Rufaa ya Lema kusikilizwa leo

Rufaa ya Lema kusikilizwa leo

Status
Not open for further replies.
Tungekuwa tunapewa updates za hela zinazochotwa na mafisadi CCM I'm sure ningekuwa na ulcers! Hakuchukua mifyagio, madekio, meza na vitasa kama Lawrence Masha?
 
ukiwa pashkuna na mmbeya utasutwa

foolish thread

tatizo lako ni uelewa hapo juu imeandikwa tetesi hivyo basi kama unajua kiundani kuhusu hizo habari ziweke hapa
 
Kutokana na baadhi ya watu kuamini siasa ni mchezo mchafu au wajinga ni chakula cha wasomi kuna tetesi zinazoenea kuwa baada ya G. Lema kuvuliwa ubunge kuna kiasi cha shilingi milioni 80 za chama hazijulikana zilipotelea wapi na wala zilitumika katika shughuli gani ila ili CDM kiendelee kuwa na wanachama viongozi wa juu wamefunika swala hilo.

My take:
kama ni kweli kuna ubadhilifu mkubwa hivyo kunatakiwa mapato na matumizi ya chama kubandikwa katika kila ofisi ya chama ili kuwawekea wanachama imani katika viongozi wao

Aisee, kazi mnayo
 
Mhasibu wa CDM!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
tatizo lako ni uelewa hapo juu imeandikwa tetesi hivyo basi kama unajua kiundani kuhusu hizo habari ziweke hapa

tetesi za nini punguza upumbavu bana!
Ina maana na wewe ukiambiwa unakunya barabarani nayo ni tetesi!
Jipime kabla ya kupost
 
Kutokana na baadhi ya watu kuamini siasa ni mchezo mchafu au wajinga ni chakula cha wasomi kuna tetesi zinazoenea kuwa baada ya G. Lema kuvuliwa ubunge kuna kiasi cha shilingi milioni 80 za chama hazijulikana zilipotelea wapi na wala zilitumika katika shughuli gani ila ili CDM kiendelee kuwa na wanachama viongozi wa juu wamefunika swala hilo.

My take:
kama ni kweli kuna ubadhilifu mkubwa hivyo kunatakiwa mapato na matumizi ya chama kubandikwa katika kila ofisi ya chama ili kuwawekea wanachama imani katika viongozi wao

acha umalaya.
 
Umekosea. Kuna njiwa kaniambia kuwa aliondoka na trilioni 80. Halafu sisimizi wameniambia kuwa Lema kumbe ndiye mdhamini mkuu wa Bill Gates. Pia kuna nyoka nilimsikia akisema kuwa CDM ndiyo wanadhamini kampeni za urais za Mitt Romney. Je waweza kuamini kuwa huu ni ukweli mtupu bwana mdogo Comi?
 
Huwa mnatafuta njia kuchafua makamanda ila hamtofanikiwa.MPELEKENI KWANZA MZEE WA VIJISENT KORTINI
 
LIVE kutoka TEGETA kibaoni: Leo ndio tunasafirisha mwili wa baba yake Lissu.
 
Leo ndiyo rufaa ya Lema itaanza kusomwa/sikilizwa rasmi, then itapangiwa tarehe ya hukumu
 
Kutokana na baadhi ya watu kuamini siasa ni mchezo mchafu au wajinga ni chakula cha wasomi kuna tetesi zinazoenea kuwa baada ya G. Lema kuvuliwa ubunge kuna kiasi cha shilingi milioni 80 za chama hazijulikana zilipotelea wapi na wala zilitumika katika shughuli gani ila ili CDM kiendelee
.
Pombe za kisasa hizi zinazowekwa kwenye kiroba ni za ajabu sana!
Kuna moja inatengenezwa na Jamaa wa Banana Investment inaitwa FIESTA ukinywa ni lazima ukate mawasiliano kwa sekunde 45!
 
Hah! Kumbe lema alivyovuliwa ubunge alivuliwa na uanachama caus u reported as if lema is not exist at all in the part thus they can do no about such a pathetic accusation!
 
Hacheni wivu kwani akianzisha ndio nini
 
Hacheni wivu kwani akianzisha ndio nini

mkuu siyo wivu, ukianzisha thread wakati hauko kwenye tukio unawapa kazi ya ziada mods kuupdate thread wakati ilikuwa kazi ya mwanzishaji, ange subili kidogo watu walioko Arusha wako Active sana wang'e anzisha tu..
 
mkuu siyo wivu, ukianzisha thread wakati hauko kwenye tukio unawapa kazi ya ziada mods kuupdate thread wakati ilikuwa kazi ya mwanzishaji, ange subili kidogo watu walioko Arusha wako Active sana wang'e anzisha tu..

Halafu nasikia mawakili wameomba isogezwe hadi Oct 2?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom