Rufaa za Mitihani ya NECTA: Kesi ya mbuzi kupelekwa kwa chui

Jitume

Senior Member
Dec 13, 2008
142
23
Nimekuwa nikifuatilia matokeo ya rufaa zinazoombwa na watahiniwa wanapohisi kuonewa katika usahihishaji wa Mitihani mara baada ya Matokeo kutolewa na Baraza la Mitihani. Haya ni pamoja na matokeo ya Form IV,VI,Vyeti na Diploma za Ualimu.

Mara nyingi rufaa zote(angalia matokeo ya sasa website ya NECTA), matokeo yake huwa hayabadiliki. Wao wanaandika "Hayajabadilika"

Huko nyuma wakati niko shule ilikuwa ni kawaida walimu kama binadamu, kupitiwa na kukosesha mwanafunzi swali alilofanyavizuri. Na ni kote, Chekechea hadi vyuo. Inakuwaje NECTA kusiwe na binadamu wa namna hiyo wakati tunaambiwa wasahihishaji hukusanywa kutoka taasisi zilezle ambako tumekuwa tukishuudia kasoro hizo za kibinadamu? yahani warufaa woote hakuna aliyeshinda!!! Wote hakuna aliyekuwa na busara na kupima alichofanya kuwa hakistahili kukatiwa rufaa!!

Hivi ni sahihi na kuwatendea haki watahiniwa, rufaa zao kurejewa(kupitiwa upya) na taasisi ileile inayotuhumiwa kusahihisha vibaya? Nahisi Necta hawawezi tenda haki kwa sababu:

1) Wao ni watuhumiwa wa kutokutenda haki katika usahihishaji wa mwanzo
2) Wataacha matokeo yawe yaleyale ili kuficha udhaifu uliofanyika mwanzo
3) Wastahiki wa kushinda rufaa hawatapewa ushindi kwa kuofia hata wale wasiositahiki watakuwa wamepoteza imani kwa wasahihishaji.

Maoni yangu: Kuwepo na chombo au Kamati maalumu baada ya matokeo ambayo itafanya kazi hiyo badala ya kufanywa na Baraza. Kamati hiyo isiwe na mafungamano yoyote na NECTA. Ikibidi warufani wenyewe walipie gharama za kurejea usahihishaji. Baraza linaweza kuwekewa utaratibu kupitia kile kilichofanywa na kamati hiyo itakayojitegemea. Hapa Warufaa watakuwa wametendewa haki. Mnasemaje?
 
Nimekuwa nikifuatilia matokeo ya rufaa zinazoombwa na watahiniwa wanapohisi kuonewa katika usahihishaji wa Mitihani mara baada ya Matokeo kutolewa na Baraza la Mitihani. Haya ni pamoja na matokeo ya Form IV,VI,Vyeti na Diploma za Ualimu.

Mara nyingi rufaa zote(angalia matokeo ya sasa website ya NECTA), matokeo yake huwa hayabadiliki. Wao wanaandika "Hayajabadilika"

Huko nyuma wakati niko shule ilikuwa ni kawaida walimu kama binadamu, kupitiwa na kukosesha mwanafunzi swali alilofanyavizuri. Na ni kote, Chekechea hadi vyuo. Inakuwaje NECTA kusiwe na binadamu wa namna hiyo wakati tunaambiwa wasahihishaji hukusanywa kutoka taasisi zilezle ambako tumekuwa tukishuudia kasoro hizo za kibinadamu? yahani warufaa woote hakuna aliyeshinda!!! Wote hakuna aliyekuwa na busara na kupima alichofanya kuwa hakistahili kukatiwa rufaa!!

Hivi ni sahihi na kuwatendea haki watahiniwa, rufaa zao kurejewa(kupitiwa upya) na taasisi ileile inayotuhumiwa kusahihisha vibaya? Nahisi Necta hawawezi tenda haki kwa sababu:

1) Wao ni watuhumiwa wa kutokutenda haki katika usahihishaji wa mwanzo
2) Wataacha matokeo yawe yaleyale ili kuficha udhaifu uliofanyika mwanzo
3) Wastahiki wa kushinda rufaa hawatapewa ushindi kwa kuofia hata wale wasiositahiki watakuwa wamepoteza imani kwa wasahihishaji.

Maoni yangu: Kuwepo na chombo au Kamati maalumu baada ya matokeo ambayo itafanya kazi hiyo badala ya kufanywa na Baraza. Kamati hiyo isiwe na mafungamano yoyote na NECTA. Ikibidi warufani wenyewe walipie gharama za kurejea usahihishaji. Baraza linaweza kuwekewa utaratibu kupitia kile kilichofanywa na kamati hiyo itakayojitegemea. Hapa Warufaa watakuwa wametendewa haki. Mnasemaje?

You have a point to deliberate on!!!! hatujui wanatumia utaratibu gani kupitia rufaa hizo. Necta please this is a great concern. Lazima haki itendeke na siyo kutendeka, ionekane imetendeka
 
Uko sawa! ila kwnn kusiwe na active follow up kwa wale markers kuhakiksha kwamba wana mark vzuri kulko kuwaachia wenyewe then supervisor anatia sign then habari inaishia hapo! Hilo ndilo linalo wafanya markers wamark watakavyo wakijua kwamba ikiwa wamesahihisha vibaya ipo rufaa asiye ridhka atakata!
 
Uko sawa! ila kwnn kusiwe na active follow up kwa wale markers kuhakiksha kwamba wana mark vzuri kulko kuwaachia wenyewe then supervisor anatia sign then habari inaishia hapo! Hilo ndilo linalo wafanya markers wamark watakavyo wakijua kwamba ikiwa wamesahihisha vibaya ipo rufaa asiye ridhka atakata!
Jamani, usahihishaji wa mitihani yote ya NECTA ni very accurate and fair. Mtu akifeli asipoteze muda wake kukata rufaa, kila swali hupitiwa na wataalamu wasiopungua wanne wa somo hilo, wote wakiwa na nia ya kumtendea haki mtahiniwa ambaye hata hawamjui. Kwa hiyo ukisikia mtu kafeli ujue ni kweli kafeli. Sitaki kueleza mengi maana mambo ya marking ni siri, ila tu watu wasipoteze muda kukata rufaa!!
 
Jamani, usahihishaji wa
mitihani yote ya NECTA ni
very accurate and fair. Mtu
akifeli asipoteze muda wake
kukata rufaa, kila swali
hupitiwa na wataalamu
wasiopungua wanne wa somo
hilo, wote wakiwa na nia ya
kumtendea haki mtahiniwa
ambaye hata hawamjui. Kwa
hiyo ukisikia mtu kafeli ujue ni
kweli kafeli. Sitaki kueleza
mengi maana mambo ya
marking ni siri, ila tu watu
wasipoteze muda kukata
rufaa!!
 
Jamani, usahihishaji wa
mitihani yote ya NECTA ni
very accurate and fair. Mtu
akifeli asipoteze muda wake
kukata rufaa, kila swali
hupitiwa na wataalamu
wasiopungua wanne wa somo
hilo, wote wakiwa na nia ya
kumtendea haki mtahiniwa
ambaye hata hawamjui. Kwa
hiyo ukisikia mtu kafeli ujue ni
kweli kafeli. Sitaki kueleza
mengi maana mambo ya
marking ni siri, ila tu watu
wasipoteze muda kukata
rufaa!!

Wewe ni NECTA?
 
Tatizo la watanzania ni wabishi hadi kwenye taaluma. On top jambo usilolijua ni saswa na usiku wa kiza. Ungejua ussahihishaji unavyokuwa monitored na watu wengi nyuma ya aliyeweka kalamu nyekundu usingepoteza fedha zako kukata rufaa!! Ni ule ubishi tu unaosababishwa na malezi ya kimarekani tunayaowapa wanetu....oh nimeonewa baba kumbe toto kichwa maji...

Na wewe unayeuliza wenzio wewe NECTA kwani unawajua wote unaojibizana nao humu? Wengine ni washiriki wa kusahihisha hizo rufaa na hukutana na vituko eti jitu limepata 3 kati ya 100 linapoteza pesa kukata rufaa.... Nisiseme mengi maana haya mambo ni confidensho sana ila watanzania tujenge tubadilike. Hoja ya chombo huru sina shaka nayo lakini sio suluhisho la kufaulu mitihani..

Utasikia mtu anakwambia nasubiri matokeo ya rufaa maananatafuta c moja tu niapply chuo..... Ivi C inatafutwa kweenye rufaa au darasani? ...Sikatai watu wasikate rufaa na si kweli kuwa zote hazibadiliki pitia kwenye website yao utaona zipo chache sana zinazobadilika kinyume na madai ya mtoa mada.
 
hahaha! hakuna uonevu!.. ni mwanafunzi tu anakuwa kwenye denial na hakubali kwamba kachemka! na anatakiwa ajipange upya!
 
Tatizo la watanzania ni wabishi hadi kwenye taaluma. On top jambo usilolijua ni saswa na usiku wa kiza. Ungejua ussahihishaji unavyokuwa monitored na watu wengi nyuma ya aliyeweka kalamu nyekundu usingepoteza fedha zako kukata rufaa!! Ni ule ubishi tu unaosababishwa na malezi ya kimarekani tunayaowapa wanetu....oh nimeonewa baba kumbe toto kichwa maji... Na wewe unayeuliza wenzio wewe NECTA kwani unawajua wote unaojibizana nao humu? Wengine ni washiriki wa kusahihisha hizo rufaa na hukutana na vituko eti jitu limepata 3 kati ya 100 linapoteza pesa kukata rufaa.... Nisiseme mengi maana haya mambo ni confidensho sana ila watanzania tujenge tubadilike. Hoja ya chombo huru sina shaka nayo lakini sio suluhisho la kufaulu mitihani.. Utasikia mtu anakwambia nasubiri matokeo ya rufaa maananatafuta c moja tu niapply chuo..... Ivi C inatafutwa kweenye rufaa au darasani? ...Sikatai watu wasikate rufaa na si kweli kuwa zote hazibadiliki pitia kwenye website yao utaona zipo chache sana zinazobadilika kinyume na madai ya mtoa mada.
kumbe na we ni m1 wa wa2 waliodiriki kunifelisha 4m 6?bac,natangaza rasmi kukuroga uzid kuangukiwa na neema ya kusahihisha hzo paper kila mwaka.
 
kumbe na we ni m1 wa wa2 waliodiriki kunifelisha 4m 6?bac,natangaza rasmi kukuroga uzid kuangukiwa na neema ya kusahihisha hzo paper kila mwaka.
hahahah,hahahaa haha...mkuu kumbe ulifeli form6 ukareseat af kwa hasira ukapiga mabanda ukaenda udsm...hahaa
 
Tatizo la watanzania ni wabishi hadi kwenye taaluma. On top jambo usilolijua ni saswa na usiku wa kiza. Ungejua ussahihishaji unavyokuwa monitored na watu wengi nyuma ya aliyeweka kalamu nyekundu usingepoteza fedha zako kukata rufaa!! Ni ule ubishi tu unaosababishwa na malezi ya kimarekani tunayaowapa wanetu....oh nimeonewa baba kumbe toto kichwa maji...

Na wewe unayeuliza wenzio wewe NECTA kwani unawajua wote unaojibizana nao humu? Wengine ni washiriki wa kusahihisha hizo rufaa na hukutana na vituko eti jitu limepata 3 kati ya 100 linapoteza pesa kukata rufaa.... Nisiseme mengi maana haya mambo ni confidensho sana ila watanzania tujenge tubadilike. Hoja ya chombo huru sina shaka nayo lakini sio suluhisho la kufaulu mitihani..

Utasikia mtu anakwambia nasubiri matokeo ya rufaa maananatafuta c moja tu niapply chuo..... Ivi C inatafutwa kweenye rufaa au darasani? ...Sikatai watu wasikate rufaa na si kweli kuwa zote hazibadiliki pitia kwenye website yao utaona zipo chache sana zinazobadilika kinyume na madai ya mtoa mada.

Hongera kwa kuajiriwa NECTA.
 
Tatizo la watanzania ni wabishi hadi kwenye taaluma. On top jambo usilolijua ni saswa na usiku wa kiza. Ungejua ussahihishaji unavyokuwa monitored na watu wengi nyuma ya aliyeweka kalamu nyekundu usingepoteza fedha zako kukata rufaa!! Ni ule ubishi tu unaosababishwa na malezi ya kimarekani tunayaowapa wanetu....oh nimeonewa baba kumbe toto kichwa maji... Na wewe unayeuliza wenzio wewe NECTA kwani unawajua wote unaojibizana nao humu? Wengine ni washiriki wa kusahihisha hizo rufaa na hukutana na vituko eti jitu limepata 3 kati ya 100 linapoteza pesa kukata rufaa.... Nisiseme mengi maana haya mambo ni confidensho sana ila watanzania tujenge tubadilike. Hoja ya chombo huru sina shaka nayo lakini sio suluhisho la kufaulu mitihani.. Utasikia mtu anakwambia nasubiri matokeo ya rufaa maananatafuta c moja tu niapply chuo..... Ivi C inatafutwa kweenye rufaa au darasani? ...Sikatai watu wasikate rufaa na si kweli kuwa zote hazibadiliki pitia kwenye website yao utaona zipo chache sana zinazobadilika kinyume na madai ya mtoa mada.
Ni ubishi usio na msingi, mtu gani anaweza kuonewa kila somo? makosa yapo hatukatai lakini hayawezi kukutoa division one mpaka div 3 au 4. Wengi huwa wanajifanya wajuaji kumbe kichwani hamna kitu, mwisho wa siku wanakimbilia kukata rufaa. Mbona huwa inajulikana mapema nani atafaulu na nani atafeli.
 
kumbe na we ni m1 wa wa2 waliodiriki kunifelisha 4m 6?bac,natangaza rasmi kukuroga uzid kuangukiwa na neema ya kusahihisha hzo paper kila mwaka.
We ulifeli hakuna mtu anayeweza kukufelisha , we nani kwanza mpaka ufelishwe?
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
me m2!me nazingua 2 mkuu,cjawah kufeli ktk maisha yangu na ctarajii kufeli mtihan wowote mayb nifeli maisha 2.
<br />
<br />
nimeipenda iyo..! Af nahis kama 2lisoma wote primary! Teh teh teh...
 
Wee Mkimbizwambio Ona unavyojifelisha sasa.... Humu nutawajua tu walozungusha halafu wanakasirikia NECTA. Laumu ulipojikwaa sio ulipoangukia....
 
Tatizo la watanzania ni wabishi hadi kwenye taaluma. On top jambo usilolijua ni saswa na usiku wa kiza. Ungejua ussahihishaji unavyokuwa monitored na watu wengi nyuma ya aliyeweka kalamu nyekundu usingepoteza fedha zako kukata rufaa!! Ni ule ubishi tu unaosababishwa na malezi ya kimarekani tunayaowapa wanetu....oh nimeonewa baba kumbe toto kichwa maji...

Na wewe unayeuliza wenzio wewe NECTA kwani unawajua wote unaojibizana nao humu? Wengine ni washiriki wa kusahihisha hizo rufaa na hukutana na vituko eti jitu limepata 3 kati ya 100 linapoteza pesa kukata rufaa.... Nisiseme mengi maana haya mambo ni confidensho sana ila watanzania tujenge tubadilike. Hoja ya chombo huru sina shaka nayo lakini sio suluhisho la kufaulu mitihani..

Utasikia mtu anakwambia nasubiri matokeo ya rufaa maananatafuta c moja tu niapply chuo..... Ivi C inatafutwa kweenye rufaa au darasani? ...Sikatai watu wasikate rufaa na si kweli kuwa zote hazibadiliki pitia kwenye website yao utaona zipo chache sana zinazobadilika kinyume na madai ya mtoa mada.

Nakubaliana nawe.

Mie pia nimewahi kuitwa kusahihisha paper za waliokata rufaa. Case kama hiyo mtu amepata 5/100 anakata rufaa, na unaporudia unaona kweli mtu kama amepelekwa kufanya mtihani kwa kitu ambacho hakusomea.

Wazazi wengine hawako tayari kukubali udhaifu wa watoto wao. Halafu mambo ya kutoa visingizio ni kitu ambacho tumeanza kukifanya ni utamaduni wetu. Which is bad. Kwanini tusijiulize sababu za kufeli huko. By the way mbona wanaofaulu bado pia wapo?? Wanasahihishiwa na NECTA hao hao, mbona hatujahoji kwa nini wengine wafaulu na wengine wafeli?
 
Back
Top Bottom