Rufaa ya kugombea Ubunge wa Suzan Kiwanga

Majibu gani hawa wote walishajibiwa wanawadanganya tu. Hao wabunge waaliopita bila kupingwa wapo orodha ya wabunge 20 Morogoro ni
Mvomero
Gairo,
Vijijini kwa meneja wa Diamond,
Kilosa kwa Kabudi,
Mlimba nk.
hvi kwann huko morogoro majimbo mengi ccm wamepita bila kupngwa au huko ndo kuna mainjinia wa michezo michafu
 
Mpaka jana Tume walikuwa hawataki kurudisha jina lake.

Akatoa mapicha yakionyesha msimamizi wa uchaguzi alitemper form ya mgombea na kumwekea pingamizi.
Hivi kweli jamani taifa la watu million 60! Tunakosa watu wa kutegemewa, waungwana, wasio egemea upande kwenye kutenda haki????.... Kweli? Kweli.....ni mojawapo ya failures za ccm, wameongoza zaidi ya miaka 60 lkn taasisi zilizo huru zimewashinda kuunda. Inasikitisha sana.
 
Keshapigwa chini. Rufaa zote zimeshaamuliwa na CCM wameshapita majimbo 20 likiwemo hilo la mama mzembe. Hapo wanawazuga tu wanachama wao kwa vile wanajua ni nyumbu mtaamini tu wanachowadanganya.


Huyo Kunambi wa Mlimba yupo kwenye orodha ya wabunge 20.

Wa Morogoro mjini ndio karudishwa anaitwa Minja
Bas watangaze kuwa rufaa zao zimekataliwa. Huo ndio uungwana
 
22 September 2020
Dar es Salaam, Tanzania

Suzana Kiwanga : Napambana na kipenzi cha John Magufuli

  • Risiti ya Halmashauri yagushiwa
  • Kuenguliwa kuwa fomu namba 8 haina risiti
  • Uteuzi ulifanyika saa moja usiku
  • Fomu namba 12 ya rufani, mkurugenzi alikimbia na kufunga ofisi tarehe 25 agosti na 26 agosti
  • Wiki 3 nimepiga kambi ofisi ya Tume Dodoma
  • Mlimba hali tete na Polisi walimtonya kuwa kuna njama ya kumkamata kutoka na hali kwa kigezo Suzan Kiwanga anasababisha vurugu
  • Mpaka leo Tume ya Uchaguzi bado inaendelea na mchakato wa kupitia rufani yake
  • Mkurugenzi wa jiji la Dodoma Godwin E. Kunambi alishiriki ktk mchakato wa ubunge akiwa bado mtumishi ngazi ya Mkurugezi wa Mji kinyume na taratibu na maadili ya wagombea kama inavyosema sheria ya uchaguzi ya Taifa na maelekezo ya Tume ya Uchaguzi

.................................................... ............................


Kutoka maktaba
Mlimba, Morogoro
Tanzania

Tunamuhitaji sana huyu Kamanda Kiwanga arudi mjengoni Dodoma

 
Mpinzani wa Suzana Kiwanga jimbo la Mlimba toka chama cha CCM Godwin Kunambi "aliyepita bila kupingwa" kwa mujibu wa viongozi wa CCM Mlimba Morogoro wanavyodai.




Angalizo la rufaa jimbo la Mlimba
Mgombea wa CHADEMA bado anasubiri jibu la Tume ya Uchaguzi ya Taifa mjini Dodoma kutoa hatima ya mgombea wetu kupitia Rufaa aliyoiwasilisha Dodoma.
 
Hawa ndo watu wenye akili sawa wanaotakiwa kuingia bungeni sio mazwazwa na misukule ya ccm

Naona jamaa zetu UVCCM wao wanajiliwaza kuwa mgombea wao Godwin E. Kunambi amepita bila ya kupingwa wakati Tume ya Uchaguzi ya Taifa bado haijasikiliza na kutoa majibu ya rufani ya mgombea wetu kamanda S. Kiwanga
 
Bas watangaze kuwa rufaa zao zimekataliwa. Huo ndio, z uungwana
Wameandikiwa barua, sio zimekataliwa, zilikubaliwa na zikasikilizwa na kuonekana hazina mashiko zikatupwa hivo kuenguliwa rasmi
 
Wadau naomba kuuliza kama mgombea Ubunge Jimbo la Mlimba kupitia CHADEMA, mheshimiwa Susan Limbeni Kiwanga kama rufaa yake ya kupinga kuondolewa kugombea Ubunge ilishatolewa uamuzi na tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)?
Imeagizwa ni lazima kunambi awe mbunge hata ikibidi kuua watuwote wa jimbo la Mlimba
 
Majibu gani hawa wote walishajibiwa wanawadanganya tu. Hao wabunge waaliopita bila kupingwa wapo orodha ya wabunge 20 Morogoro ni
Mvomero
Gairo,
Vijijini kwa meneja wa Diamond,
Kilosa kwa Kabudi,
Mlimba nk.
Hivi hawawezi kupinga mahakamani
 
Naona jamaa zetu UVCCM wao wanajiliwaza kuwa mgombea wao Godwin E. Kunambi amepita bila ya kupingwa wakati Tume ya Uchaguzi ya Taifa bado haijasikiliza na kutoa majibu ya rufani ya mgombea wetu kamanda S. Kiwanga
Hawa nec ndio wanaenda kuvunja amani ya Tanzania
 
Back
Top Bottom