwani vinginevyo utapata taabu sana kwa kuwa kila mahali wapo na tabia zinafanana.
Alikuibia nini hebu tujuze kidogoukiwa mwizi lazima ujue kujitetea.
Jamaa yuko vizuri, ila ningependa kama wangemaliza bifu na Ladyjayde na rama dee tunakosa mziki wao mzuri hasa r&b ya rama d
Kiukweli steshen nyingine zinapiga ile hazipewi promo ya kutosha unaweza zisikia kwa mwezi mara moja
Angetumia tu busara za kiutu uzima hata kama wao hao wasanii ndio walikosea
Nampenda sana Ruge,anajua kutumia nafasi,siyo yule wa darasa la saba analialia tu kwenye facebook,shule nayo inasaidia jamani
daaa na rama d?Mwenye tatizo ni JD na sio Ruge, kwani ni JD ndie alietoka hadharani na kuanza kuwatukana clouds fm bila kutaja sababu na kuwakatza wasipige nyimbo zake katika redio yao(clouds fm) na siku akifa wasifike kumzika na wakifika watu watakao kuwepo wawapige mawe Ruge na Kusaga,huo ni usia aliouandika hadharani na watanzania wengi waliuona na JD hakutoa nafasi ya suluhu kwa kuwa hakutaka hilo.
ngumu sana kumuelewa huyu!sielewi elewi hebu tuelezeeni ilivyo
The Boss nawe bwana,yule anaelilia kulipwa na CCMDarasa la saba ndo nani?
daaa na rama d?