Rufaa ya Lema kusikilizwa leo

Rufaa ya Lema kusikilizwa leo

Status
Not open for further replies.
Hivi Chadema wameishawahi kuwatangazia wanaowachangisha mpaka sasa hivi wana kiasi gani cha pesa za M4C.
 
Kikwete ndie aliyetoa amri Lema avuliwe ubunge. Jaji anayesikiliza shauri la Lema ni
mwajiriwa wa Kikwete, je haki itatendeka????????????
 
Tatizo lako ni uelewa hapo juu imeandikwa tetesi hivyo basi kama unajua kiundani kuhusu hizo habari ziweke.
 
Mh Chande, chonde chonde ukitaka kumuua nyani usimwangalie usoni na ukitaka kumuua nyoka mpige kichwani.Hapo kazi ni moja tu.
 
Bila shaka leo ndiyo kucheka au kulia tena kwa Wananchi wa Arusha Mjini. Jopo la Majaji likiongozwa na Jaji Mkuu linatazamiwa kutoa hukumu ya Rufaa ya aliyekuwa Mbunge wao kipenzi Godbless Lema. Matumaini yetu ni Ushindi kwa wana Arusha hasa ukizingatia rufaa ya Lema imesimamiwa na Wanasheria mahili wa CDM kama Tundu Lisu.Walio Arusha tupeni hali halisi ya Jiji hilo na nini kinaendelea.

Naomba kuwasilisha..

Rufani hiyo imesogezwa mbele mpaka Tarehe 02/10/2012....
 
Hivi Chadema wameishawahi kuwatangazia wanaowachangisha mpaka sasa hivi wana kiasi gani cha pesa za M4C.

Wakati huu mgumu wananchi
wangetegemea kiongozi wao
awe ni mtu wa kuwapa faraja,
lakini anapotokea waziri na
kufyatuka akisema: “Mtapata wapi waziri kama
mimi”, anayapoteza hata yale
matumaini kidogo ya
wananchi yaliyokuwa
yamebakia kwa serikali yao!
Huyu ni waziri maskini!~mayega
 
CDM bhana wanashindwa kuelewa kuwa sheria si kupayuka na kuomba muongozo.Hizi sifa mnazompa Tundu Lissu wala hastahili,mwenye record ya kesi alizoshinda tangu awe wakili amwage ushahidi hapa jamvini.Msitegemee lolote hapo zaidi ya vioja mahakamani na akishindwa safari hii atasingizia msiba wa babake ulimchanganya.
 
Fairness at its best!!goodstart kimbunga,kama ni wewe kweli kwani si kawaida yako.
 
Ameshasoma hukumu na na makabrasha yote ya mwenendo wa kesi kwa hiyo hakuna miujiza ni kushugulika tu! VIVA CDM.
 
Kuna tatizo hapa. Lengo la uzi ni kupata updates ya kinachoendelea as far as tayari kwenye ratiba tuna taarifa kuwa rufaa ya Lema inasikilizwa leo.

Hoja hapa ni watu wenye taarifa kutujuza I mean kutuhabarisha juu ya nini kinaendelea. I personally started the thread to know what is going on regardless I am in Arusha or not. I have the right to know.

Kuna tatizo hapa
.
 
Kuna tatizo hapa. Lengo la uzi ni kupata updates ya kinachoendelea as far as tayari kwenye ratiba tuna taarifa kuwa rufaa ya Lema inasikilizwa leo.

Hoja hapa ni watu wenye taarifa kutujuza I mean kutuhabarisha juu ya nini kinaendelea. I personally started the thread to know what is going on regardless I am in Arusha or not. I have the right to know.

Kuna tatizo hapa
.

yaani hiyo thread yako ingeanza saa 11 hakuna mtu angekushambulia..kesi ni trh 2.10.12
 
Kutokana na baadhi ya watu kuamini siasa ni mchezo mchafu au wajinga ni chakula cha wasomi kuna tetesi zinazoenea kuwa baada ya G. Lema kuvuliwa ubunge kuna kiasi cha shilingi milioni 80 za chama hazijulikana zilipotelea wapi na wala zilitumika katika shughuli gani ila ili CDM kiendelee kuwa na wanachama viongozi wa juu wamefunika swala hilo.

My take:
kama ni kweli kuna ubadhilifu mkubwa hivyo kunatakiwa mapato na matumizi ya chama kubandikwa katika kila ofisi ya chama ili kuwawekea wanachama imani katika viongozi wao

Acha uvuvuzela kama mume wako nepi.
 
yaani hiyo thread yako ingeanza saa 11 hakuna mtu angekushambulia..kesi ni trh 2.10.12

Sasa taarifa kwamba hukumu imeahilishwa hadi Tar. 02/10/2012 ni/tungeipata wapi? Kama umesoma thread yangu vema, nimesema natamani kupata updates za kabla, wakati na baada ya rufaa kusomwa. Lema ni kama hero hapo Arusha, hivyo kusomwa kwa rufaa yake lazima kutaamsha shauku kwa watu wengi wa Arusha (Including me) Issue ya thread kuanzishwa mapema sioni kama ni tatizo, kwani lengo linabaki palepale kupata information kuhusu rufaa hiyo. Thats all.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom